Friday, September 21, 2012

MTIHANI...

Jirani karibu maana ninatafakari kwa yale yaliyo ya mbali, Tukibadili lugha tutaelewana tu ya kuwa ni mtihani,na kama kuna kuishi ni lazima kuufanya,leo umekuwa mtihani baada ya kutaka machache yaliyo kwa wachache ,leo umejuaje kwani  mungu naye ameleta lake kwa kuwa pengine wengine wanaweza kushangaa kwa kuwa hata wale wa mbali waliweza kusema ni hiyo ili iliyo ndogo  ikaeleweka kuwa na muelekeo wa kusema kwamba mimi hii ni yangu ili kulainisha lazima.

Kiswahili ni lugha ambayo hata mwelewa akasema haleluya maana ni lugha ya dini katika utaifa wa namna yoyote,wale wa kwanza katika kuanza ni wale wanaotaka kuwa wa kuelekeza katika namna ya kuelekeza kwamba unaweza,maana kuweza kunahitaji uwezo wa mwendo wa kusimamisha ili kimo kikaeleweka .

Tunarudia na kusema,Kile nini unachokifanya katika maisha yako ni juu yako mwenyewe,kifahamike au la,pengine usiishi kwa kusema kwamba ukitaka maana,vingine vinavyokuwa tofauti ni tofauti zenyewe maana hata unapochanganya ni sawa na kuuleta ugumu wa tatizo katika tatizo lenyewe,ikiwa hata mwalimu anakosea kusahihisha,hapo kuna kujiona mjinga kana kwamba kama ni kazi basi wamefanya wengine kwa kupitia wewe.sio kukupitia bali ilikuwa ni mitihani tu.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...