Katika
kutumika ni lazima kusafiri na kujua katika nafsi umeweza kufikia malengo
fulani,umekuwa katika akili na yote kufanyika ikiwa kila mmoja amechukua nafasi
yake,kufuta yale ya zamani pengine yanaweza kuwa mabovu,katika kufanya maisha
yawe katika namna ya kutumika ni kuendelea na maisha yako katika mlengo wa maono na dhumuni ikiwa vyote sio kitu kimoja,na hapo ukafungue milango yetu
ya kuelewa ili uweze kuelewa namna ya kuishi,tofauti ya vile unavyotamani.
kila
maisha ya mwanadamu yana maana yake ikiwa sababu imeanza kwanza,hivyo mwanadamu
anapaswa kufanya na kuingia katika mawazo ambayo yanaweza kumjenga ili yeye
mwenyewe aweze kuelewa sababu yake,unaweza kuishi tofauti na kusema hiyo ni
sababu moja wapo ya kuishi lakini sio ile moja ambayo kila mtu anayo ya
kwake,pengine haikupaswa kuishi hivyo unavyoishi,ama ilikuwa ni chini sana na
kutokana na juhudi zako umefika hapo,na hiyo ni kwa sababu ilisemwa lazima
kufanya ili kusaidikika,pengine mengine yakiwa ya ziada na msaada basi unastahiri kushukuru kwa yote.
Bila
kukubali katika maisha ya kutumika hapo hatutatumika,hapo hautajielewa vyema
vile ulivyo kwa maana ya kutokujua uwezo wa kweli ulionao katika sababu ya
kuishi humu duniani,pengine inakulazimu kujua yapasa muda mwingine kupata vile
vya pembeni na hiyo ikiwa kila mtu ana asili yake ya kupata kile kilicho cha
pekee kwake,pale unapotumika uangalie muda ya kuwa kuna kuharibika baada ya
kukaa muda mrefu,na kama tutaharibika na kuendelea kutumika hapo utakuwa unajizika wenyewe ya maana kama wafu.Tuzitumikie nafasi zetu vile tunataka
maisha yetu kuwa.
No comments:
Post a Comment