Saturday, July 7, 2012

MTOTO WA MJINI..


Pongezi kwenu mliowahi kufika mijini,pongezi kwenu wakulima wale wa mjini na vijijini,maana pongezi kubwa kwa watu wa vijijini,hapa sasa kuna watu wengine wa mji,hawa wanakuwa wa mahala husika,kama vile unasema raisi wa manzese nikiwa simzungumzii mtu zaidi ya umjini,maana mjini bila kujipa cheo hujafanikiwa mjini kuna maharamia wa hali za kawaida mpaka nafsi mjini hatari sana maana hata kupumzika imekuwa gharama kuuliza na sh.mia tano,kama mtu unashida ya kula tu ni kheli kurudi kijijini,maana mjini unafanya nini?zaidi utauliza soko liko wapi watu wakuchaji mia tano.

Tunasema mjini kuzuri ni kwa sababu yaweza kusiwe na kwingine kumbe hata kijijini kuna mjini yake kumbe hata kijijini kuna mjini kuna nini hapa tuelezane maana wote tumeng’ang’ania mjini,hapa kweli yapasa kujipa vyeo maana vikilenga mji uliopo pengine wengine wakajifanye mbadala kama vile mtoto huweza kujifanya mtoto  ikiwezekana akue kwanza,kama vile anakuwa anakuwa na uwezo wa kuita baba ama mama,hao wakiwa ndiyo waliomleta mjini,ukijifanya wa mjini kuna wa mjini zaidi yako,maana hao wamezaliwa na mji,pengine wametoka kijijini wakiwa na fikra za mjini basi watafanya wao wayajuayo kuhusu mji wala la kuuchafua mji unajua wewe mzazi,mtoto hachapwi kwa kuchafuka.

Mjini kuna muingiliano wa watu wengi sana  kama unaishi tegemea jirani na hawa majirani ndiyo watu wa kukuingiza mjini humo lazima upotee ingawaje utarudi mahala ulipo na kama hakuna ujuzi tambua utatumia muda mwingi sana kwa kutaka kuumaliza mji mji sio mkubwa ila watoto sasa.watoto wa mjini ni hatari sana maana kama utapenda kuwa jirani yapasa kuangalia karibu zao,na huwa wanakukaribisha kwa lugha zote vile,si wanataka kula,kwani ulisikia wapi mjini kuna mashamba?yule aliyetangulia alitangulia kuujua mji,pengine bila kutegemea kama vile Yule aliyechelewa,tuangalie vijana mjini sio pa kupapatikia,kuna watoto humu wasijetuingiza sehemu tusizotegemea.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...