Saturday, November 10, 2012
Makaya's Forum: SHUKURU KWA YOTE..
Makaya's Forum: SHUKURU KWA YOTE..: Hapa akihusishwa mungu kwanza maana kila mtu anayajua yake,inapaswa kushukuru kwa kuwa ni kazi nzito umeifanya,ikiwa una uelewa ni ...
SHUKURU KWA YOTE..
Hapa akihusishwa Mungu kwanza maana kila mtu anayajua yake inapaswa kushukuru kwa kuwa ni kazi nzito
umeifanya,Asante Mwenyezi Mungu.
Ukiwa una uelewa ni lazima kubaki katika njia ambayo wewe mwenyewe unaiona siyo ya mapumziko maana ni lazima kutoa nguvu Pamoja na akili yako ukiwa umeamka na kuchagua kile ambacho wewe umetaka kukiangalia,ukichagua lile ambalo limekuja katika muda unaofaa kimaendeleo,ikiwa maisha ni sehemu inayofanya ndoto kukamilika,ki imani ikiwa kama ndoto ni jibu la tatizo.pale unapomaliza jambo yapasa kushukuru kwa kuwa linakuwa vile kidogo ya ulivyofikiri,huwa yanafanana lakini rangi tofauti na kuthaminisha kule/kile/vile ulivyofanya.Kama una ndoto ya kuwa na furaha ama vile katika hali isiyofahamika,kama unapofumba macho ukitegemea kuona chochote mengine yatapita yakiwa ni afadhali kwa kuwa yatastahiri kukuchanganya,shukuru kwa kuwa siyo yote unayoyategemea hutokea ,mengine yakiwa yameletwa maksudi ili mradi na wengine wakapata shukrani za lazima,lakini ikiwa kama mtu ameamua kufa kwa kujinyonga akipona hastahiri kushukuru kwani lengo lake halijatimia.Pongezi kwa shukrani iliyomaliza jambo,hongera hutoka pale shukrani inapokuwa na jibu lake katika jambo husika,maana katika namna ya kuzaliwa kwa sisi waswahili zinaweza kuwa ni kejeli,ikiwa unataka kuona ni nini unachokifanya haistahili kuuliza bila ya kuulizwa,hapa itatakikana kuonekana mwisho ikiwa unakipaji chochote cha kufanya hakitaweza kulinganishwa na muangaliaji ama yule asemaye kwani mwishoni huja na kukuvisha taji.mawazo yako ndiyo mtaji shukuru Mungu wako alikuumba wewe. hata ungali muda bado kuisha.
Subscribe to:
Comments (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
POPURAL POSTS
-
Let's look and see is we used in the diversity of how including the machine or machines are used as if our models? By meaning we ar...
-
Kufikiri ni kuwa na hitaji la kurekebisha jambo,kunatokana na mawazo,kwa hiyo fikra zinaweza kuwa ni mawazo,kufikiri ni kitendo,kure...
-
Yote yaliyopo yapo katika muda,ikiwa muda unap...
-
NIangalie,Nione ni natumika katika utofauti wa namna gani ikiwa pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama ni mifano yangu,zikim...
-
Thinking is a need to fix something, due to ideas, so the concept may be thinking , thinking is an act, modify it to do, Thoughts are...
-
We do and say a lot, being that it brings an understanding or misunderstandings within the community, it is likely that we have as y...
-
If there will be we have a diagnosis and not perceive it will be meaningless, As there shall restore back in where we sit and say th...
-
ONA ni vile kwa namna uliyoumbwa ili kuweza kuvitambua vitu kwa urahisi,kwa kutumia macho yako umeweza kuona vingi sana,na kila kimoj...
-
Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...
-
Matatizo ni sehemu ya maisha,matatizo ni sehemu ya yale magumu yaliyo machache yanayohitaji kufanyiwa marekebisho kupitia ya kwamba yameis...