Thursday, September 20, 2012

SIMBA WA YUDA.


Akiunguruma wageni wakiwa kwa wingi maana wao wamechangia sana,na hapo zamani za kale kabla ya kuanza moja alikuwapo kueshimika simba wa yuda,ukaogopa ukali bila ya kujua matumizi na kwa yale na lile ulilopewa.machache yakaonekana ya shetani kumbe katika kiumbo bado haijafikirika,ikiwa unaweza kuchoka na kufutwa jasho tafuta kifutio,kikiisha bila ya kujua namna ya kufuta hapo shari,ingali hata kifutio huna ungesaidikika.majasho yana ishi.
Unaweza kulia kwa kufanana matendo na kusahau kushoto kiama,kwa sauti zitokazo zikiwa zinaimba ni namna ya mwituni akiwa wa yuda simba,leo akitaka majani yu radhi kupata ya kuwa anaunguruma,tena si katika namna ile ya kupokonywa majani hayo,ukilazimisha utamu wake.wachache wengine wakijaribu kufuga simba wao wanakuwa hawaungurumi ya kuwa wamefungwa koromeo,ni midomo ilionekana mwanzo,na ikaeleweka namna ya mwanadamu anavyoongea.
Leo nimekuja na nimepata mengi sana,ikiwa kuambiana kama hujasoma kwani kusoma nini?maana heli ya ubaya kuliko ubaya wa uzuri.Kheli aje simba wa yuda maana kwa mengi yasiyoeleweka kueleweka,ikiwa umesoma basi si vile ilivyo katika shulekusoma,maana yenyewe ina mengi ya kufundisha,kukicha kesho kubali kuwa umeelewa,ukitaka kujua umeelewa vipi,kujua namna inavyo unguruma.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...