Friday, January 27, 2012

UTAVUNA UNACHOKIPANDA.


Mavuno ni baada ya kupanda,mtu unapanda mbegu ukitegemea kuvuna mazao iwapo katika uchache ama wingi ndiyo pale unapoweza kusema mavuno ni mazuri au mabaya inategemea na lengo lako mpandaji.

  Unachokipanda mtu unakifahamu mwenyewe,labda isisemekane kama ni chema ama si hivyo,ikiwa wote tunamalengo,malengo ni yale kila mmoja akayatakia ikiwa mengine ni mipango au si hivyo tena,vile unavyosikiliza hivyo husikilizwa mara nyingi,kwani hata ukaomba ikaeleweka ni pale ulihitaji,umakini usio kuwa wa kusikiliza si pale ukimsikiliza mtu tu,nitasema hao wale ndio hawaelewi,sio yakuwa tu umefanya ndio ukajiona umeelewa vyema,kwani hata jinsi ulivyopanda si namna ya kuvuna vingi upande wa mwengine,kila mbegu ipo mahara pake na hakuna ziada la kuweza kuunganisha hayo,ili yawe mengi ni lazima kuungana,usisahau zile mbegu nono,maana hizo ndio zinakuletea matatizo muda mwingine,usije ukafanya kasoro kwa uwingi wa kuona,haina haja kutendeana kile mabaya.

Labda haukuelewa nini ilivyo kigeugeu,ikiwa aliyepanda mahindi akategemea kuvuna dagaa,hiyo itakuwa mbali sana na ukaribu utakuwepo kwa wale walioelewa moja kwa moja na usijue ni wapi haujaelewa,ambapo bado hujafanya haina haja ya kuuliza.Pale unapopanda upendo hata vurugu unaweza kuvuna,haya mengine sijui yanatokea wapi maana utayaacha mbali ukisema hautayafanya tena,hivi navyo hata vile.yule anayekaribishwa chakula akasema asante umuulize kama ana hamu ya kujua ni chakula gani anachokaribishwa,maana utatia aibu kwa yale machache tu yakusikia harufu ya chakula cha jirani na kutofautisha kile cha jana ulichokileta mezani na ukapelekana mezani wakati si kile dhabiti ya tumbo..jirani Yule akatake kuijua radha ya chakula,amalizapo unamwita mtoto  kwa kula kidogo na kikubwa hakikuwepo,utacheza sana mashambani ukililia mbolea na wakati uwezo wa kulima ni bustani,kumbe unachafua mazingira na hao wachache ndio wanaoelewa,ukiwamo haina shaka mazao mengine bora yakabadilishwa maana hayaeleweki bado katika mavuno.

Unaweza kupanda na kufika wakati mbolea isitoshe,na labda usiyazungumze ya jana,ikiwa tu kipindi kile njaa haikutisha labda uelewe wapi sasa haitatosha,yanayotokea yote yapo kama yale yaliyo na mwenendo ule wa kwao wenye mazao,mvua yenyewe imenyesha nyingi na utegemee kipindi furani tena,kwani hata hivyo ulivyokuwa unavitegemea vimefanya kuharibu vipya vinginevyo,zimebomoa kabisa hata yale waliyojenga wao,huu kumbe ni mda wa kupanda,ingawa wapo wale watakao vuna mavuno yatakuwa hayana nguvu,unapofanya kwa mmoja wa pili huwa anasogea,kwani mbele au nyuma ni kule aliko yeye ndio kutamtambulisha.

Muda bado unaenda.ikiwa umeelewa kwamba unahitajika kuvuna na kupanda mazao bora ni lazima ujue kama na hiyo mistari imenyooka,maana haitakuwa vyema pamoja ukaweka na visingizio,hapa usiite majina ya kiujumla.kumbe kunyoosha ni kuelekezwa,ikiwa shambani na ukaelekezwa upande vile natukapanda tofauti haitamaanisha kitu katika ukubwa wako,mtu na maamuzi yake ndiye akaamue sahihi kile cha kupanda,ili aje avune hicho,sio tegemezi ya kupandiwa mazao alafu ukalalama wakati wa uvunaji,eti na mpandaji usimwelewe alikuwa anafanyaje au mda wote huo alikuwa anategemea nini ikiwa wewe unasubiri,ingawa sio wote wakulima basi utajaribu kuwa hata mpandaji.maana itafutwa kwa yule angalau ameliona na kuligusa shamba,wengine wasifahamu mazao hayo yametoka mahala gani,wakasikia na wasielewe ya kuwa wapo mbali sana,vipindi huwa vinabadilika ikiwa ni shule utasoma hesabu,kiingereza na mengineyo yakiwa na maana..kama wakulima mwenyewe hujasoma na hujui kuhesabu sijui hizo biashara zinafanyaje kuendelea,ukatumia nguvu nyingi na zisiwe na maana katika malipo.


    Unapopanda upande mema,hata kama ni machache unavuna kwa namna hiyo iliyopo,na ni nani yule aliyepanda kichache akalalamika kuvuna hicho?labda usihesabu mavuno ukahesabu mbegu,na kila mbegu ije na vuno lake bora. 
      

By:Benson G.Makaya
Tel:+255714336657

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...