Saturday, November 17, 2012

AMUA YAKO.


Duniani wengi humkimbia mtu kipindi cha shida,wanaoamini kufika darasani ni kuelewa zaidi ya maisha yalivyo wameelewa tofauti,ikiwa ulienda na ukasoma shule jua kuna maisha,hivyo shule ikusaidie kuishi,hata kama hujasoma Isiwe usijue nini maana ya gurudumu na wakati unaona linazunguka,ombea kuwa wa ndani maana ukionekana tu kipindi umechoka wenye raha zao watafanya maamuzi,maisha si unavyotaka mwingine wewe yawe kwa mwenzako,amua maisha yako leo kwa kufikiri sahihi,kubali kuwa haukuja duniani ili uishi tofauti na unavyopenda.

Hakuna mtu anayependa kulalamika au kumlalamikia mwenzake kwa kutokufanya jambo,ila ikitokea umechemsha kweli ni lazima kuzungumziwa na baadaye zikionekana lawama ni vile utakavyokuwa umeamua na ndiyo kujifunza,ukikubari kujifunza ni umejua,umeelewa maana yanayokuja ni mengi zaidi ya uliyoyapita,kumbuka mbele kama unaweza zaidi ya ilivyo huko nyuma,maana isije tokea ukasema kulikuwa na utabiri,inatokea wakati mtu kutofautiana kwa kutokuelewana ina weza wote tukawa na maana moja tatizo likaja kwenye kuelewa,isingewezekana kumwita mwenzako chizi bila kuujua uchizi,kuujua uchizi ni kuwai kuwa hata chembe hai zinazoelekea..😊

Hakuna uhitaji wa kuwa na haraka kwa kuogopa wasi wasi,maana imekuwa kama mbuzi anapoona majani ya miiba,ikiwa hayapatikani basi yakionekana adimu na kutakwa kwa sana,ukijisahau u adimu itakuja zamu yako utashindwa kuweza japo kwa kuamua maana fikra ndogo na maamuzi mengine hayahitaji ufahamu unaoujua wewe,hapo watakuja watu kukuamulia,tena ikiwa haukuamua vyema itaonekana maamuzi yako si bora kuliko ushauri unaouhitaji jua namna ya kufanya sahihi pale unapoamua,jua ulichokiamua juu ya maisha yako kamwe usiigilize.

Cheka na maisha yako.

No comments:

Makaya's Forum: ISHI NA YAKO

Makaya's Forum: ISHI NA YAKO : Watakwambia unabahati kwakile ulichokifanya kilichokufanya uwepo hapo,kujipa ufalme na kuzungumzia maisha...