Saturday, November 10, 2012
Makaya's Forum: SHUKURU KWA YOTE..
Makaya's Forum: SHUKURU KWA YOTE..: Hapa akihusishwa mungu kwanza maana kila mtu anayajua yake,inapaswa kushukuru kwa kuwa ni kazi nzito umeifanya,ikiwa una uelewa ni ...
SHUKURU KWA YOTE..
Hapa akihusishwa Mungu kwanza maana kila mtu anayajua yake inapaswa kushukuru kwa kuwa ni kazi nzito
umeifanya,Asante Mwenyezi Mungu.
Ukiwa una uelewa ni lazima kubaki katika njia ambayo wewe mwenyewe unaiona siyo ya mapumziko maana ni lazima kutoa nguvu Pamoja na akili yako ukiwa umeamka na kuchagua kile ambacho wewe umetaka kukiangalia,ukichagua lile ambalo limekuja katika muda unaofaa kimaendeleo,ikiwa maisha ni sehemu inayofanya ndoto kukamilika,ki imani ikiwa kama ndoto ni jibu la tatizo.pale unapomaliza jambo yapasa kushukuru kwa kuwa linakuwa vile kidogo ya ulivyofikiri,huwa yanafanana lakini rangi tofauti na kuthaminisha kule/kile/vile ulivyofanya.Kama una ndoto ya kuwa na furaha ama vile katika hali isiyofahamika,kama unapofumba macho ukitegemea kuona chochote mengine yatapita yakiwa ni afadhali kwa kuwa yatastahiri kukuchanganya,shukuru kwa kuwa siyo yote unayoyategemea hutokea ,mengine yakiwa yameletwa maksudi ili mradi na wengine wakapata shukrani za lazima,lakini ikiwa kama mtu ameamua kufa kwa kujinyonga akipona hastahiri kushukuru kwani lengo lake halijatimia.Pongezi kwa shukrani iliyomaliza jambo,hongera hutoka pale shukrani inapokuwa na jibu lake katika jambo husika,maana katika namna ya kuzaliwa kwa sisi waswahili zinaweza kuwa ni kejeli,ikiwa unataka kuona ni nini unachokifanya haistahili kuuliza bila ya kuulizwa,hapa itatakikana kuonekana mwisho ikiwa unakipaji chochote cha kufanya hakitaweza kulinganishwa na muangaliaji ama yule asemaye kwani mwishoni huja na kukuvisha taji.mawazo yako ndiyo mtaji shukuru Mungu wako alikuumba wewe. hata ungali muda bado kuisha.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
POPURAL POSTS
-
Mwengine yupo tiyari kumsahihisha mumuwe mbele za watu, hapa usiwe upendeleo kama imekuwa kwa mumeo basi na kwako itakuwa tu, na i...
-
Arrive not ever, may be present either precede, and what happens is not necessary to arrange for often we meant to us more than God...
-
If it is from top to bottom, Below the lowest ale or rudely in there, There were and attentive without being good and sometimes we s...
-
Harvest after planting, we planted the seeds and relied on harvesting crops, if the quantity is less is when we say the harvest is good o...
-
Hatupunguzi machache kwa mengi uliyoyaona kimya ukiamini kile kinachokuongezea, maana kwa mengi wengi wetu na vichache vyetu tume...
-
Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...
-
Don’t wait to be loved, Loved it comfortably as there is no antipathy as hated, Hated it comes after the hateful people, Oth...
-
if possible to shape me to be smitten with Caesar, What others can is what Im capable of, first I had it earlier, is meant t...
-
Unapokwenda ni sawa,kwa kuwa kila siku kadri ya zinavyokwenda mwanadamu anaishi katika ile hali ya kutokusema kwamba!! na sio haielewe...
-
Bila wewe nisingekuwepo. nguvu na imani imepitia kwako,umekuwa mshindi kwa njia zako za ukuzaji,umeweza hakika nakupa saluti,maan...