Monday, June 4, 2012

MKAO..

Tuchague pale tunapofanya,tunakuwa kwa vile hali zinatufanya kwa kuchanganya na mengine ni kama kutoa,labda pale tunapofikiria tofauti,zikiwa hazina idadi kwani ndiyo hatutaelewana,pengine tuendelee kutoelewana,yanaskika mengi yanaogeleka mengi na ndiyo tuendelee kuyatenda hayo,tukiwa hatukutaka kutenda mojamaisha ikiwa ni kutafuta tu,tuseme njia ndiyo zinauwalakini muda mwingine tujachague kudanganya,maana tumedanganya mengi sana kama ni kusema uwongotena ni walongo kabisa,muda mwingine tupeleke mbele mambo yetu kwa maana tulikuwa vile kwa kipindi kile,sasa wakati unajificha tena na mambo yenyewe yakidanganya kama itakuwepo tena pale.

Tunapopotea tunajua maana ya kuwepo,ali ikafika tukataka kurudi pale palipo salama maana ndiyo nyumbani,haya yasipoteze maana kwa kutokueleweka ama ikiwa ni kudanganyika tena ikieleweka hivyo iwe ni mtu amechagua mwenyewe,ikiwa kama nafasi inayoshikirwa na mtu wa kwanzahuogopa kuwa ya mwisho,pale tukaseme basi kristu turudie na uje upate mateso tena tutaambiwa tunamchezea mungu ya kuwa alikuja mwanzoni,pengine hata wa mwisho akaogope kuwa wa kwanza,ikiwa kuna bahati ndiyo maana na furaha zikaja,kuwa wa kwanza sio nafasi ya mchezo mchezo hata kwa wale waliopungukiwa akili wa wao ieleweke kwamba mtu huyo yupo halisi katika kuufata uzima.

Usahihi huj ani baada ya kutokea,pengine yaliyotokea si magumu sana bali yalipewa muda,na hapa tukae chini tuone kama muda tuliojipatia ni dhahiri yastahiri kufanya masahihisho,pengine tukawa tumewahi sana na baadaye tukaja kufeli katika namna ile ya mwanzo,ambayo hiyo ilikuwa kama tunafanya na sio kujifunza,pengine tunapofanya mambo yetu tunajitahidi sana,na ikawe kwa mwanadamu kuonekana ni mpaka kuweza,hapa tukijua hakuna kuweza kwa sababu hata ilivyoonekana ni vibaya kwa kusema haikugundulika vile.

Tukae tuote tena,tukae tufikiri tena,tukae tuwaze na kujua yapi ni mema maana kwa kuyatenda mabaya,ama yale mema basi yakawe katika usahihi saidi,yakaunganike kupitia mawazo ya zamani na maumbile ya sasa,kwani kinachotakiwa kufanyika sio tu kulima bali hata kutengeneza majembe kwa ajiri ya walimaji ili kuondoa utegemezi,tukiwa tunategemea sana hapo tunakuwa hatueleweki yakuwa tumeshikiliwa misimamo,hapo tunahitaji jambo ushirikiano.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...