Monday, July 9, 2012

UCHAGUZI.


Hapa isipo katika maana ya nafsi,ikawe ni kwa nini imekuwa hivyo ama ukapenda ama ukakataa,yaani kwa nini tunachagua yale yanayohitaji kuchaguliwa,maana siyo kwa vile nimechagua kwa nafsi yangu,hapa ikawe imesemeka ndiyo maana ikachagulika,maana kama hakuna kilichopo ama kufanyika kwa nini ichaguliwe iyo?
hakuna namna ya kusema tunaweza kuendelea na wakati uwazi unaonekana,tena uwazi umedhirika pale kwa  mda uliotumika,maana uwazi ni kweli,

sasa ikawe hadharani sio mahala pa wazi maana hata unayoyachagua yanakuwa mabaya,ama yakijiweka urembo ndiyo ije haja ya kuyatunukia,uzuri wa kuonekana hauongozi maana,uzuri wa moyo tokea chemichemi huonekana,maana baadaye huwa bonde kubwa kwa ajili ya watu kukata kiu zao,pengine wakashangae huko,maana kwa kujiuliza ni ile chemichemi kweli?

Hapo baadaye tumeaminiana mpaka tunakuja kuchaguana,sasa uangalie kwani  hatujachagua familia,maana utasikia aah Yule ni kiongozi wa kati,maana walishamchunguza mwanzo wakisema alipendelewa kwa kupewa,sasa aliyempa naye si alichagua,hapa unasema ilo ni sahihi kupitia nafsi, ikiwa kwa nini sijui kama itaelezeka kwa haraka,maana waliochagua hawajapata kitu kabisa.wamegoma kusema,wamegoma kufanya kazi,hii hatari na chaguzi.

Mungu anawapenda watu wake ndiyo maana ya kumtoa mwanaye yesu kristu,alijua ni kwa sababu gani anamtoa yesu,hatukujua kwa sababu gani yesu alikuja kwetu,ndiyo maana ya kufundishwa,Kesho inaweza fika matokeo ya chaguzi langu kutokea,hapo ikiwa ilifikirika kwa nini na  nafsi haina haja kuhoji kuwa ni ya nini,ni matokeo tu.ni mfano tu.

Chaguzi limelenga tukio,kama unahitaji kulijua lengo ni lazima ufikirie chaguzi zetu,maana kesho ni siku ndiyo,ikiwa jana ulichanganyana sidhani kama leo tutalewana bila ya kuchagua usahihi,lazima tufanye masahihisho,lazima tuelewe kwa nini hatukuelewa,kushindwa,kuweza kwa kuwa lolote mahala pale,ikiwa tulichagua hilo.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...