Monday, March 19, 2012
Makaya's Forum: FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI !!
Makaya's Forum: FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI !!: Umbali unakadiliwa na fahamu, ikijumuisha macho na namna ya shabaha,shabaha hazitokani na yaliyo mbali ndiyo maana ikawa kwa nyoka kuul...
FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI.
Ikijumuisha macho na namna ya
shabaha,shabaha hazitokani na yaliyo mbali ndiyo maana ikawa kwa nyoka kuuliwa
kwa fimbo za karibu,hapa usifikiri kifo kikawe ni kifo cha hatari nacho ni kifo kukiwa na sababu ya kujikinga hapo itaeleweka ni kuokoka,yaani kutoka
katika umbali na uadui.
ikiwa kwa kusikikiliza na kufuatilia kwa ukaribu unaweza kung’atwa na
kutiliwa sumu kali ya hatari.
Kama hauelewi ujue sio wakati wako hapo inakulazimu kuuliza
ama kusubiri,na hii dawa ya kusubiri ndiyo kuu zaidi maana inaonyesha
uvumilivu,yaani ni namna gani,tena uvumilie ukiwa unajua unachovumilia.ikiwa mwanadamu na yeye anauliwa kwa fimbo huna budi kutumia magongo ama mabomu,nyingine nyembamba zingekuwa ni
risasi ndogo ndogo na pengine ilivyo kwa mabomu ukapata taabu maana kuna wale walio mbali,wao hufanya hata wakijua wanakosea kweli yakuwa adhabu wanafahamu na kuona wako mbali haitawauma
kukomaa sio
kwamba fimbo haijaingia tena maumivu yanaweza kuwa ni makali zaidi ya
aliyetazamiwa akilia,ni namna tu ya kuzifanya fimbo zieleweke,Nyoka hatari kwa mwanadamu humkimbilia ikiwa ni kujikinga,na
hapa ndipo inabidi utafute fimbo ya karibu,ujikinge na hata walio mbali hata wakija karibu uweze kuwachapa zaidi ukijaribu kufanya fimbo kuwa mkuki kwa kulenga ya
mbali.usifike mbali kwa kuwafikiria hao nyoka,zaidi jaribu
kutafuta fimbo imara kwani magogo na yenyewe ni mazito sana na ukifananisha
magogo na fimbo hapa utaua nguvu zako
wenyewe maana inaweza fika wakati ukajiandaa kwa shabaha ukifikiri
watakuja nyoka hao na wasije,
au wakaja
katika namna ile iliyo ya gogo,
Angalia yaliyopo
maana umeyaganga wenyewe,yajayo kwa yaliyo pita haya mengine yanaweza kuwa
hayana mwenyewe maana na wenyewe nasikia walishayaganga ni kumwachia chura
vurugu za nyoka ukitegemea kwenda mbali kuitafuta fimbo.baba anapomgombeza mtoto
kama hasikii siku ifuatayo inapasa mama akataze,na ikiwezekana agombezwe yeye.nakumbuka
usemi usemao mtoto wa nyoka ni nyoka,hii sio kwamba haieleweki nyoka ni nani
ila ikiwa na mlengo wa kutaka kufahamika kwamba nyoka hazai chura na ikitokea
ivyo basi hayo ni maajabu,vitu vya kawaida havina haja ya kushangaa si kama pale ukatumia fimbo ya Mbali kuuwa Nyoka wa karibu..
by:benson G.Makaya
email:bensonsmakaya@gmail.com
Subscribe to:
Posts (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
POPURAL POSTS
-
If it is from top to bottom, Below the lowest ale or rudely in there, There were and attentive without being good and sometimes we s...
-
Mwengine yupo tiyari kumsahihisha mumuwe mbele za watu, hapa usiwe upendeleo kama imekuwa kwa mumeo basi na kwako itakuwa tu, na i...
-
Thinking is a need to fix something, due to ideas, so the concept may be thinking , thinking is an act, modify it to do, Thoughts are...
-
Nothing new, and if there is then lets inform each other, Where does the modifications directed, probably should go unto understand t...
-
Don’t wait to be loved, Loved it comfortably as there is no antipathy as hated, Hated it comes after the hateful people, Oth...
-
Makubariano ni kuweza kuelewa,ni kuwa na uelewa kukubari ama kukataa,sio kwa kichwa kama ikakatalika bali kwa namna yeyote ili mradi ikata...
-
Kufikiri ni kuwa na hitaji la kurekebisha jambo,kunatokana na mawazo,kwa hiyo fikra zinaweza kuwa ni mawazo,kufikiri ni kitendo,kure...
-
If there will be we have a diagnosis and not perceive it will be meaningless, As there shall restore back in where we sit and say th...
-
Not to be laughed whatever somebody does...Doing, Without knowing what it is! If the executive is supposed to do beyond what would...
-
Unapokwenda ni sawa,kwa kuwa kila siku kadri ya zinavyokwenda mwanadamu anaishi katika ile hali ya kutokusema kwamba!! na sio haielewe...