Friday, June 8, 2012

MOYO WAKO.

Inapofika wakati isiwe na maana ya kumchagulia mtu,pale inapokuwa imewezekana basi ndipo huwa yanaonekana ya maana,maana hatuwezi kusema usiku ni muda wa kulala na wakati watoto bado hawajala,tukitumia damu hatutaweza kujishafisha na dhambi zetu bila maelewano,na tukataka kuelewana ili hata kwa yule asiyeelewa akaelewe,

Wana jeshi wengi wametuzunguka,matapeli kweli tunawakumbuka,wakijifanya wakihasi hata kwa kuuchoma moyo mkuki,tungalitukitaka kujua jana fulani kasema nini basi ni lazima tukae chini tukumbuke,askari mmoja aliyemdhuru askali mwenzake,maana pale yaliyotoka yale ya moyoni,yalikuwa tofauti sana na vile ilivyokuwa katika kupigana,haikueleweka,pengine hawaelewei,mwanajeshi aliye bora hapigani,mwanajeshi waliye na moyo bora anapigana..ni anataka haki,na haki ya moyo hutenda kile kisichorudikana,hufanya kazi pale ikawepo imesemeka,na hata kufanyika pengine.


Jamani tufuatane,jamani tuungane,katika vigumu vya kuunganisha ni mioyo,iwepo mioyo tukapeana hadi wanaume,pengine ndiyo maana yapasa kuoa,yapasa kuwa na mtu wa karibu japo ya moyoni kabla ya mkuki tukayaskia,mioyo ikiunganika ndiyo pale kunakuwa na upendo,pale tukapendana hata kwa bila ya kuonana.

Moyo wako ukisema vizuri usikilize,maneno yako ukiyaone mazuri yasikilize..tunapotaka kuwa watu wazuri ni tunataka kuwa na moyo mzuri,tukumbuke damu imesambaa kwingi,imeingia akilini mwa watu na pasieleweke ikigombaniwa nini?kama ni pesa ni kuzitafuta na vile ilivyo furaha iyo ni ya mtu,furaha ya mtu anayo mwenyewe,kwa yule anayeitafuta furaha asipoifahamu yake tumwangalie asijeleta vita tukachomana mikuki.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...