Saturday, March 17, 2012
Makaya's Forum: NI SAWA..
Makaya's Forum: NI SAWA..: .......tunapokwenda ni sawa,kwa kuwa kila siku kadri ya zinavyokwenda mwanadamu anaishi katika ile hali ya kutokusema kwamba!! na s...
NI SAWA..
.......tunapokwenda
ni sawa,kwa kuwa kila siku kadri ya zinavyokwenda mwanadamu anaishi katika ile
hali ya kutokusema kwamba!!
na sio haieleweki,kwani kwa wasio elewa ni lazima
kubisha na kwa yule abishaye asome,aone ili aje ahakikishe ni vigumu
kuhakikisha kitu ambacho kipo hapa yaani ni wewe ujuaye usawa wake,na sisemi
kibaya kwani sio changu..hapa tunaweza kuleta ugomvi na tuelewe yasiyoeleweka
yanatoka wapi?
Tuwakumbuke wenye
miwani,tusielewe kwamba hawataona,elewa kwamba watahitaji kuangalia zaidi,
labda
kuna muda na akili ivae miwani pia,ile kama
unazuia jua usiku.
Haya ya kila siku ni
magumu kuyafuatilia,ingawa kila siku tunakaa tukifuatilia mambo ili tufanikiwe
kwa kile kitakacho onekana,
tusione nyuma.tujaribu kule kunakoonekana,siwakatazi
wale wanaorudi nyuma na kuokota vile walivyovidondosha,au kusahau,wakitumia
nguvu nyingi wakiacha mengine ya muda husika yanaendelea
Masikini
hafirisiki,maskini ni yule mtafutaji,maana anatafuta nini sasa?na akakae kila
siku akitafuta bila kujali ni lisilo na muda au halieleweki,maskini anayetafuta
huelewa yote
uelewa kuwa
yasiyoeleweka ni yale anayoyafahamu ambaye hajaelewa,
ni ruksa kubwa kuunga mtaji
kwa maskini kuliko kwa tajiri maana kwa tajiri pale itakuwa ni kuungwa,labda
iwe tajiri naye ni maskini katika
nafsi,na ili tuelewe vingine vipo kwa nini,kuwe na vitu vinavyoeleweka ,tuwashe
moto bila mafuta na tuone kama hautachoma nyumba,
hapa tusije singizia ni vyanzo
vingine,maana sijui zamani walitumia nini..au ni mayai haya?
ukipanda mti na ule
mkavu tegemea,
mapya yapo na isije wengine wakaitwa wao ni wa kila siku,labda
wazoefu..maana na mambo yenyewe yanabadilika bila taarifa,ikiwa yanaweza kuwa
ya kisasa au ya kizamani anayeyabadilidha ni nani?
maana sisi tumekuwa
hatubadiliki,yaani tupo vile vile,hivyo ndivyo wasemavyo waungwana.pengine maskini
kuwa tajiri yakuwa imeonekana maskini wengi wanatamani hivyo,tajiri hawezi
kutamani kwani ametoka huko.
ingawaje tama
inafanya kazi popote,labda tuseme itakuwa sio kila siku,maana hapa tutaepuka
ubishi na wale wasio elewa wakati haya ni mambo yao.
Naweza kusema yetu au
yangu pia pale yatakapo nishinda yale yangu,hata nisiposema sifai kuchekwa
kwani nani anayafahamu haya yangu?ni sawa na kumshangaa yule anayeelewa akiwa
anaomba msaada wa kueleweshwa,hata tukasema kwamba Fulani huelewi naye akakataa,
usishangae amekataa
ni kwa sababu haelewi
Mengi hatuyafahamu...Tutakufa Maskini...!!
by:Benson G.Makaya
tel:+255714336657
email:bensonsmakaya@gmail.com
DO WE KNOW WHAT FUTURE IS?
With the goal of
reaching the understanding must arrive in an environment where you say its your time
and to each of us to hear there,
I do not know what is right to know coconuts trees
than our bodies?
Simply that it provides plenty of fruits and
know you will bring forth when again without knowing what you are doing,
in life we lived complex has been much
less to do what presidents have to be difficult, the former was to give much our
sisters.while are serious cases we receive instructions without to know others have come out.. or we were also
favoured by our clients? by our parents.. because they gave our mother's womb
...
Becoming the new
others have been happy with it, I can say is strangeness when making of your own because you accept Foreign as well as bring development to
remember the beginning
Maan… we say every man take the number it
while we were at school,
this stranger was
never the same, he is a host, for in spite of knowing importance of what the
benefits would have been unconscious and in a loss too,
as coming contrast,
one can not want to kill you when you do not want die, it must be said, once
you die you will know,because only difference is that possible reasons unknown
in advance.
When we sat complex we
must realise that easy,
lest we become the rights and refused to go
that is hanging tough rightously.\when you leave behind and look for the alternative
likely you know the way through your life,
if the faith of the complication is that you don’t
need
See not every day we
say life is good
, Here we have won
some things, things that every person has it, what the liking not of you for
once had no need to do,
here have we desire
to be like our own, ie as it is to me, then to continue to be the best through me more and not as some
When we test the life
brings happy as well as to when the teacher says his students have responded
well,
fear comes when he says, though still not
corrected, but he saw in his way,a teacher,
Life has not to make a man hardship,no matter gender it’s the way
through creation
when one wants to go to
his life to understand that each day, what disturbes us?
Fulfill when you see, because its your HEART!!
Benson S.Makaya
Tel:+255714336657
Email:bensonsmakaya@gmail.com.
Sunday, March 4, 2012
SELFISHNESS(2)
(Version 2)
• Where there is
offended….
Doubt is part of the consciousness of the problems that have no point in it,
Doubt is part of the consciousness of the problems that have no point in it,
Shelves brings difference in heart,
None
are understandable in the form of intent,
All
the shelves are the actions or even thoughts as would come from the one and
move elsewhere,
If you really must accept because we
refused, we may put doubt,
What
we have seen its small is that brings peace,
That
we stayed together,
We
as brothers and sisters we can do things together,
Things belonging to developments
Because
we are so,
Peace
to make a live lock,
Arrears of doubt brings violence,
Being
much to every one and bring no understanding,
Domination of peace for those things and
core continues forward,
Surely
the bad happens more when peace is out of surroundings,
Most
being with money we feel those who don’t have for them on the other hand things
can not,
Become
blemishes in the hearts of others,
that we love to see just by knowing the
present we can determine renewed without looking where we will pass because the
latter is uniformity,
Different
drivers,
A different way,
And how it is operating is different in
all meaning.
Without peace makes existing lips and
hearts lost,
if
there be of our lives we have decided to be offended to know when we will be
seen that,
Since
there is a visibility turtles different from the real, not knowing what is ignorance
feeling of inhabitant human,
Human,
life is going on,
And it may come again,
if where it goes is exactly what we know
and where does each one take what is and trust in him/her as the generations
become a lest for Their Reasoning for correcting doubt we have.
…KEEP PEACE.
By:Benson G.Makaya
Tel:+255714336657
Email:bensonsmakaya@gmail.com Gk point
SELFISHNESS …
(Version 1).
• Don’t like much to be comforted, calmed.
In those which proceed in the world,
love has held the position as if it is the guide of our lives generally,
to
man the way we feel ought to be comforted and calm, too much,
is a result of the overcrowding of life that usually we can call them problems,
is a result of the overcrowding of life that usually we can call them problems,
As
if some say they are comforted comfortably as exceed so much that restore the
problems,
Suffering is almost as problems are, that
make human activities that may be not planed in our lives,
We got up to go somewhere along the border
elsewhere, if we recognize that without understanding where the problems
existed even time exists,
This
means time of trouble,
This
time but tend to be servant of problems for the purpose of bringing comfort,
Time is lost to understand,
And here we can assume that we have failed
and the time running,
because we are the physical as we felt,
when we get problems we want comfort if we have missed to console ourselves,
because we are the physical as we felt,
when we get problems we want comfort if we have missed to console ourselves,
Although
comfort find it is not in place there but clearly is ourselves to bring about
at the time we need,
if souls are united by the presence of our
other, then as our need are necessary and others may,
if it is through the soul of man,
we look at where we are going,
where there are a lot more and even be considered,
so because these writings never was,
then came the moment which by that time it was then,
if it is through the soul of man,
we look at where we are going,
where there are a lot more and even be considered,
so because these writings never was,
then came the moment which by that time it was then,
And later is now as well.
to
know the value of someone else,
love,
if one can appreciate the value of someone else,
then it also has the ability,
love,
if one can appreciate the value of someone else,
then it also has the ability,
and so be it,
because by then it brings the advantage,
lets not come to know those advantages without LOVE,
if we can get hard and then we may not give problems ourselves when we have sympathy and possibly sorrows ever since we sat back and reflected consolation,
lets not come to know those advantages without LOVE,
if we can get hard and then we may not give problems ourselves when we have sympathy and possibly sorrows ever since we sat back and reflected consolation,
What
we feel is appreciated.
Around all those…
COMFORT,
DO!!
Gk point.
Friday, March 2, 2012
DALIUS-
DAILY A MAN
LIVES IN UN-CONDITIONABLE SITUATION.
Tunaweza kusema
hakuna chochote kilichotokea au kitkaachotokea,
kama mambo yanayopita kwa kuja na kwenda,ni kama wanavyosema na sisi tufanye
kama mambo yanayopita kwa kuja na kwenda,ni kama wanavyosema na sisi tufanye
Haina maana kama
tumemsahau mungu,
mungu nilinde mimi ni kwa sababu ya kutaka kubadili,
yale mambo yaliyokuwa mazuri kwa upande mmoja yahamishiwe na kwingine yasambae,itakuwa ni kubadili,hata kueneza ni kubadili muonekano,
tutofautishe pale palipo na wakati wake,
mungu nilinde mimi ni kwa sababu ya kutaka kubadili,
yale mambo yaliyokuwa mazuri kwa upande mmoja yahamishiwe na kwingine yasambae,itakuwa ni kubadili,hata kueneza ni kubadili muonekano,
tutofautishe pale palipo na wakati wake,
Pale ni mahara, na
isiwe tukabadilika na kuwa katika mazingira
yasiyoeleweka na muda uliotumika ukaonekana hauna maana ya kuwa kila siku watu
hawaelewi,hawaelewi kama kilichofanyika ndiyo
kile kisichoeleweka au ni ajue maana ile ile.
Binadamu wengi
tunaishi katika mazingira yasiyoeleweka,
ya yale mema ndiyo ya kuchanganya zaidi,watu tunakuwa hatuelewei hilo,hili la wema kwani hajulikani ni yupi,na hapa ndiyo kuna kuchanganyikiwa kadri ya siku zinavyoenda
,ni kunatokana na mazingira tu,na hata ukahama na kwenda kwenye mazuri lazima yasieleweke,utasikia mimi ni mgeni,ili kwamba nafasi apewe mwingine,
hilo halitawezekana,ni gumu.
ya yale mema ndiyo ya kuchanganya zaidi,watu tunakuwa hatuelewei hilo,hili la wema kwani hajulikani ni yupi,na hapa ndiyo kuna kuchanganyikiwa kadri ya siku zinavyoenda
,ni kunatokana na mazingira tu,na hata ukahama na kwenda kwenye mazuri lazima yasieleweke,utasikia mimi ni mgeni,ili kwamba nafasi apewe mwingine,
hilo halitawezekana,ni gumu.
Wageni wote watoke nje,tusichanganyane katika zile
namba za mwanzo,kama mtakaa basi tufanye wote
na tuambiane cha kule,kule kwenyeji,ati mlifanyaje?
Aah siwezi yenu yale ni magumu hayaeleweki,
mgeni kaa chini.haya tutajaribu kuyazoea
Aah siwezi yenu yale ni magumu hayaeleweki,
mgeni kaa chini.haya tutajaribu kuyazoea
Haina maana kufikiri
nyuma sana wakati mbele tunaenda
,ni mwanadamu yeyote labda awe na kinyume
kwa pengine italeta maana,ndiyo naye asome na kuyaelewa hayo ya kinyume,kwa walio mbele sidhani kama wanaweza kubadili welekeo maana yaweza kua nyuma kukawa na mwonekano mzuri machoni pao,
na hapa ikiwa sio ukweli ni nyuma bali ni mbele kwa yule aliyekosea mara ya kwanza
,ni mwanadamu yeyote labda awe na kinyume
kwa pengine italeta maana,ndiyo naye asome na kuyaelewa hayo ya kinyume,kwa walio mbele sidhani kama wanaweza kubadili welekeo maana yaweza kua nyuma kukawa na mwonekano mzuri machoni pao,
na hapa ikiwa sio ukweli ni nyuma bali ni mbele kwa yule aliyekosea mara ya kwanza
Tunapokwenda ni
lazima tubadilike,
sio tu kwa heshima ya baadhi yetu ili kuonyeshana ukubwa ni kusema shikamoo,hapa watakaochelewa lazima waonekane,
ni kwa sababu wamekuja katika muda tofauti,hili litasemeka..adhabu zinaweza kutolewa ikiwa tu tutazidi kutokuelewa ,maada zaidi ni kuhusiana na huu muda,
usiotaka kurudi nyuma na ikijaribiwa anaonekana yule aliye na wake,
tukavilaumu vichwa kama changu yaani wewe``changu yaani wewe” hata tusipoelewa yote hii ni kwasababu ya dalius
sio tu kwa heshima ya baadhi yetu ili kuonyeshana ukubwa ni kusema shikamoo,hapa watakaochelewa lazima waonekane,
ni kwa sababu wamekuja katika muda tofauti,hili litasemeka..adhabu zinaweza kutolewa ikiwa tu tutazidi kutokuelewa ,maada zaidi ni kuhusiana na huu muda,
usiotaka kurudi nyuma na ikijaribiwa anaonekana yule aliye na wake,
tukavilaumu vichwa kama changu yaani wewe``changu yaani wewe” hata tusipoelewa yote hii ni kwasababu ya dalius
Tusidhani haya
unayoyaona yapo,yenyewe na kwa kudhani ni yale yasiyo kuwa na muonekano wakati
wa kujibu maswali ya kila siku,
haya maswali yanayohusiana na muda yaani wakati na tukio muhimu,na ndiyo hasa tukasema ni pale..yani ilitokea,
hii yote ikiwa nazungumzia yale yasiyoeleweka,katika muda halisia.
haya maswali yanayohusiana na muda yaani wakati na tukio muhimu,na ndiyo hasa tukasema ni pale..yani ilitokea,
hii yote ikiwa nazungumzia yale yasiyoeleweka,katika muda halisia.
Ili kuyaweza mambo
yasiyo eleweka kama kuyaacha ulishindwa basi
badilika!!
By:Benson G Makaya
email:bensonsmakaya@gmail.com
tel:+255714336657
Subscribe to:
Posts (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
-
Pengine ukawe umemaliza mambo yako,au ukawe upo katika njia ya kuutaka ufalme,kipindi kile cha ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ...
-
Makaya's Forum: AMUA YAKO. : Duniani wengi humkimbia mtu kipindi cha kifo,maana wakiona taabu ndiyo utasikia Yule kachanganyikiwa kabisa...
-
Yafanye mapito yako kuwa nguvu inayokusukuma kwenda mbele ukitegemea kuishi ndoto zako na sio kile unachokiogopa na kuhofia,wengi hawafanyi...
-
Makaya's Forum: YAFANYE MAPITO KUWA ELIMU. : YAFANYE MAPITO YAKO KUWA NGUVU INAYOKUSUKUMA KWENDA MBELE UKITEGEMEA KUISHI NDOTO ZAKO NA S...
-
Duniani wengi humkimbia mtu kipindi cha shida,wanaoamini kufika darasani ni kuelewa zaidi ya maisha yalivyo wameelewa tofauti,ikiwa...
-
Hulazimishwi kulia na wakati wewe unataka kufurahi na kucheka,swala la msingi ni kujua unapokatazwa kulia,hapa nikiwa sina maana ya...
-
Makaya's Forum: MAPENZI YANAISUKUMA DUNIA.. : Usipoelewa hautaweza kujua hata kama unashiriki vipi,maana kwa kutokuyapenda na kujifanya ...
-
Makaya's Forum: ONA KUSIKIA. : Mapema ni kheri kuona bila ya kusikia,maana haya machache tumeyasikia hapa kwa kuwa yalionekana mwanzoni,...
-
Unaweza ukawa unakataa mazingira uliyonayo,ukajikataa ukakataliwa ama ukakatalika hiyo yote ikaonekana kwa kuwa maisha yana msukumo tofaut...