Monday, August 13, 2012

FAIDA..


Leo imekuja yakupasa kujua faida za uwepo wapo,hakuna Yule asiyeeleweka japo kwa uzuri wa uwepo huyo si mtu mwema,pengine wewe kuwa sio mtu mwema,maana kuna uadui.ni sisi wenyewe tunaofanya ya wenzetu na kutokujua kwa nini tunafanya,maana hapo ndiyo tunajua faida zetu,kuwapo ingali hakuna maana hakuwezi kuleta faida,kwa maana ya kueleweka,pengine mwengine akakwambie haueleweki,hii ikiwa mtu anataka kukuelewa yeye anavyotaka,maana kama umekuja kuielewa yangu hii haipaswi kutokuelewa faida zangu,maana si zako labda nitakunyang’anya.

Kuna faida kubwa ya kuwepo duniani na kujitambua uwepo wako,siku hizi hadi watoto wanataka shikamoo maana wakitumia faida zao kama wakubwa,sio vile kwa kuwa ukubwa ni uzoefu,biashara zipo nyingi sana za kufanya,kama unaona unapata faida ndogo thubutu kufanya njyingine,pengine ujue wapi utapata hiyo faida kubwa,pengine ni vyema ya kuwa kumekua na maendeleo,haya ya teknolojia kiujumla,maana tusipoangalia na faida zake mwishowe tutaumia.hapo tunaweza kujua kama sio kila linalotegemewa hutokea vile ilivyo,ila huanza hivyo na ndiyo faida za namna ulivyofikiri.

Leo nchi imekuwa kubwa,watu wachache wakitumia faida za nchi,maana wao kuwapora wenye nchi,mchanyiko katika matendo ndiyo uhalisia wa kutaka kujua nini zaidi,siku tutachanganyika na kihalisia tutajua faida zetu na hasara,maana mwanzo huwa hautegemeki kuhamisha msingi zaidi ya kufikiri kukua.pengine bado hujajua nini faida zako,huo ndiyo mwanzo kwani ikiwa japo kufikiri.

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...