Saturday, November 10, 2012
Makaya's Forum: SHUKURU KWA YOTE..
Makaya's Forum: SHUKURU KWA YOTE..: Hapa akihusishwa mungu kwanza maana kila mtu anayajua yake,inapaswa kushukuru kwa kuwa ni kazi nzito umeifanya,ikiwa una uelewa ni ...
SHUKURU KWA YOTE.
Hapa akihusishwa Mungu kwanza maana kila mtu anayajua yake inapaswa kushukuru kwa kuwa ni kazi nzito
umeifanya,Asante Mwenyezi Mungu.
Ukiwa una uelewa ni lazima kubaki katika njia ambayo wewe mwenyewe
unaiona siyo ya mapumziko maana ni lazima kutoa nguvu Pamoja na akili yako ukiwa umeamka na
kuchagua kile ambacho wewe umetaka kukiangalia,ukichagua lile ambalo limekuja
katika muda unaofaa kimaendeleo,ikiwa maisha ni sehemu inayofanya ndoto kukamilika,ki imani
ikiwa kama ndoto ni jibu la tatizo.pale unapomaliza jambo yapasa kushukuru kwa
kuwa linakuwa vile kidogo ya ulivyofikiri,huwa yanafanana lakini rangi tofauti na kuthaminisha kule/kile/vile ulivyofanya.
Kama una ndoto ya kuwa na furaha ama vile katika hali
isiyofahamika,kama unapofumba macho ukitegemea kuona chochote mengine yatapita
yakiwa ni afadhali kwa kuwa yatastahiri kukuchanganya,shukuru kwa kuwa siyo yote
unayoyategemea hutokea ,mengine yakiwa yameletwa maksudi ili mradi na wengine
wakapata shukrani za lazima,lakini ikiwa kama mtu ameamua kufa kwa kujinyonga
akipona hastahiri kushukuru kwani lengo lake halijatimia.
Pongezi kwa shukrani iliyomaliza jambo,hongera hutoka pale
shukrani inapokuwa na jibu lake katika jambo husika,maana katika namna ya
kuzaliwa kwa sisi waswahili zinaweza kuwa ni kejeli,ikiwa unataka kuona ni nini
unachokifanya haistahili kuuliza bila ya kuulizwa,hapa itatakikana kuonekana
mwisho ikiwa unakipaji chochote cha kufanya hakitaweza kulinganishwa na muangaliaji ama yule asemaye kwani mwishoni huja na kukuvisha taji.mawazo yako ndiyo mtaji shukuru Mungu wako alikuumba
wewe. hata ungali muda bado kuisha.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
POPURAL POSTS
-
Kule kwetu kuna mahala panaitwa makunguru,ali hali ingalikuwa nzuri tungalihamishia ikulu, mambo yamekuwa mengi hata ya kujisti...
-
Yafanye mapito yako kuwa nguvu inayokusukuma kwenda mbele ukitegemea kuishi ndoto zako na sio kile unachokiogopa na kuhofia,wengi hawafanyi...
-
Kufikiri ni kuwa na hitaji la kurekebisha jambo,kunatokana na mawazo,kwa hiyo fikra zinaweza kuwa ni mawazo,kufikiri ni kitendo,kure...
-
Unaweza kufanya jambo bila hali yoyote,maana kutokuifikiria na hata ikikatalika mwanzo mwishoni ukikosea utasema samahani,kwa sababu u...
-
Sometimes you can find strong powers of concentration in yourself. When you really and earnestly want to excel in your studies, pass an...
-
Unapotafuta na kuhitaji kitu wakati Fulani pale mwanaadamu anapoihusisha nafsi yake kupitia mapendo ,nikisema watu wanaenda tu kutafut...
-
» Most people with personality disorders have what is sometimes referred to as "disorders of the self," because they often do...
-
When there is darkness , we need light... Light is direction , light makes the appearance to be consistent if the view ...
-
Lugha ni chombo cha mawasiliano,watu huwasiliana kupitia lugha tofauti ikiwa nao wako tofauti,bila ya kuzungumzia nadhifu za nje,lugh...
-
Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...