Tuesday, March 27, 2012

NAFSI HURU


Namna tunavyoweza kujitambua  katika kufikiri na vile ilivyo kwa kuona na kusikia.basi nafsi inaweza kuwa roho.Kuweza kujitambua ni kuwa na utambuzi,utambuzi wenye mtazamo halisia na Yule mwenye nafsi.nafsi huru ndiyo ile inayofikiria mema juu yake,ikiwa mema ni yale ya mtu mwenyewe hivyo tunafika na kuona namna nyingi za kuifanya akili  yako kuwa katika mtazamo ulio bora kupitia nafsi.

Usichukulie vitu ki mimi zaidi, hapa nikiwa nina maana ya ubinafsi,wengi wetu hatulewi nini ushirikiano lakini ukitegemea kwa kutofanikiwa kwa yale unayofanya peke yako,sijui ingekuwaje kwa jinsi ungevyomlinda Mungu kama ingelifahamika tu kila mtu amekuja peke yake na wake,yaani haieleweki alipotokea ni mshtuko na kukutwa yupo akinyonya maziwa yaliyoshushwa mbinguni,ingelikuwa ni hatari sana kumzidi kuweza kufikiri mmoja wapo asiyenyonya  lakini si  katika nafsi ya pili na kuona katika jicho la tatu.

   Sahau yako yaliyopita yale ya zamani.ndwele,ikiwa sio mazuri au mabaya kinachohitajika hapa ni kuweza kusahauika ,ni mengi zaidi yanayokuja hasa tukiangalia na yenyewe yanahitaji akili na nafsi zetu hizi hizi ili kuwezakufikirika,binadamu ana aina ya matendo pale inapomkutia nafsi yake,sipendi kumsingizia mungu lakini kwa mwanadamu lolote lina haki kutokea mbele yake ikiwa  ilipangwa kuishi hivyo inatupasa kusahau inapobidi na zaidi ni kuweza kufikiri yanayobidi.
.
   Kubali yale yasiyo badilika kubali kuna yale marahisi,kubali kuna yanayowezekana,ikiwa yamewahi kuwezekana kwako basi kubali pia kuwa kuna yale yasiowezekana maana ingalikuwa hivyo tungefanya vyote wote tena bila kujali,magumu mengi huchanganya wanaadamu hivyo kufanya hata kuchanganyikiwa,hapa haina haja ya kuchanganyikiwa endapo utafahamu kuwa yapo ambayo hayawezekani katika nafsi yako.

   Kuwa mvumilivu…hatuwezi kusema uvumilivu ndiyo kila kitu kwani hata tukiuvumilia moto mwishowe ni kuungua tu,hata ukavumilie mazuri kwani mabaya ni yapi?uvumilivu unahitajika katika watu pamoja na maeneo pia.huku akili timamu ikitangulia kutafuta majibu sahihi pakiwa na uhuru ndani ya yako,uvumilivu ni njia ya ushindi pale unapotakiwa , unapaswa kuwa wavumilivu ili kuweza kujua hasa ni nini zaidi ambacho kinapasa kuvumilika.

 Kaa mbali na wale wanaowaza tofauti na vile utakavyo  wala hapa tusitengane wala haina haja ya kubaguana,la msingi zaidi ni kuweza kuwaza ilivyo tofauti na vile wanavyowaza wachache wale wa tofauti,na lengo liwe ni kutaka kuleta utofauti tu,na badaye kuwa bora katika utofauti huo,
maana unaweza kuona kuwa Fulani yupo tofauti kumbe naye anaona swala hilo ni lipi na upande wake kwako pia.

    Nafsi yenye vita ina wivu..wanasema  wivu hudhihirika katika mapenzi ya ukweli,hapa upendo umeonekana ni bora zaidi maana unawezaje kuwaonea wivu wale watu unaowapenda?wivu hautakiwi kokote kwani ni sumu,tunasema sumu ni sumu tu haina idadi ya kua ni nyingi ama ndogo hapo matokeo ndiyo husema,na  wivu usiwe mwingi,hapo utavuna mengi zaidi.nafsi yako itadhurika

    Usiweke na toa kinyongo nafsini,Weka Nafsi yako huru..moyo unamengi sana ya kufanyia kazi ,kipindi unaweza kukuta mwanadamu anataka kujiua hiyo ikiwa ni namna ya mashambulizi aliyokumbwa nayo  katika sehemu yake maana uwanja wa nafsi ni mmoja lakini namba tofauti.watu tupo tofauti.hivyo katika yale ya kuumia zaidi iwe ki hasara ama faida yatupasa kuondokana nafikra hizo chafu na nzuri katika upande wa mtu husika ili kuwa huru. katika mawazo uliyonayo.

 Punguza muda wako katika kuangalia tv na kusoma magaeti muda ulionao ni kwa kuwezesha mambo  kwenda katika mtazamo ulio bora hivyo yapasa kuimarisha ubongo na sehemu zake nyingine kwa kuweza hasa kusoma na kuangalia matukio na vitu mbali mbali ambavyo kiharisia vina punguza kasi ya akili katika kufikiria mambo yasiyo kuhusu na zaidi kujishugulisha na kwa nini sio mimi,hiyo ikiwa ni kama njia moja ya mafanikio binafsi maana akili njema hufuatana nayale inayoyafikiria.

       Jishugulishe fanya mazoezi.vile ilivyo maazoezi sio lazima kunyanyua vitu ambavyo ni vizito labda lakini unawezakufanya mazoezi marahisi yatakayo weza kukufanya kuwa katika mtazamo Fulani,
yaani ikawe unafanya mazoezi huku ukifikiri hayo mazoezi katika kuujenga na kuimarisha miili yetu.
unapoimarisha mwili wako  unaimarisha nafsi yako

  Jifunze namna ya kuweza kukaa kimya na kufikiri juu ya maisha yako.muda mwingi huwa tunakaa hasa tukitafuta maisha lakini nafsi na akili zetu zikiwa baado hazina utulivu,hapa tunashauriwa kutulia kwa muda na sio bila kuongea lakini pale inapobidi hii itasaidia katika kujua yale mazuri kwa upande wako na yale mabaya pia.


By Benson G.Makaya

Friday, March 23, 2012

22/03/198...1+1+1+1+1+1+1.....

Kweli mwanzo  ni mgumu.lakini sio kila lenye ugumu ndiyo linaanza maana kuna mengine yasipo kuwa yako bila kutambua unaweza kudhani yameumbwa magumu hivyo yenyewe huendelea mpaka pale yatakapo kuwa marahisi na labda usitake kujua tena maana haukufahamu mwanzo kama ni magumu.na yaweza kuwa isiwe mwisho wake ikiwa imeaminika kuwa yanakuja na kuondoka,kama yanabaki basi yamependezesha mioyo katika namna yake ingawa ya leo sio ya jana lakini inawezakana.
Leo ni siku maana sijui kwa nini hata watu tungalikuwa muhimu kuliko siku tungeitwa siku.siku hii au ile tukaitofautishe na namba,tunaweza kutofautisha mengi sana hata siku zenyewe zikawa hazina maana na kutokujua ni lipi na ipi.maana hata jumapili imeshirikisha namba,na wengine tukapumzike hapo.kwani yapasa kuzijua hesabu tena tuzishike kabisa kama ni siku ya saba au ikafahamike itafika siku utajua kwa nini unakula mara tatu, na pengine je ukaamua sio wewe tu hata hali ya maisha ikaamua maana unaposema haiwezekani ikiwezekana huwa Mnakaa kimya
Unajua juu juu na hakuna lolote ikiongezeka basi ujue hiyo ndiyo tabia ya namba hapa namba zinasema ni lazima kutangaza maana ndiyo zimetofautisha siku,haina haja ya kuhesabu matendo labda useme ni siku ngapi zimepita mpaka sasa,maana zinavyokuja si ya kwamba hayakugangwa yakutokufahamika na hapa tutajua kama za nyuma tulizitegemea.
Ukubari kutoa shukrani ingawa mengine yaweza kuyafanya mwenyewe shukrani huwa zinampata Yule aliyepewa,hata sikuweza kuwafahamu wazazi pale kabla sijazaliwa yaweza kuwa ulikuwa ni wewe hapa haiitaji kuongeza neno kwani bado sina meno,Zaidi ni kushukuru kwa Baraka na hekima walizokupatia
ASANTE BABA NA MAMA.
LEO NI SIKU YANGU YA KUZALIWA...

Tuesday, March 20, 2012

LIFE IS SIMPLE,



Maybe we can say we need a change ..
we need to stay and do together..
Life is in the form of survival, 

change is natural to visibility other than at the other,
 As what is done it have great ability of being able to change,
Especially when we decided to do things, 
and this in doing is we are doing each other in the form which we may or not,
 but all in all if it is change.,
Lives are changing for the world and how the world it goes.
In any containers with easy loaded then difficultis should occur,
And this as when we do different,

others will see that the question one ask is hard and some will see also  that is simple,
and that we should give way in locating the difficulties that the easy ones are still difficult Sometimes occurs as the fundamental understanding is also different,
 Life is how we walk, we sit, we eat to get strong and how many other,
 and it would be difficult if we say life is just as walking,
 For those who run will bring the war because they will be seems  fast for some things,
few of them heard These days are not as old as the Blessing started had come to them, 
and not understand why blessings,
and we could understand its effects and benefits,
 if we had gotten benefits in the future could be a disadvantage,
since it is a way of living well, living in tune with how the world is,
 we live because the world existed.

I need to change the world,
perhaps thinking of those few,
 meaning that we passed to the streets we get to hear and understand that we were different,
maybe to say every man has a world of his little that we must be,live in it…
 know as what insisted to be liked more have more than one property,
 with more than one ownership is easy to round and round even itself only if it needs to change,
and must when it cant round itself for ourselves, for the time we are going and we can see that we have to change it ourselves,
Obviously as if and its diameter is…was!
Out of fate unseen able got to be acknowledged immediately,

 We should pray for a living in us because we will be repeating era that were most difficult,
 We can be. We know how we reach here and are as descriptive for others,
 Maybe it is for those difficulties,
 if perhaps not fully understand then return there, why…?

Our wrath will still not means we died at the first time ,
 do remember well, because we need change that is consistent,
 and here we must remember that where is the best way ..
 Because we are from where if it does not need to see frontward.
acknowledge and  remember,
 life is like THAT.
not just...!!

By: Benson G. Makaya,
Tel: +255714336657.
email:bensonsmakaya@gmail.com

Monday, March 19, 2012

Makaya's Forum: FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI !!

Makaya's Forum: FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI !!: Umbali unakadiliwa na fahamu, ikijumuisha macho na namna ya shabaha,shabaha hazitokani na yaliyo mbali ndiyo maana ikawa kwa nyoka kuul...

FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI.

Ikijumuisha macho na namna ya shabaha,shabaha hazitokani na yaliyo mbali ndiyo maana ikawa kwa nyoka kuuliwa kwa fimbo za karibu,hapa usifikiri kifo kikawe ni kifo cha hatari nacho ni kifo kukiwa  na sababu ya kujikinga hapo itaeleweka ni kuokoka,yaani kutoka katika umbali  na uadui.
ikiwa kwa kusikikiliza na kufuatilia kwa ukaribu unaweza kung’atwa na kutiliwa sumu kali ya hatari.

Kama hauelewi ujue sio wakati wako hapo inakulazimu kuuliza ama kusubiri,na hii dawa ya kusubiri ndiyo kuu zaidi maana inaonyesha uvumilivu,yaani ni namna gani,tena uvumilie ukiwa unajua unachovumilia.ikiwa mwanadamu na yeye anauliwa kwa fimbo huna budi kutumia magongo ama mabomu,nyingine nyembamba zingekuwa ni risasi ndogo ndogo na pengine ilivyo kwa mabomu ukapata taabu maana kuna wale walio mbali,wao hufanya hata wakijua wanakosea kweli yakuwa adhabu wanafahamu na kuona wako mbali haitawauma

kukomaa sio kwamba fimbo haijaingia tena maumivu yanaweza kuwa ni makali zaidi ya aliyetazamiwa akilia,ni namna tu ya kuzifanya fimbo zieleweke,Nyoka hatari kwa mwanadamu humkimbilia ikiwa ni kujikinga,na hapa ndipo inabidi utafute fimbo ya karibu,ujikinge na hata walio mbali hata wakija karibu uweze kuwachapa zaidi ukijaribu kufanya fimbo kuwa mkuki kwa kulenga ya mbali.usifike mbali kwa kuwafikiria hao nyoka,zaidi jaribu kutafuta fimbo imara kwani magogo na yenyewe ni mazito sana na ukifananisha magogo na fimbo hapa  utaua nguvu zako wenyewe maana inaweza fika wakati ukajiandaa kwa shabaha ukifikiri watakuja nyoka hao na wasije,
au wakaja katika namna ile iliyo ya gogo,

Angalia  yaliyopo maana umeyaganga wenyewe,yajayo kwa yaliyo pita haya mengine yanaweza kuwa hayana mwenyewe maana na wenyewe nasikia walishayaganga ni kumwachia  chura vurugu za nyoka ukitegemea kwenda mbali kuitafuta fimbo.baba anapomgombeza mtoto kama hasikii siku ifuatayo inapasa mama akataze,na ikiwezekana agombezwe yeye.nakumbuka usemi usemao mtoto wa nyoka ni nyoka,hii sio kwamba haieleweki nyoka ni nani ila ikiwa na mlengo wa kutaka kufahamika kwamba nyoka hazai chura na ikitokea ivyo basi hayo ni maajabu,vitu vya kawaida havina haja ya kushangaa si kama pale ukatumia fimbo ya Mbali kuuwa Nyoka wa karibu..

by:benson G.Makaya
email:bensonsmakaya@gmail.com

Sunday, March 18, 2012

SELFISHNESS(3)

 When there is darkness,
we need light...

Light is direction,
light makes the appearance to be consistent if the view was to be there,
 although the darkness also is what we see too,
but not like the light as we may not have thought to why the light was placed,
it follows the  direction.

 it is dark and the light being different into makes sense of beauty and ugliness,
the darkness or bad is the bad visibility or darkness it self,
 because the beauty is as much as when existance of a thing is considerable.
Darkness is a problem,to know where you does not go is not to exist
whether just see the light 
 
sometimes  to affect our bodies
where bodies injured signifies that  what we thought increase if the aim is to get light,
 light that does not  shine inclusivery or as if the sun shining,
other ways are understandable since it was previously,

 now perhaps we understand the meaning of this light and not that, that it's free,
 it’s a good direction,
might be east or west
but it goes that way whether you choose south

 you need a lot of interest and not only to fight for it.
Good of the devil is in the darkness and what not the devil do ,
its  beyond the direction,

we cant  embarrassed for that who he/she made ​​things during  night
 as for instance it does not need to impress a goat rope to where there is glasses
 people can not understand what it means to your require,
 as recognition to be full must be bound in rope which one's  filled
 
and it should be accordingly and built on the prosperous environment
let us  ask oursleves particularly when we need to see because we know why we want to see

lets have succesfull direction
By
trespass LIGHT

By:Benson G.Makaya
Tel:+255714336657
Email:bensonsmakaya@gmail.com

Makaya's Forum: QUALITATIVE...!!

Makaya's Forum: QUALITATIVE...!!: The quality simplify beauties, beauty is characterized as likely exceed it should be very good or very good quality, if it means enduri...

QUALITATIVE...!!



The quality simplify beauties, beauty is characterized as likely exceed it should be very good or very good quality,if it means enduring and valuable present,
So the quality may be under in anything that doesn’t discriminate gender,
Type or kind,

Quality is not a question if looks at you as a person or thing in question,
If one knows the quality of the other capacity and the same was not understand why the highest quality for his own,
Not what it is..

Because we can see only our selves and we learn something, through that
Or we learnt and we understand now,
Because many of the best and they make quality that they are, ie they have been filmed, though not surprised,

Like fashioned ink in pens, it is better but not who made the best pen.
You in ink.
One dreadful needed is the presence of what is in the heart of man,
Including intention to make the quality goals,
The strength of something is its quality,
The quality is not forced to, especially when a person is needed,
The quality is consistent with actions of a person,
A Person or thing.

Many available are, should be done again if it is the quality that comes from within man him/her self,
As the best non from the ideas of this man come from the man him/her self too,
He/she who think.
We can’t get quality for copying, for we can imitate the ground,
There is another quality of appearance only,

As many features that come with the quality then are open and features to be realized that are coming in theirselves,
Not forced, is equal to force quality, is equal to force love,
And understand where we force not that a situation has been difficult but we do that, especially non- important to us,

This all stems from the natural world; they think even when we are,
We are going to show our quality,
Perhaps rather to be glad, because they played,the others,
Although it is true but the quality of man is man himself,
As a few we might not understand and for a time we regret for what else we have.
Quality goes diarrhea anywhere,

Even when in growth for every one who was going to want to show how he/she can matter, action should be praised and has done well,

We can say to show ways to live well in our lives,
Came with others to understand what and where that way when we will ultimately fail if we think that way,
Because they are in place today with its quality ,
And to show the quality it should lose the quality,
The man himself,

The quality of the passer by to critic.
Life and parts thereof are what make we could not seem better,
Life being good or bad, or good to be but on one side,
Which is one to be himself he felt without being seen by the quality?
If areas of quality is less than the reality,

We can modify the non-ideal and that as such we need if we guided ourselves,
We feel confident that we can and will reach over will be given an excellent reputation,
As the often reaches over to a thief is stopped despite desire to steal because they want quality and not has to be the best,

The best are like me,

You and others separate them if our quality is different.

"Our Quality is where we show it. '

By: Benson G.Makaya,
Tel: +255714 33 66 57.
Email:bensonsmakaya@gmail.com

Tutafurahia ushindi kwa kusherehekea tuliyoyafanya...


Panapokuwa na sherehe sio lazima kuwe na ushindi,pengine unaenda katika sherehe kwa vile furaha uliyonayo,pengine ukafanya kusherehekea mabaya na bila kujiuliza mazuri ni yapi
unapoenda sio kule ulipokuwa,ikafika kipindi ukaelewa maneno ikiwa maana yenyewe imekuwa ni ile ile inayojirudia,kipindi kitafika atapewa mshindwa ushindi,
na
hii ikiwa sio kwamba umefanya tofauti bali ni namna ya vile mshindwa alivyoshindwa kashinda,maneno yalipangika tokea muda ikiwa na lile analoliweza mwingine mwache,na ijulikane ushindi huleta furaha iwe ni kwa mshindwa ama aliye shinda kwani wote ni washindi katika namna moja mama ingine.

namna ya kuweza kushinda ni ile ya kuweza kufanya yaani ikiwa alifanya Fulani akaanza moja kwa kushika namba na mwingine akaja akiifuata na mpaka mwishowe ikaonekana nafasi ile ameishika mtu wa mwisho basi naye ameshinda,tatizo litakuja ikiwa itafanyika sherehe isiyotambulika kwani sherehe na zenyewe hulenga ikiwa ni sherehe ya ushindi wa ngapi au  wa ngapi

Chuki haina haja ya kuidhania,na ikiwa imesekana sio kwamba ipo bali ilifikirika,kwani na yenyewe chuki hutambulishwa kwa maneno na hata sura ikaonekana hivyo yaani kichukichuki,sura ya chuki haifichiki ziadi ya ile inayopendwa,

yale yanayoonekana ndiyo yanaumba sura yako kwa majibu yanayotoka moyoni na katika fikra zako,maana inaweza kutokea kipindi ukaambiwa mbona hufanyi kitu wakati unafanya,hapo watu wakitaka kushinda kwa namna yao,na ikiwa utaendelea kufanya hapo utakuwa mshindi na hayo kujulikana kama ni matokeo tu,kwani matokeo hubadilishwa kulingana na namna ya vile wachezaji wanacheza,ikiwa ni tofauti na ilivyo na kwa wachezaji basi hapo matokeo yanakua hayajabadilika,ndiyo vile kufurahia ushindi usio kuwa na furaha,tena na ikaitwa ni sherehe.

Jukwaa ni kwa ajili ya kuelezea ikiwa ni wengi wasikie,sio lazima ukawa ushindi yaweza kuwa burudani,ningalisema ni ushindi lakini ulishauzungumzia zamani sana mpaka ikafika kila mtu akawa na wake,la zaidi ni usijione kushinda kwani yule anayeshinda akitaka kuonyesha akiwa jukwaani hufika mahala na kupayuka,ushindi wako ukafuatana na uelekezi wa sauti,

wengine walioandaa sherehe wakataka watu wao ndiyo waelekeze sauti wakiamini ni sherehe baaadae bila kujua ile iliyopo ndiyo sherehe tosha nyingine inayokuja bado haijaja labda uitegemee tu kwani ikitegemewa sana hapo watu wanaweza kutaka kushinda bure,kushinda bure kuna kwingi hapa kuna kushinda bila kula,bila kufanya kazi au hata kwenda kazini na usifanye kazi yoyote si mshahara unaingia,na ubaya wa makaratasi huwa yanachanika,hapo ndiyo jukwaa litakapotanuka,utasikia maana wale wasafishaji wa vyakula vilivyotumika katika sherehe ya muda uliyopita hawakulipwa nao

Sherehe zimezidi kuwa nyingi na hapa imekuwa na maana ya kuwa mambo ya kufanya yameongezeka,tena ingali watu ni wale wale itakuwa wamekuja na namna tofauti,hili si la kuambiwa zaidi ni kulitambua,ushindi mgumu ndiyo ushindi maaana ya yule anayebisha autafute,kama iwapo mbaya vibaya,ikiwa ni mbaya nzuri.Muda unakwenda sasa na utambue utapamba nini katika sherehe ikiwa umepanga kusherehekea.

By:benson G.Makaya
Tel;+255714 3366 57
Email:bensonsmakaya@gmail.com

Saturday, March 17, 2012

Makaya's Forum: NI SAWA..

Makaya's Forum: NI SAWA..: .......tunapokwenda ni sawa,kwa kuwa kila siku kadri ya zinavyokwenda mwanadamu anaishi katika ile hali ya kutokusema kwamba!! na s...

NI SAWA..


.......tunapokwenda ni sawa,kwa kuwa kila siku kadri ya zinavyokwenda mwanadamu anaishi katika ile hali ya kutokusema kwamba!!
na sio haieleweki,kwani kwa wasio elewa ni lazima kubisha na kwa yule abishaye asome,aone ili aje ahakikishe ni vigumu kuhakikisha kitu ambacho kipo hapa yaani ni wewe ujuaye usawa wake,na sisemi kibaya kwani sio changu..hapa tunaweza kuleta ugomvi na tuelewe yasiyoeleweka yanatoka wapi?

Tuwakumbuke wenye miwani,tusielewe kwamba hawataona,elewa kwamba watahitaji kuangalia zaidi,
labda kuna muda na akili ivae miwani pia,ile kama unazuia jua usiku.
Haya ya kila siku ni magumu kuyafuatilia,ingawa kila siku tunakaa tukifuatilia mambo ili tufanikiwe kwa kile kitakacho onekana,
tusione nyuma.tujaribu kule kunakoonekana,siwakatazi wale wanaorudi nyuma na kuokota vile walivyovidondosha,au kusahau,wakitumia nguvu nyingi wakiacha mengine ya muda husika yanaendelea
Masikini hafirisiki,maskini ni yule mtafutaji,maana anatafuta nini sasa?na akakae kila siku akitafuta bila kujali ni lisilo na muda au halieleweki,maskini anayetafuta huelewa yote

uelewa kuwa yasiyoeleweka ni yale anayoyafahamu ambaye hajaelewa,
ni ruksa kubwa kuunga mtaji kwa maskini kuliko kwa tajiri maana kwa tajiri pale itakuwa ni kuungwa,labda iwe tajiri naye  ni maskini katika nafsi,na ili tuelewe vingine vipo kwa nini,kuwe na vitu vinavyoeleweka ,tuwashe moto bila mafuta na tuone kama hautachoma nyumba,
hapa tusije singizia ni vyanzo vingine,maana sijui zamani walitumia nini..au ni mayai haya?


ukipanda mti na ule mkavu tegemea,
mapya yapo na isije wengine wakaitwa wao ni wa kila siku,labda wazoefu..maana na mambo yenyewe yanabadilika bila taarifa,ikiwa yanaweza kuwa ya kisasa au ya kizamani anayeyabadilidha ni nani?
maana sisi tumekuwa hatubadiliki,yaani tupo vile vile,hivyo ndivyo wasemavyo waungwana.pengine maskini kuwa tajiri yakuwa imeonekana maskini wengi wanatamani hivyo,tajiri hawezi kutamani kwani ametoka huko.

ingawaje tama inafanya kazi popote,labda tuseme itakuwa sio kila siku,maana hapa tutaepuka ubishi na wale wasio elewa wakati haya ni mambo yao.
Naweza kusema yetu au yangu pia pale yatakapo nishinda yale yangu,hata nisiposema sifai kuchekwa kwani nani anayafahamu haya yangu?ni sawa na kumshangaa yule anayeelewa akiwa anaomba msaada wa kueleweshwa,hata tukasema kwamba Fulani huelewi naye akakataa,
usishangae amekataa ni kwa sababu haelewi

Mengi hatuyafahamu...Tutakufa Maskini...!!
by:Benson G.Makaya
tel:+255714336657
email:bensonsmakaya@gmail.com


DO WE KNOW WHAT FUTURE IS?

With the goal of reaching the understanding must arrive in an environment where you say its your time and to each of us to hear there,
 I do not know what is right to know coconuts trees than our bodies?
 Simply that it provides plenty of fruits and know you will bring forth when again without knowing what you are doing,
in life we ​​lived complex has been much less to do what presidents have to be difficult, the former was to give much our sisters.while are serious cases we receive instructions without to know  others have come out.. or we were also favoured by our clients? by our parents.. because they gave our mother's womb ...

Becoming the new others have been happy with it, I can say is strangeness when making of  your own because you accept  Foreign as well as bring development to remember the beginning
 Maan… we say every man take the number it while we were at school,
this stranger was never the same, he is a host, for in spite of knowing importance of what the benefits would have been unconscious and in a loss too,
as coming contrast, one can not want to kill you when you do not want die, it must be said, once you die you will know,because only difference is that possible reasons unknown in advance.

When we sat complex we must realise that easy,
 lest we become the rights and refused to go that is hanging tough rightously.\when you leave behind and look for the alternative likely you know the way through your life,
 if the faith of the complication is that you don’t need

See not every day we say life is good
, Here we have won some things, things that every person has it, what the liking not of you for once had no need to do,
here have we desire to be like our own, ie as it is to me, then to continue to be the  best through me more and not as some

When we test the life brings happy as well as to when the teacher says his students have responded well,
 fear comes when he says, though still not corrected, but he saw in his way,a teacher,

Life has not to make a  man hardship,no matter gender it’s the way through creation
when one wants to go to his life to understand that each day, what disturbes us?

Fulfill when  you see, because its your HEART!!

Benson S.Makaya
Tel:+255714336657
Email:bensonsmakaya@gmail.com.

Sunday, March 4, 2012

Makaya's Forum: SELFISHNESS(2)

Makaya's Forum: SELFISHNESS(2)

SELFISHNESS(2)


(Version 2)
Where there is offended….

Doubt is part of the consciousness of the problems that have no point in it,
Shelves brings difference in heart,
 None are understandable in the form of intent,
 All the shelves are the actions or even thoughts as would come from the one and move elsewhere,
If you really must accept because we refused, we may put doubt,
 What we have seen its small is that brings peace,
 That we stayed together,
 We as brothers and sisters we can do things together,
Things belonging to developments
 Because we are so,
 Peace to make a live lock,
Arrears of doubt brings violence,
 Being much to every one and bring no understanding,
Domination of peace for those things and core continues forward,
 Surely the bad happens more when peace is out of surroundings,
 Most being with money we feel those who don’t have for them on the other hand things can not,
 Become blemishes in the hearts of others,
 that we love to see just by knowing the present we can determine renewed without looking where we will pass because the latter is uniformity,
 Different drivers,
A different way,
And how it is operating is different in all meaning.
Without peace makes existing lips and hearts lost,
 if there be of our lives we have decided to be offended to know when we will be seen that,
 Since there is a visibility turtles different from the real, not knowing what is ignorance feeling of inhabitant human,
 Human, life is going on,
And it may come again,
if where it goes is exactly what we know and where does each one take what is and trust in him/her as the generations become a lest for Their Reasoning for correcting doubt we have.


…KEEP PEACE.

By:Benson G.Makaya
Tel:+255714336657
Email:bensonsmakaya@gmail.com                                Gk point

SELFISHNESS …


 (Version 1).

Don’t like much to be comforted, calmed.

In those which proceed in the world,

 love has held the position as if it is the guide of our lives generally,
 to man the way we feel ought to be comforted and calm, too much,
 is a result of the overcrowding of life that usually we can call them problems,

 As if some say they are comforted comfortably as exceed so much that restore the problems,
Suffering is almost as problems are, that make human activities that may be not planed in our lives,

We got up to go somewhere along the border elsewhere, if we recognize that without understanding where the problems existed even time exists,
 This means time of trouble,
 This time but tend to be servant of problems for the purpose of bringing comfort,
Time is lost to understand,
And here we can assume that we have failed and the time running,
 because we are the physical as we felt,
 when we get problems we want comfort if we have missed to console ourselves,

 Although comfort find it is not in place there but clearly is ourselves to bring about at the time we need,

if souls are united by the presence of our other, then as our need are necessary and others may, 
if it is through the soul of man,
 we look at where we are going, 
where there are a lot more and even be considered,
 so because these writings never was,
 then came the moment which by that time it was then,
And later is now as well.

 to know the value of someone else, 
love,
 if one can appreciate the value of someone else, 
then it also has the ability, 
and so be it, 

because by then it brings the advantage, 
lets not come to know those advantages without LOVE,
 if we can get hard and then we may not give  problems ourselves when we have sympathy and possibly sorrows ever since we sat back and reflected consolation,
 What we feel is appreciated.

Around all those…


COMFORT,  
DO!!

 Gk point.

Friday, March 2, 2012

DALIUS-


DAILY A MAN LIVES IN UN-CONDITIONABLE SITUATION.

Tunaweza kusema hakuna chochote kilichotokea au kitkaachotokea,
kama mambo yanayopita kwa kuja na kwenda,ni kama wanavyosema na  sisi tufanye
Haina maana kama tumemsahau mungu,
mungu nilinde mimi ni kwa sababu ya kutaka kubadili,
yale mambo yaliyokuwa mazuri kwa upande mmoja yahamishiwe na kwingine yasambae,itakuwa ni kubadili,hata kueneza ni kubadili muonekano,
tutofautishe pale palipo na wakati wake,

Pale ni mahara, na isiwe  tukabadilika na kuwa katika mazingira yasiyoeleweka na muda uliotumika ukaonekana hauna maana ya kuwa kila siku watu hawaelewi,hawaelewi kama kilichofanyika ndiyo kile kisichoeleweka au ni ajue maana ile ile.

Binadamu wengi tunaishi katika mazingira yasiyoeleweka,
ya yale mema ndiyo ya kuchanganya zaidi,watu tunakuwa hatuelewei hilo,hili la wema kwani hajulikani ni yupi,na hapa ndiyo kuna kuchanganyikiwa kadri ya siku zinavyoenda
,ni kunatokana na mazingira tu,na hata ukahama na kwenda kwenye mazuri  lazima yasieleweke,utasikia mimi ni mgeni,ili kwamba nafasi apewe mwingine,
hilo halitawezekana,ni gumu.

Wageni  wote watoke nje,tusichanganyane katika zile namba za mwanzo,kama mtakaa basi tufanye wote na tuambiane cha kule,kule kwenyeji,ati mlifanyaje?
Aah siwezi yenu yale ni magumu hayaeleweki,
mgeni kaa chini.haya tutajaribu kuyazoea

Haina maana kufikiri nyuma sana wakati mbele tunaenda
,ni mwanadamu yeyote labda awe na kinyume
kwa pengine italeta maana,ndiyo naye asome na kuyaelewa hayo ya kinyume,kwa walio mbele sidhani kama wanaweza  kubadili welekeo maana yaweza kua nyuma kukawa na mwonekano mzuri machoni pao,
na hapa ikiwa sio ukweli ni nyuma bali ni mbele kwa yule aliyekosea mara ya kwanza

Tunapokwenda ni lazima tubadilike,
sio tu kwa heshima ya baadhi yetu ili kuonyeshana ukubwa ni kusema shikamoo,hapa watakaochelewa lazima waonekane,
ni kwa sababu wamekuja katika muda tofauti,hili litasemeka..adhabu zinaweza kutolewa ikiwa tu tutazidi kutokuelewa ,maada zaidi ni kuhusiana na huu muda,
usiotaka kurudi nyuma na ikijaribiwa anaonekana yule aliye na wake,
tukavilaumu vichwa kama changu yaani wewe``changu yaani wewe” hata tusipoelewa yote hii ni kwasababu ya dalius

Tusidhani haya unayoyaona yapo,yenyewe na kwa kudhani ni yale yasiyo kuwa na muonekano wakati wa kujibu maswali ya kila siku,
haya maswali yanayohusiana na muda yaani wakati na tukio muhimu,na ndiyo hasa tukasema ni pale..yani ilitokea,
hii yote ikiwa nazungumzia yale yasiyoeleweka,katika muda halisia.

Ili kuyaweza mambo yasiyo eleweka kama kuyaacha ulishindwa basi badilika!!

By:Benson G Makaya
email:bensonsmakaya@gmail.com
tel:+255714336657

Thursday, March 1, 2012

Makaya's Forum: Excellent ideas which stands..!!

Makaya's Forum: Excellent ideas which stands..!!

Excellent ideas which stands..!!


For all those who stand and see, as where the sun rise and shine,
It is not to stay and think alot that life is going too hard
I do not know. When young stand, yet still we come right back
We remain mouth less, we sang much other should not mean
`To think allot and to fight’
Power,that is strengths is to be used by young’s
An evil street does, I do not know if it’s themselves or a curse
I fear to say too much, thinking adult I didn’t started yesterday
When we think how it touches, life is not a banana as to be touched
Waiting for good became broader, to see those underprivileged
Those of tomorrow not only of yesterday
May be done to bring meaning, filled with non-similar
Do not be afraid, especially in terms of the foundation, is to fight
Century not argue, we overlap, we bowed
For shame we will see, we rushed out the corner where the front is near
Lets not turn back to see what we go forward to meet
To fight applause for the best that would portray
We are one, we are together.....
By: Benson G.Makaya
Email:bensonsmakaya@gmail.com
Tel: +255714336657

Makaya's Forum: EMERGENCY.

Makaya's Forum: EMERGENCY.

CHOICE..!!


Choice lays with the person and his/her decisions,
And when we include a person then it is his/her choice,
The knowledge and ability,

Upon the mind there is a way to correct the existing to be known,
Many have had, those things rock of origin or meaning in life is killing our own choices,
The mean is an option now,

Fear of the future, at the term, in the sense of someone feelings,
But the focus and direction remain there where intentionally
Where intentionally not there on my side,

I said there that it was my choice, and if you want to be there it should be your option,
All options may be place together, meaning our souls (me and you) are not those with one option.

These mostly not mean that every person has to be his/her lot for what is present
But not what we expect
Afraid to choose what we do not depend on still thinking that are proportional that we need to choose good,
Not just for looking the past or what we expect more options needed to be done now, and for the existing

Time is going out and of ale we ought to have as options running as well,
Not as we say and we ran well maybe anxious consciously present,
Will be present and the past will be an option as well,
In terms of other choice maybe lets worry for all that brings elector in order to choose the best too,
If we start with the source

For one who has a diagnosis can not hurt for the option without being outstanding,
Quality is the choice of a person when making it in a correct way,

Not only to look by eyes for the place is more accurate, because even they were not exist, the desire exist and there really is to others,
Like feet, hands and other organs of the body that is the CHOICE of God,
For even spoke with his example,
Then lets like our electors.

My choice

By:Benson G.Makaya
Email;bensonsmakaya@gmail.com
tel:+255714336657

Makaya's Forum: ISHI NA YAKO

Makaya's Forum: ISHI NA YAKO : Watakwambia unabahati kwakile ulichokifanya kilichokufanya uwepo hapo,kujipa ufalme na kuzungumzia maisha...