Saturday, September 29, 2012

MADHALA...


Tusidhulike tena ya kuwa  mandhali zimetengenezwa,pengine ikiwa ni mipango tangia ya mababa zetu kwani ilivyo ki enzi za zamani babu anaweza asihusike sana,vingine vikija katika namna ya kusaidia kipato,vingine vikija katika namna ya kusema haya ni maisha tu,maana ikiwa kuna kujifariji ili ieleweke kwamba hakuna madhala ndani yake.

Mengi yanayopoteza muda huwa na muda wake wa kurudi.kwani mwanzo wa kitu ndiyo kuumbika kwake ikiwa haijatokea kuwa na mwelekeo wa kuleta madhala kwani kama ni mpofu wa macho basi atatengenezewa namna ya kutokudhulika ikiwa mtu mwenyewe umejua kudhulika,mambo na vitu vinavyoendelea ni mlengo wa wewe mwenyewe,kwani ikiwa kuna kufa haustahili kukaa karibu na madhala.

Pengine yafanyike taratibu,ikiwa tunajua kila starehe ina mtu wake basi  ni kama kumpongeza mwizi anapoiba vizuri,na kama ni mlevi basi aje atuimbie kwa maneno atayozungumza,pengine ataleta radha iliyo tofauti,imekuwa ni kama  kioo kwa vile watu kwenda na kujiangalia,yaani kuweza kuongea si namna ya kuongoza wanaoongea..isije onekana kujaribu wakati kuna uwezekano.pengine tusifanye ya kuwa tunataka kujaribu.

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...