Thursday, July 12, 2012

NGOJA NGOJA...


Ngoja ngoja huozesha matumbo kwani yameuma mara ngapi?maana si kwa sumu wala vyakula tunavyokula, leo utasikia hatuwezi kula vile mazingira yake mabaya,mwengine akiwaza anapata wapi kula kwa namna ile kutokana na yake matakwa,mwengine akisubiri tumbo kuoza maana hata angali kuozesha na kile kichafu ingalikuwa hafadhari,haki ya  athumani aende nayo maana yakibaki tutachafua hali ya hewa kwa kuwa na uozo usioeleweka ukiwa unangojwa kupelekwa  jalalani.sijui unangoja nini wakati hayafai hata kutamani.

Nimengoja sana kusubiria basi kituoni,sijui ni hii foleni ama ni namna ya askari wetu barabarani,maana ilisikika wakitaka leseni,ya mkwezi mwachieni,maana na kungoja kote huku..!sijui ikiwa imeeleweka hatuwezi kupanda minazi ama ni kwa sababu taa wameamua zisifanye kazi,maana shida kwa tulio wagonjwa wa matumbo,na shida hizi zimejaa sio tupu kwa namna hiyo zifikiriwavyo

Kesho tunapumzika tumechoka sana,maana hata tulichokifanya jana hakina maana,bora kungoja tukijua itapatikana,bora kuonja kwani na mazingira yenyewe haya hayaruhusu kwa basi kutungojea tusijeachana,kipindi hichi cha maana haina haja ya kungojeana bali kila mtu kungojea yake ya  maana,maana cha mtu chake,cha mwengine mavi,hayo ndiyo unaweza mpa mwingine na sio chako,labda muwe mnangojea pamoja..hii ikiwa atakaye pata wa kwanza aweze wa pili ajue kwamba wa kwanza kapata.

Matumbo hayajengwi na kile kilichopo tumboni tu,ukiwa na nia utashiba,wewe ngoja ngoja tu!

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...