Monday, March 19, 2012
Makaya's Forum: FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI !!
Makaya's Forum: FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI !!: Umbali unakadiliwa na fahamu, ikijumuisha macho na namna ya shabaha,shabaha hazitokani na yaliyo mbali ndiyo maana ikawa kwa nyoka kuul...
FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI.
Ikijumuisha macho na namna ya
shabaha,shabaha hazitokani na yaliyo mbali ndiyo maana ikawa kwa nyoka kuuliwa
kwa fimbo za karibu,hapa usifikiri kifo kikawe ni kifo cha hatari nacho ni kifo kukiwa na sababu ya kujikinga hapo itaeleweka ni kuokoka,yaani kutoka
katika umbali na uadui.
ikiwa kwa kusikikiliza na kufuatilia kwa ukaribu unaweza kung’atwa na
kutiliwa sumu kali ya hatari.
Kama hauelewi ujue sio wakati wako hapo inakulazimu kuuliza
ama kusubiri,na hii dawa ya kusubiri ndiyo kuu zaidi maana inaonyesha
uvumilivu,yaani ni namna gani,tena uvumilie ukiwa unajua unachovumilia.ikiwa mwanadamu na yeye anauliwa kwa fimbo huna budi kutumia magongo ama mabomu,nyingine nyembamba zingekuwa ni
risasi ndogo ndogo na pengine ilivyo kwa mabomu ukapata taabu maana kuna wale walio mbali,wao hufanya hata wakijua wanakosea kweli yakuwa adhabu wanafahamu na kuona wako mbali haitawauma
kukomaa sio
kwamba fimbo haijaingia tena maumivu yanaweza kuwa ni makali zaidi ya
aliyetazamiwa akilia,ni namna tu ya kuzifanya fimbo zieleweke,Nyoka hatari kwa mwanadamu humkimbilia ikiwa ni kujikinga,na
hapa ndipo inabidi utafute fimbo ya karibu,ujikinge na hata walio mbali hata wakija karibu uweze kuwachapa zaidi ukijaribu kufanya fimbo kuwa mkuki kwa kulenga ya
mbali.usifike mbali kwa kuwafikiria hao nyoka,zaidi jaribu
kutafuta fimbo imara kwani magogo na yenyewe ni mazito sana na ukifananisha
magogo na fimbo hapa utaua nguvu zako
wenyewe maana inaweza fika wakati ukajiandaa kwa shabaha ukifikiri
watakuja nyoka hao na wasije,
au wakaja
katika namna ile iliyo ya gogo,
Angalia yaliyopo
maana umeyaganga wenyewe,yajayo kwa yaliyo pita haya mengine yanaweza kuwa
hayana mwenyewe maana na wenyewe nasikia walishayaganga ni kumwachia chura
vurugu za nyoka ukitegemea kwenda mbali kuitafuta fimbo.baba anapomgombeza mtoto
kama hasikii siku ifuatayo inapasa mama akataze,na ikiwezekana agombezwe yeye.nakumbuka
usemi usemao mtoto wa nyoka ni nyoka,hii sio kwamba haieleweki nyoka ni nani
ila ikiwa na mlengo wa kutaka kufahamika kwamba nyoka hazai chura na ikitokea
ivyo basi hayo ni maajabu,vitu vya kawaida havina haja ya kushangaa si kama pale ukatumia fimbo ya Mbali kuuwa Nyoka wa karibu..
by:benson G.Makaya
email:bensonsmakaya@gmail.com
Subscribe to:
Comments (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
POPURAL POSTS
-
Kheri huletwa na mwenyezi mungu,mwanadamu ana kheri ya kuwa na pumzi ambayo humfanya akaweza vile awezavyo kwa Kheri yake Muumba,un...
-
Makaya's Forum: ONA KUSIKIA. : Mapema ni kheri kuona bila ya kusikia,maana haya machache tumeyasikia hapa kwa kuwa yalionekana mwanzoni,...
-
Ni wazi macho hutumika kwa kuangalia,kuona,kutazama yote yakiwa kama ni matendo yake,na hii yote inatokana na namna tofauti ambazo zi...
-
Makaya's Forum: UNDERSTANDING. : We do and say a lot, being that it brings an understanding or misunderstandings within the community, ...
-
NIangalie,Nione ni natumika katika utofauti wa namna gani ikiwa pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama ni mifano yangu,zikim...
-
Hapa nikiwa nataka mabadiliko,yaliyo katika mazungumzo ama yakabadilika yenyewe kutokana na mfumo wa kubadilisha badilisha unavyoleta mab...
-
Nafahamu kwamba katika maisha ya kila siku hayakosekani mambo ya kuumiza. Sina shaka kuugua, kufiwa, kukosa chakula, kusalitiwa katika m...
-
Ikiwa kwa yote yaliyopo, yaliyotokea,yalivyo ama kwa vile tu mtu unavyoweza kumfahamu mwenzako,kwa namna ya kusema na kumjua,ntaomba ra...
-
Thinking is a need to fix something, due to ideas, so the concept may be thinking , thinking is an act, modify it to do, Thoughts are...
-
Pongezi kwenu mliowahi kufika mijini,pongezi kwenu wakulima wale wa mjini na vijijini,maana pongezi kubwa kwa watu wa vijijini,hapa...