Thursday, January 26, 2012
Makaya's Forum: HATA TUSINGEFIKA BILA MENGINE KUTOKEA.
Makaya's Forum: HATA TUSINGEFIKA BILA MENGINE KUTOKEA.: Kufika sio kuwahi,yaweza kuwa kuwapo ama kutangulia,na yale yanayotokea sio lazima kupanga kwani mara nyingi huwa hatupangi sisi zaidi ya m...
Makaya's Forum: UNAPOTAFUTA LAZIMA UTAMBUE UNATAFUTA NINI !!.
Makaya's Forum: UNAPOTAFUTA LAZIMA UTAMBUE UNATAFUTA NINI !!.: Kutafuta ni kuhitaji katika wakati Fulani pale mwanaadamu anapoihusisha nafsi yake kupitia mapendo ,tukisema watu wanaenda tu kutafu...
UNAPOTAFUTA LAZIMA UTAMBUE UNATAFUTA NINI.
Unapotafuta na kuhitaji kitu wakati Fulani pale mwanaadamu anapoihusisha nafsi yake kupitia mapendo ,nikisema watu wanaenda tu kutafuta maisha maswali yanaweza kuwa ni mengi tena isiwe ni kwenda tu baada ya kuulizwa unatafuta nini hata sielewi kama yalifichwa ila itakuwa ni ile sehemu iliyopo katika akili zako za kuweza kutafuta kitu kilichopo,kama ilivyo hesabu unaweza ukawa unajua majibu na usijue nini njia yenyewe,kila jibu linatokana na yale yaliyopo njiani pia ikiwa mtu ameishia gerezani kwa ajili ya kuiba si kwamba naye aliiba katika njia zake zote,yaweza kuwa alienda kwa sababu aliiba katika njia moja na watu wakapata kujua kuwa Yule ni mwizi,ni vigumu kuishi ukiwa unajua hupendwi,hata ikawa unapendwa basi chuki zikawa ndani ya watu wengine juu yako,hauwezi kujua wanaokuchukia bila ya wewe kuwa na chuki pia,ni kweli kwani hata ukamwona simba anapita barabarani kitakacho fuata ni kukimbia,na kama itakuwa wataamua wachache ndiyo wakaweze mdhibiti simba huyo,au useme vyovyote itatokea kwani matokeo huwa ni tofauti daima kama ilivyo kwa wanaotoa majibu na sio majibu yenyewe.katika maisha hakuna kujaribu zaidi ya majaribu
maisha yenyewe hayatafuti,yapo yamekaa yakiwa yana mengi mengine yapo mbali,yameonekana kwa walio lakini kwa wachache hawana budi kuinama uvunguni,kwani limeshakuwa sharti kwa kile cha uvunguni unachokihitaji kukiinamia,miguu haiji mikono bora endapo mikono ipo,na kama ungelizoea kula majani au miti nadhani juhudi za kupanda miti zingeongezeka,unatafuta pesa na hauelewi ununue nini,ikiwa unataka ununue.unatafuta pesa unakuwa na malengo ya kufanya vitu na vitu hivyo vinakuwa kama havikupangwa,kumbe pesa sio kitu pekee kinachomuzesha mtu kufanya jambo,ikiwa unaweza kuwa na nia ya kutaka kufika mahala katiks maisha,unaweza kujua ni nini unahitaji na tatizo sio kutafuta,sio nguvu,wala mtafutaji,ikiwa mtafutwa yupo na hata hizo sababu za kutafutia zinaweza zisiwe na maana zaidi endapo mtafutaji hajui pa kutafutia.
Ndugu yangu kwa chochote kinachotafutwa ni lazima kiwe na mlengo wa mafanikio,ndiyo hata watu walio na utajiri wamefanikiwa katika upande mmoja ya kuwa nao wana uwezo wa kupata kile wanachokitafuta,kumbe pesa ni daraja la mafanikio,na mafanikio ni mafaniko yenyewe.shabaha na mlengo unahitajika tena ikiwa mimi au wewe ndiyo unahitaji mafanikio,sijui itakuwaje ukipata unavyovitafuta,sijui unatafuta nini maana kwa kujua unachokitafuta utaweza kuelewa itakuwa ni namna gani pale utakapo pata,na ukipata ijulikane,maana kama ni pesa wengi wamezipata na wanazo ikiwa haujasikia mmoja wapo akisema nimezipata.lakini ya kuwa mtihani wanafanya wengine,wanasahihisha wengine na washangiliaji watakuwa wengine pia,kwa yule anayefanya mtihani ijulikane amelenga kupata maksi gani.
By: Benson G, Makaya,
Subscribe to:
Comments (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
POPURAL POSTS
-
Kheri huletwa na mwenyezi mungu,mwanadamu ana kheri ya kuwa na pumzi ambayo humfanya akaweza vile awezavyo kwa Kheri yake Muumba,un...
-
Makaya's Forum: ONA KUSIKIA. : Mapema ni kheri kuona bila ya kusikia,maana haya machache tumeyasikia hapa kwa kuwa yalionekana mwanzoni,...
-
Ni wazi macho hutumika kwa kuangalia,kuona,kutazama yote yakiwa kama ni matendo yake,na hii yote inatokana na namna tofauti ambazo zi...
-
Makaya's Forum: UNDERSTANDING. : We do and say a lot, being that it brings an understanding or misunderstandings within the community, ...
-
NIangalie,Nione ni natumika katika utofauti wa namna gani ikiwa pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama ni mifano yangu,zikim...
-
Hapa nikiwa nataka mabadiliko,yaliyo katika mazungumzo ama yakabadilika yenyewe kutokana na mfumo wa kubadilisha badilisha unavyoleta mab...
-
Nafahamu kwamba katika maisha ya kila siku hayakosekani mambo ya kuumiza. Sina shaka kuugua, kufiwa, kukosa chakula, kusalitiwa katika m...
-
Ikiwa kwa yote yaliyopo, yaliyotokea,yalivyo ama kwa vile tu mtu unavyoweza kumfahamu mwenzako,kwa namna ya kusema na kumjua,ntaomba ra...
-
Thinking is a need to fix something, due to ideas, so the concept may be thinking , thinking is an act, modify it to do, Thoughts are...
-
Pongezi kwenu mliowahi kufika mijini,pongezi kwenu wakulima wale wa mjini na vijijini,maana pongezi kubwa kwa watu wa vijijini,hapa...