Saturday, November 10, 2012
Makaya's Forum: SHUKURU KWA YOTE..
Makaya's Forum: SHUKURU KWA YOTE..: Hapa akihusishwa mungu kwanza maana kila mtu anayajua yake,inapaswa kushukuru kwa kuwa ni kazi nzito umeifanya,ikiwa una uelewa ni ...
SHUKURU KWA YOTE.
Hapa akihusishwa Mungu kwanza maana kila mtu anayajua yake inapaswa kushukuru kwa kuwa ni kazi nzito
umeifanya,Asante Mwenyezi Mungu.
Ukiwa una uelewa ni lazima kubaki katika njia ambayo wewe mwenyewe
unaiona siyo ya mapumziko maana ni lazima kutoa nguvu Pamoja na akili yako ukiwa umeamka na
kuchagua kile ambacho wewe umetaka kukiangalia,ukichagua lile ambalo limekuja
katika muda unaofaa kimaendeleo,ikiwa maisha ni sehemu inayofanya ndoto kukamilika,ki imani
ikiwa kama ndoto ni jibu la tatizo.pale unapomaliza jambo yapasa kushukuru kwa
kuwa linakuwa vile kidogo ya ulivyofikiri,huwa yanafanana lakini rangi tofauti na kuthaminisha kule/kile/vile ulivyofanya.
Kama una ndoto ya kuwa na furaha ama vile katika hali
isiyofahamika,kama unapofumba macho ukitegemea kuona chochote mengine yatapita
yakiwa ni afadhali kwa kuwa yatastahiri kukuchanganya,shukuru kwa kuwa siyo yote
unayoyategemea hutokea ,mengine yakiwa yameletwa maksudi ili mradi na wengine
wakapata shukrani za lazima,lakini ikiwa kama mtu ameamua kufa kwa kujinyonga
akipona hastahiri kushukuru kwani lengo lake halijatimia.
Pongezi kwa shukrani iliyomaliza jambo,hongera hutoka pale
shukrani inapokuwa na jibu lake katika jambo husika,maana katika namna ya
kuzaliwa kwa sisi waswahili zinaweza kuwa ni kejeli,ikiwa unataka kuona ni nini
unachokifanya haistahili kuuliza bila ya kuulizwa,hapa itatakikana kuonekana
mwisho ikiwa unakipaji chochote cha kufanya hakitaweza kulinganishwa na muangaliaji ama yule asemaye kwani mwishoni huja na kukuvisha taji.mawazo yako ndiyo mtaji shukuru Mungu wako alikuumba
wewe. hata ungali muda bado kuisha.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
POPURAL POSTS
-
(Version 2) • Where there is offended…. Doubt is part of the consciousness of the problems that have no point in it, Shelves brings...
-
If possible to shape me to be smitten with Caesar, What others can is what Im capable of, first I had it earlier, is meant to come an...
-
When there is darkness , we need light... Light is direction , light makes the appearance to be consistent if the view ...
-
Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...
-
Panapokuwa na sherehe sio lazima kuwe na ushindi,pengine unaenda katika sherehe kwa vile furaha uliyonayo,pengine ukafanya kusherehekea m...
-
NIangalie,Nione ni natumika katika utofauti wa namna gani ikiwa pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama ni mifano yangu,zikim...
-
Katika kuangalia kabila labda tuseme aina naona wao ndiyo wangekuwa na kutokana na nyani maana hata majina na maneno yazungumzwayo yanaa...
-
Makubwa ni neno linalosifia kitu,kitu yaweza kuwa ni kitendo,kifaa,mawazo,nafsi ya mwanadamu mwenyewe na mengineyo mengi yanayomzun...
-
Watakwambia unabahati kwakile ulichokifanya kilichokufanya uwepo hapo,kujipa ufalme na kuzungumzia maisha ya mwengine kwa kuwa umefika mahal...
-
If it is from top to bottom,below the lowest ale or rudely in there, There were and attentive without being good and sometimes we say it i...