Tuesday, March 27, 2012

NAFSI HURU


Namna tunavyoweza kujitambua  katika kufikiri na vile ilivyo kwa kuona na kusikia.basi nafsi inaweza kuwa roho.Kuweza kujitambua ni kuwa na utambuzi,utambuzi wenye mtazamo halisia na Yule mwenye nafsi.nafsi huru ndiyo ile inayofikiria mema juu yake,ikiwa mema ni yale ya mtu mwenyewe hivyo tunafika na kuona namna nyingi za kuifanya akili  yako kuwa katika mtazamo ulio bora kupitia nafsi.

Usichukulie vitu ki mimi zaidi, hapa nikiwa nina maana ya ubinafsi,wengi wetu hatulewi nini ushirikiano lakini ukitegemea kwa kutofanikiwa kwa yale unayofanya peke yako,sijui ingekuwaje kwa jinsi ungevyomlinda Mungu kama ingelifahamika tu kila mtu amekuja peke yake na wake,yaani haieleweki alipotokea ni mshtuko na kukutwa yupo akinyonya maziwa yaliyoshushwa mbinguni,ingelikuwa ni hatari sana kumzidi kuweza kufikiri mmoja wapo asiyenyonya  lakini si  katika nafsi ya pili na kuona katika jicho la tatu.

   Sahau yako yaliyopita yale ya zamani.ndwele,ikiwa sio mazuri au mabaya kinachohitajika hapa ni kuweza kusahauika ,ni mengi zaidi yanayokuja hasa tukiangalia na yenyewe yanahitaji akili na nafsi zetu hizi hizi ili kuwezakufikirika,binadamu ana aina ya matendo pale inapomkutia nafsi yake,sipendi kumsingizia mungu lakini kwa mwanadamu lolote lina haki kutokea mbele yake ikiwa  ilipangwa kuishi hivyo inatupasa kusahau inapobidi na zaidi ni kuweza kufikiri yanayobidi.
.
   Kubali yale yasiyo badilika kubali kuna yale marahisi,kubali kuna yanayowezekana,ikiwa yamewahi kuwezekana kwako basi kubali pia kuwa kuna yale yasiowezekana maana ingalikuwa hivyo tungefanya vyote wote tena bila kujali,magumu mengi huchanganya wanaadamu hivyo kufanya hata kuchanganyikiwa,hapa haina haja ya kuchanganyikiwa endapo utafahamu kuwa yapo ambayo hayawezekani katika nafsi yako.

   Kuwa mvumilivu…hatuwezi kusema uvumilivu ndiyo kila kitu kwani hata tukiuvumilia moto mwishowe ni kuungua tu,hata ukavumilie mazuri kwani mabaya ni yapi?uvumilivu unahitajika katika watu pamoja na maeneo pia.huku akili timamu ikitangulia kutafuta majibu sahihi pakiwa na uhuru ndani ya yako,uvumilivu ni njia ya ushindi pale unapotakiwa , unapaswa kuwa wavumilivu ili kuweza kujua hasa ni nini zaidi ambacho kinapasa kuvumilika.

 Kaa mbali na wale wanaowaza tofauti na vile utakavyo  wala hapa tusitengane wala haina haja ya kubaguana,la msingi zaidi ni kuweza kuwaza ilivyo tofauti na vile wanavyowaza wachache wale wa tofauti,na lengo liwe ni kutaka kuleta utofauti tu,na badaye kuwa bora katika utofauti huo,
maana unaweza kuona kuwa Fulani yupo tofauti kumbe naye anaona swala hilo ni lipi na upande wake kwako pia.

    Nafsi yenye vita ina wivu..wanasema  wivu hudhihirika katika mapenzi ya ukweli,hapa upendo umeonekana ni bora zaidi maana unawezaje kuwaonea wivu wale watu unaowapenda?wivu hautakiwi kokote kwani ni sumu,tunasema sumu ni sumu tu haina idadi ya kua ni nyingi ama ndogo hapo matokeo ndiyo husema,na  wivu usiwe mwingi,hapo utavuna mengi zaidi.nafsi yako itadhurika

    Usiweke na toa kinyongo nafsini,Weka Nafsi yako huru..moyo unamengi sana ya kufanyia kazi ,kipindi unaweza kukuta mwanadamu anataka kujiua hiyo ikiwa ni namna ya mashambulizi aliyokumbwa nayo  katika sehemu yake maana uwanja wa nafsi ni mmoja lakini namba tofauti.watu tupo tofauti.hivyo katika yale ya kuumia zaidi iwe ki hasara ama faida yatupasa kuondokana nafikra hizo chafu na nzuri katika upande wa mtu husika ili kuwa huru. katika mawazo uliyonayo.

 Punguza muda wako katika kuangalia tv na kusoma magaeti muda ulionao ni kwa kuwezesha mambo  kwenda katika mtazamo ulio bora hivyo yapasa kuimarisha ubongo na sehemu zake nyingine kwa kuweza hasa kusoma na kuangalia matukio na vitu mbali mbali ambavyo kiharisia vina punguza kasi ya akili katika kufikiria mambo yasiyo kuhusu na zaidi kujishugulisha na kwa nini sio mimi,hiyo ikiwa ni kama njia moja ya mafanikio binafsi maana akili njema hufuatana nayale inayoyafikiria.

       Jishugulishe fanya mazoezi.vile ilivyo maazoezi sio lazima kunyanyua vitu ambavyo ni vizito labda lakini unawezakufanya mazoezi marahisi yatakayo weza kukufanya kuwa katika mtazamo Fulani,
yaani ikawe unafanya mazoezi huku ukifikiri hayo mazoezi katika kuujenga na kuimarisha miili yetu.
unapoimarisha mwili wako  unaimarisha nafsi yako

  Jifunze namna ya kuweza kukaa kimya na kufikiri juu ya maisha yako.muda mwingi huwa tunakaa hasa tukitafuta maisha lakini nafsi na akili zetu zikiwa baado hazina utulivu,hapa tunashauriwa kutulia kwa muda na sio bila kuongea lakini pale inapobidi hii itasaidia katika kujua yale mazuri kwa upande wako na yale mabaya pia.


By Benson G.Makaya

Friday, March 23, 2012

22/03/198...1+1+1+1+1+1+1.....

Kweli mwanzo  ni mgumu.lakini sio kila lenye ugumu ndiyo linaanza maana kuna mengine yasipo kuwa yako bila kutambua unaweza kudhani yameumbwa magumu hivyo yenyewe huendelea mpaka pale yatakapo kuwa marahisi na labda usitake kujua tena maana haukufahamu mwanzo kama ni magumu.na yaweza kuwa isiwe mwisho wake ikiwa imeaminika kuwa yanakuja na kuondoka,kama yanabaki basi yamependezesha mioyo katika namna yake ingawa ya leo sio ya jana lakini inawezakana.
Leo ni siku maana sijui kwa nini hata watu tungalikuwa muhimu kuliko siku tungeitwa siku.siku hii au ile tukaitofautishe na namba,tunaweza kutofautisha mengi sana hata siku zenyewe zikawa hazina maana na kutokujua ni lipi na ipi.maana hata jumapili imeshirikisha namba,na wengine tukapumzike hapo.kwani yapasa kuzijua hesabu tena tuzishike kabisa kama ni siku ya saba au ikafahamike itafika siku utajua kwa nini unakula mara tatu, na pengine je ukaamua sio wewe tu hata hali ya maisha ikaamua maana unaposema haiwezekani ikiwezekana huwa Mnakaa kimya
Unajua juu juu na hakuna lolote ikiongezeka basi ujue hiyo ndiyo tabia ya namba hapa namba zinasema ni lazima kutangaza maana ndiyo zimetofautisha siku,haina haja ya kuhesabu matendo labda useme ni siku ngapi zimepita mpaka sasa,maana zinavyokuja si ya kwamba hayakugangwa yakutokufahamika na hapa tutajua kama za nyuma tulizitegemea.
Ukubari kutoa shukrani ingawa mengine yaweza kuyafanya mwenyewe shukrani huwa zinampata Yule aliyepewa,hata sikuweza kuwafahamu wazazi pale kabla sijazaliwa yaweza kuwa ulikuwa ni wewe hapa haiitaji kuongeza neno kwani bado sina meno,Zaidi ni kushukuru kwa Baraka na hekima walizokupatia
ASANTE BABA NA MAMA.
LEO NI SIKU YANGU YA KUZALIWA...

Tuesday, March 20, 2012

LIFE IS SIMPLE,



Maybe we can say we need a change ..
we need to stay and do together..
Life is in the form of survival, 

change is natural to visibility other than at the other,
 As what is done it have great ability of being able to change,
Especially when we decided to do things, 
and this in doing is we are doing each other in the form which we may or not,
 but all in all if it is change.,
Lives are changing for the world and how the world it goes.
In any containers with easy loaded then difficultis should occur,
And this as when we do different,

others will see that the question one ask is hard and some will see also  that is simple,
and that we should give way in locating the difficulties that the easy ones are still difficult Sometimes occurs as the fundamental understanding is also different,
 Life is how we walk, we sit, we eat to get strong and how many other,
 and it would be difficult if we say life is just as walking,
 For those who run will bring the war because they will be seems  fast for some things,
few of them heard These days are not as old as the Blessing started had come to them, 
and not understand why blessings,
and we could understand its effects and benefits,
 if we had gotten benefits in the future could be a disadvantage,
since it is a way of living well, living in tune with how the world is,
 we live because the world existed.

I need to change the world,
perhaps thinking of those few,
 meaning that we passed to the streets we get to hear and understand that we were different,
maybe to say every man has a world of his little that we must be,live in it…
 know as what insisted to be liked more have more than one property,
 with more than one ownership is easy to round and round even itself only if it needs to change,
and must when it cant round itself for ourselves, for the time we are going and we can see that we have to change it ourselves,
Obviously as if and its diameter is…was!
Out of fate unseen able got to be acknowledged immediately,

 We should pray for a living in us because we will be repeating era that were most difficult,
 We can be. We know how we reach here and are as descriptive for others,
 Maybe it is for those difficulties,
 if perhaps not fully understand then return there, why…?

Our wrath will still not means we died at the first time ,
 do remember well, because we need change that is consistent,
 and here we must remember that where is the best way ..
 Because we are from where if it does not need to see frontward.
acknowledge and  remember,
 life is like THAT.
not just...!!

By: Benson G. Makaya,
Tel: +255714336657.
email:bensonsmakaya@gmail.com

Monday, March 19, 2012

Makaya's Forum: FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI !!

Makaya's Forum: FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI !!: Umbali unakadiliwa na fahamu, ikijumuisha macho na namna ya shabaha,shabaha hazitokani na yaliyo mbali ndiyo maana ikawa kwa nyoka kuul...

FIMBO YA MBALI HUUA NYOKA WALIO MBALI.

Ikijumuisha macho na namna ya shabaha,shabaha hazitokani na yaliyo mbali ndiyo maana ikawa kwa nyoka kuuliwa kwa fimbo za karibu,hapa usifikiri kifo kikawe ni kifo cha hatari nacho ni kifo kukiwa  na sababu ya kujikinga hapo itaeleweka ni kuokoka,yaani kutoka katika umbali  na uadui.
ikiwa kwa kusikikiliza na kufuatilia kwa ukaribu unaweza kung’atwa na kutiliwa sumu kali ya hatari.

Kama hauelewi ujue sio wakati wako hapo inakulazimu kuuliza ama kusubiri,na hii dawa ya kusubiri ndiyo kuu zaidi maana inaonyesha uvumilivu,yaani ni namna gani,tena uvumilie ukiwa unajua unachovumilia.ikiwa mwanadamu na yeye anauliwa kwa fimbo huna budi kutumia magongo ama mabomu,nyingine nyembamba zingekuwa ni risasi ndogo ndogo na pengine ilivyo kwa mabomu ukapata taabu maana kuna wale walio mbali,wao hufanya hata wakijua wanakosea kweli yakuwa adhabu wanafahamu na kuona wako mbali haitawauma

kukomaa sio kwamba fimbo haijaingia tena maumivu yanaweza kuwa ni makali zaidi ya aliyetazamiwa akilia,ni namna tu ya kuzifanya fimbo zieleweke,Nyoka hatari kwa mwanadamu humkimbilia ikiwa ni kujikinga,na hapa ndipo inabidi utafute fimbo ya karibu,ujikinge na hata walio mbali hata wakija karibu uweze kuwachapa zaidi ukijaribu kufanya fimbo kuwa mkuki kwa kulenga ya mbali.usifike mbali kwa kuwafikiria hao nyoka,zaidi jaribu kutafuta fimbo imara kwani magogo na yenyewe ni mazito sana na ukifananisha magogo na fimbo hapa  utaua nguvu zako wenyewe maana inaweza fika wakati ukajiandaa kwa shabaha ukifikiri watakuja nyoka hao na wasije,
au wakaja katika namna ile iliyo ya gogo,

Angalia  yaliyopo maana umeyaganga wenyewe,yajayo kwa yaliyo pita haya mengine yanaweza kuwa hayana mwenyewe maana na wenyewe nasikia walishayaganga ni kumwachia  chura vurugu za nyoka ukitegemea kwenda mbali kuitafuta fimbo.baba anapomgombeza mtoto kama hasikii siku ifuatayo inapasa mama akataze,na ikiwezekana agombezwe yeye.nakumbuka usemi usemao mtoto wa nyoka ni nyoka,hii sio kwamba haieleweki nyoka ni nani ila ikiwa na mlengo wa kutaka kufahamika kwamba nyoka hazai chura na ikitokea ivyo basi hayo ni maajabu,vitu vya kawaida havina haja ya kushangaa si kama pale ukatumia fimbo ya Mbali kuuwa Nyoka wa karibu..

by:benson G.Makaya
email:bensonsmakaya@gmail.com

Sunday, March 18, 2012

SELFISHNESS(3)

 When there is darkness,
we need light...

Light is direction,
light makes the appearance to be consistent if the view was to be there,
 although the darkness also is what we see too,
but not like the light as we may not have thought to why the light was placed,
it follows the  direction.

 it is dark and the light being different into makes sense of beauty and ugliness,
the darkness or bad is the bad visibility or darkness it self,
 because the beauty is as much as when existance of a thing is considerable.
Darkness is a problem,to know where you does not go is not to exist
whether just see the light 
 
sometimes  to affect our bodies
where bodies injured signifies that  what we thought increase if the aim is to get light,
 light that does not  shine inclusivery or as if the sun shining,
other ways are understandable since it was previously,

 now perhaps we understand the meaning of this light and not that, that it's free,
 it’s a good direction,
might be east or west
but it goes that way whether you choose south

 you need a lot of interest and not only to fight for it.
Good of the devil is in the darkness and what not the devil do ,
its  beyond the direction,

we cant  embarrassed for that who he/she made ​​things during  night
 as for instance it does not need to impress a goat rope to where there is glasses
 people can not understand what it means to your require,
 as recognition to be full must be bound in rope which one's  filled
 
and it should be accordingly and built on the prosperous environment
let us  ask oursleves particularly when we need to see because we know why we want to see

lets have succesfull direction
By
trespass LIGHT

By:Benson G.Makaya
Tel:+255714336657
Email:bensonsmakaya@gmail.com

Makaya's Forum: QUALITATIVE...!!

Makaya's Forum: QUALITATIVE...!!: The quality simplify beauties, beauty is characterized as likely exceed it should be very good or very good quality, if it means enduri...

Makaya's Forum: ELEWA 2

Makaya's Forum: ELEWA 2 :   Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...