Thursday, September 20, 2012

KATIKA KUJILINDA...

Hakuna kusamehe kama inakuja nakukumbushiana,maana bila ya kupata baadhi ya machaguzi pengine hata ingalikuwa ni kifo maana kwa vitendo vinavyotendeka yaweza kuonekana kama umeona kumbe ni swala la kukimbia majukumu na kukata tama katika yale unayoyafanya,mwanzo ukitegemea uwe mwisho pengine utasubiri sana kwani inapoisha huwa kama inapoanza,pengine tukiweka katika jambo lolote na  ya kuwa ni msamaha basi isiwe kama ni ugomvi,ili ikiwa ni mwanzo kweli mbio ziokoe taifa.
Mageni mengi ndiyo yanayotaka usaidizi ikiwa ni mwanzo wa kutaka kuelewa ama kutokuelewa kwa lolote,pengine mambo kwa walio na mengi ni bora kuanza na machache kwani katika kushugulika na mihangaiko ya huko kukutana na wengi,ya msingi yakiwa ni mengi kwani hayo ndiyo uliyonayo,siyo kwa mahesabu ama hata tukianzia enzi za mababu,kwa walio na usaidizi bora kupunguza maana ni sawa na kuleta inzi kwa kutaka mateso kuendelea.
Katika kujua ni zaidi ukajua kuweka ,maana utawekewa na usijue lolote,pengine ujue kuwekewa lakini si kuweka , kwa wengine utasikia karibu wakikupa chombo wakijua unajua,pengine isiwe katika namna ya kutengeneza na tukajaribu kutafuta maana kwa mpangilio uliopangwa unachanganya sana,pengine haikupangwa vyema,ama hujajipanga,na ili uwekwe katika ubora na kiwango ni lazima kushukuru kwa hofu zote maana zaweza jirudia usijue kama ulipitia.

INAPENDWA POCHI...


Pochi ni sehemu ya hifadhi katika yale mwanadamu anayoyaona anayaweza ikiwa katika kuweka ama umbile kwa namna ya kuleta muonekano mzuri,leo nasema ikiwa kwangu kesho kwako,maana kama itakuja leo kwangu,ikaungana na kesho kwangu basi jua zinazofuata ni zako tena mgawane maana hata katika pochi zimeisha,ikiwa za mfukoni hamzipendi kwani ni wazi sina usafiri na pengine ikawa ni chenji  katika mizunguko.
Napenda pochi kwa hifadhi langu nililonalo,wanaopenda pochi ni kwa nafsi zao walizonazo,maana wengine hawatembei na pochi lakini kwa namna ya wenzao wanavyozipenda pochi zao ni hali ya kushangaza kwa kushindwa na hata kubembelezana,mara nyingine ni vigumu kutoka kwa lazima zaidi ya vile ilivyoandaliwa,ukiwa hauna namna ya ubebaji katika hitaji kwani pengine tukajadiri dini,maana na pochi zetu zahitaji Baraka zake.
Tusije tupiana lawama kwa yale yaliyovuruga amani,maana kwa pochi za malengo huaribu sana sherehe.nakupenda hata usiku nakuwaza,tena kama ingalikuwa ni nyimbo basi ningekupigia hata nyingi kusambaza,maana katika kuelewa namna ulivyokuja na kuondoka ukiwa mfuko umetoboka basi kwa wabeba kubwa ,watufichiee na zetu ndogo humo.

SIMBA WA YUDA.


Akiunguruma wageni wakiwa kwa wingi maana wao wamechangia sana,na hapo zamani za kale kabla ya kuanza moja alikuwapo kueshimika simba wa yuda,ukaogopa ukali bila ya kujua matumizi na kwa yale na lile ulilopewa.machache yakaonekana ya shetani kumbe katika kiumbo bado haijafikirika,ikiwa unaweza kuchoka na kufutwa jasho tafuta kifutio,kikiisha bila ya kujua namna ya kufuta hapo shari,ingali hata kifutio huna ungesaidikika.majasho yana ishi.
Unaweza kulia kwa kufanana matendo na kusahau kushoto kiama,kwa sauti zitokazo zikiwa zinaimba ni namna ya mwituni akiwa wa yuda simba,leo akitaka majani yu radhi kupata ya kuwa anaunguruma,tena si katika namna ile ya kupokonywa majani hayo,ukilazimisha utamu wake.wachache wengine wakijaribu kufuga simba wao wanakuwa hawaungurumi ya kuwa wamefungwa koromeo,ni midomo ilionekana mwanzo,na ikaeleweka namna ya mwanadamu anavyoongea.
Leo nimekuja na nimepata mengi sana,ikiwa kuambiana kama hujasoma kwani kusoma nini?maana heli ya ubaya kuliko ubaya wa uzuri.Kheli aje simba wa yuda maana kwa mengi yasiyoeleweka kueleweka,ikiwa umesoma basi si vile ilivyo katika shulekusoma,maana yenyewe ina mengi ya kufundisha,kukicha kesho kubali kuwa umeelewa,ukitaka kujua umeelewa vipi,kujua namna inavyo unguruma.

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...