Thursday, July 26, 2012

KIWANGO.

Hata usipozungumzia utaifa lakini kiwango cha maisha ya mtanzania ni kidogo sana,hapa nikiwa nazungumza na watanzania wale walio na ndoto na nchi yao,kwa pale wanapofanikisha yale wanayoyahitaji na hata ukafika wakati wa kuyafanya kukuta wengine wameshayafanya hapo tumetofautisha viwango,unaweza ukawa unajua kupumua lakini ukawa hujui kupumua vizuri,kwa vile utakapoanza kutengeneza mazingira ya undai wako,ukitaka kitakachotoka ndiyo kiwe chema,sio vile kwa sauti tu kusikia bali hata katika vile vyote vilivyo ndani ya mwili,maana vyote vikiwa na maana ya kusikia nilivyosema. 

Jua lengo lako katika lile unalololihitaji maana hapo ndiyo kiwango chako kitaonekana ,maana uwepo wako na namna ya vile unavyowaza,ndoto zina yale zinachoweza kufanya ndani yake maana yaweza kuwa unaishi ndoto za watu,unalala na kuota yale ulio yatenda tkiwa mdogo unashindwa ofautisha viwango,kumbe ilipaswa kutokea katika kiwango husika,lakini kwa Yule anayetaka kiwango kikubwa kingine yeye ni lazima atajua pale ni kupanga na kuondoka na kiwango chako,kujua nini kile ambacho ulikuwa unataka ulikuwa unasema hukijui,maana pengine hukufikiri na siyo kuona kwa kushika tu vingine  ni viwango vya watu.

Mda unalala watoto wameanza kupewa shukrani,maana ilikuwa ni wajibu wao kuwasaidia wazazi.tena baba ndiyo alikuwa anasema hii ni familia fulani tofauti na ya fulani ni kwa sababu ya viwango.
‘ukitaka kumshinda adui usimkorofishe’maana kila mtu atabaki na kiwango chake,labda usiwe na viwango vyako!

2 comments:

papaa elinyo said...

UPO SAHIHI....!

Makaya Forum said...

ASANTE PAPAA ELINYO...

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...