Wednesday, July 25, 2012

SI MCHEZO..

mtu bora mwenye uelewa anakuwa bora zaidi pale anapokuwa,ikiwa ameelewa tu kama alianza kukua.maana ni kumbukumbu na yastahiri kukumbuka,hilo likiwa ni chaguzi lako,pengine namna ya ulivyoelewa.ikiwa ni kucheza ama ndiyo kutafuta maisha.

 sio kila lipigwalo ni ngoma,pengine tukadhani ni king’ora,maana nyie hamsikii hata kwa tarumbeta,wamepiga sana kengele lakini waliotokeza wachache,leo tunaingia huko huko mpaka tusikike,sijui kesho ije nitakiwe kusikika,nimesema wewe kwani nafsi yako niliiunganisha na umoja wangu,hivyo kitakachopigwa yastahiri kukiitikia,maana yaweza kuwa kwenda njia ya uzima,hapo tutapenda kupigia sana,tena kwa spika zikiwa karibu maskioni,si tunacheza!!

Michezo ipo mingi sana na uzuri wake ipo duniani,basi hapo wewe chagua unataka upi,maalum kwa kuushangilia,pengine katika kushangilia ikashangilia nafsi yako pekee,na hilo ni ruksa kwani bila hivyo isingekuwepo hata hiyo moja,na kila mtu akaelewe mbili yake,na mwenye thubutu la kufika asimame na aseme,mimi nimetaka vile,sio kujaribu.maana tutashangilia huku tunaburudika,shangilia nyingine yapasa kuwa tofauti eti,yaani vile vya wachache..

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...