Monday, October 1, 2012

TUUNGANE KULETA UFAHAMU...


Wakati mwengine ikibidi haina budi.tuungane pamoja,maana unaweza pigania kuwa jinsia ya kike na wakati umepewa uume.hakuna asiye kuwa na uelewa,hakuna asiye kuwa na akili,hakuna aliye mjinga zaidi ya mwenzake,hii ikiwa katika kichwa cha mtu,na kama umekata tamaa ndiyo ukahisi na kudhani ya kuwa wanaonewa sana katika maisha NA  dunia kukuangukia,unapokuwa na moja ili kuweka mbili ni lazima kuunganisha ili kuleta maana,pengine unapodhani kama upo sahihi sana katika upande mmoja na mwengine wakati si vile ilivyo.

Maana haya mambo yapo siyo kwa sababu zako,haya mambo yana sababu zake,ya kwako yakiwa ni machache,maana pale ukaleta nguvu katika kujenga kwa kuwa maisha ni ya wote ingawa kila mtu ana ishi katika aina yake.’unapotaka kukaa na kumnyanyua aliyepo kwa matusi ni lazima utukane’ni vyema wanajamii kuyafahamu mapya yanayoleta muunganiko pamoja na amani ndani ya mda wetu, sisi wenyewe.

Kinachotakiwa ndani ya maisha yako ni mafanikio,mafanikio yasiyo nakuleta kinyume kwa mtu,pengine mwizi anaposahau kuiba na lenyewe linaweza lisichukulike kosa,hakuna kusahau mbele ya roho za watu,Yule anayepigana hajahamasishwa kwa kuambiwa bali kuona,na ingali unaendelea kukua zaidi tenda kile kitakachokuunganisha na jamii,maana unaweza kutaka kuishi tofauti na mazingira yako.

Makaya's Forum: ISHI NA YAKO

Makaya's Forum: ISHI NA YAKO : Watakwambia unabahati kwakile ulichokifanya kilichokufanya uwepo hapo,kujipa ufalme na kuzungumzia maisha...