Sunday, February 19, 2012
Makaya's Forum: MAKINI.
Makaya's Forum: MAKINI.: Tuangalie,tuone ni tunatumika katika utofauti wa namna gani ikiwa pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama ni mifano yetu,zik...
MAKINI.
NIangalie,Nione ni natumika katika utofauti wa namna gani ikiwa
pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama ni mifano yangu,zikimaanisha mimi ndiyo
mashine na zenyewe zimetengenezwa kwa mifano yangu pia.bora hivi ilivyo maana ikawa
haina haja ya kuzoea kile kilicho halisia,kwa umakini ni lazima ujitambue ya
kuwa nisiwe mvivu,nataka kazi na nisijue huko makazini kuna nini nachokifuata,Haina haja ya kuwalazimisha walimu na wakati wanafunzi wenyewe
hawaelewi,nikisema waelekezwe wanafunzi nitaingilia majukumu ya walimu,tena
inaweza kuwa chukizo kwani muda wote huo shuleni wanafunzi wanajifunza nini?au unavyovijua hujui kama ndivyo unavyovifanya,maana tabia yao ni kufundishwa
ili iweze kufanyika,ikiwa kwa kuona ama kusikiliza yote ni lazima niwe na
umakini nayo,kwani yale yanayopita yananipitia hapa nilipo,utachaanganyikiwa
kwa kutokuwa makini,kwa kutokuwa mwangalifu na ufuatiliaji wa mambo yako usifanye
kuwa unapelekwa kila mara,kwani itafika kipindi utachoka kupelekwa pelekwa kama
mashine,ikiwa ulikuwa unapelekwa basi wapo waliokuwa wana upeleka peleka,na
wao wanaweza wakaamua kukupeleka kipindi pale umechoka,hautakuwa
utumwa,hayatakuwa mateso,ni sawa na jambo usilolijua,labda kwa namna itakavyo
tokea ndivyo italeta maana itakayo kuwepo,labda kwa tahadhari ufikiri na uamue kwamba unahitaji kujitambua.
Yule anayefundisha bila kuyajua mazingira yake ana uwalakini wa
kuitwa mwalimu,lakini ya kuwa kuna uhaba wa kufikiri bora ikawe kujikimu,maana
imefikia wakati utaamua kuwa mwizi alafu ukakataza kuiba, ,na ukija kukamatwa uelewe ulikuwa kama magurudumu ya gari,ikiwa kuna kona ulikatishwa tu,kwa
hiyo siyo mageni sana katika kutokuyaelewa,wachache wanaelewa kwa jinsi tunavyoelewa,anapotangulia mwalimu
darasa hupanga yale waliyoambiwa na mwalimu,njia mara nyingi huonekana kutokana
na hali ya hewa,ingawa unaona kwa umakini lakini unajikuta ukielekea mahala usipopafahamu,na hii yote ikiwa bado unaona labda njia hizi zinahitajika
kufanyiwa ukarabati kila muda na watu wakajua,maana tulio maskini tunalia muda
wote,na sio kwamba hatupo makini,kwani mengine sio ya daktari.unapolia sio ni
watoto,unatoa machungu uliyonayo ukifikiria ulipotoka mpaka ulipofika,kama
mtu afanyapo kazi kwa nguvu na kutoa jasho ndivyo ilivyo kwa mateso ya moyo
inapokupasa kulia.
Kama walivyojijengea,nguvu usimalize kwa yale waliyokuwekea,ikiwamo
inaruhusu usiiruhusu kwanza,wajichunguze wenyewe wanafunzi,hata ukageuza
ramani Yule aliyemakini hapotei kwao,ingawaje, zaidi uendelee na umakini wako ili yale ya mbele yakafanane na ya nyuma pia.Umakini unahitajika kwani
yaliyobadilishwa kutoka juu kuja chini mengine ni mepesi yakaweza kudondoka
yenyewe ,ukumbuke wokovu upo,na kama uliokolewa jana haina haja ya kurudia
kwani wengine wanahitaji pia,vingine ujiokoe mwenyewe maana umepewa kila
kitu,na Yule asiye nacho kwa kuona hivyo afanye lolote na ataelewa maana, ,maana
tena ikiwa wale ambao hawawezi wamepewa nafasi za mwisho kabisa katika
kufauru,ikiwa umakini mdogo pamoja na fikra
ndiyo huo unaweza kuwa uwezo wetu.
By: Benson G.Makaya.
Email:bensonsmakaya@gmail.com
FIKRA.
Kufikiri ni kuwa na hitaji la kurekebisha
jambo,kunatokana na mawazo,kwa hiyo fikra zinaweza kuwa ni mawazo,kufikiri ni
kitendo,kurekebisha ni kufanya,fikra hujaza matendo hayo,zikiwa kama fikra
halisi huwa haina ulazima ya kuwa iwe vile ama hivi,itakavyo kuwapo ndiyo
hivyo,ya kuwa kila mtu ana fikra zake,akiwa na malengo mwanadamu hupanua fikra
ili kuyafikia,hiyo yote ikiwa tunaamini kwa yale tunayotaka yatokee katika
mandhari yetu ikiwa ni baada ya matendo yetu au yenyewe tunayoyafikiria yatokee
ndiyo tutende,tunapotaka kuyafikia yale yaliyo mema,fikra zetu ndiyo huonyesha
usahihi wetu,fikra ndiyo zinatutambulisha kwani inasemeka kwa kile tunachokifikiria
ndiyo hasa tutakacho kitenda ikiwa tu kimeonekana. Mara nyingine kisionekane
kwa Yule anayetenda na hiyo inatokana na kuwa haijulikani,Yule anayetenda anaweza kuwa na ufahamu mdogo ingawaje yeye
mwenyewe akiona anaweza,kwa muonekano ni
wengi tunaweza,ndiyo maana ikawa fikra
zetu zikatutuma mahala na muda tofauti.
Mara nyingi tumekuwa tukikaa na fikra zetu,tukiziamini
ndiyo zenyewe,ingawaje vile vya mtu anapewa yeye mwenyewe,ikiwa tunavitenda au
tuonyeshe maana ya kile tunachokitenda,mabovu yapo mengi sana,ikiwa na mazima
yapo,mabovu ni haya hasa tunayoyafanya kwa kila fikra za kila mmoja wetu ikiwa
kwa Yule anayefanya pia naye anasema yake ni mazuri sasa sijui tunayafuata
yapi,hata kama sio ya kuyafuata tufikiri tumeyafuata mangapi mpaka hapa tulipo,maana
tusingeweza fika katika wakati huu bila kujua ni wapi tumetoka,hata tunapoenda
tutayafanyaje hayo?basi tuyaangalie yale machache waliyofanya wengine yakaitwa
ni mazuri,maana hata tukiwafuata watu wazuri tutakuwa kama wao zaidi kibaya
kinakuja pale tutakapo fikiri zaidi,na hapo tutakuta kuna upande mmoja
umetokezea katika upande mmoja ule mwingine wa kwanza,yaani nafsi moja imekuwa
kupitia nyingine,na mara nyingine nafsi itakayo iga isifanye vizuri vile
ilivyofanya ya kwanza,hapa tutachafua hata wale tuliowaita
watakatifu,tutawakuza zaidi wale tunaohitaji kuwaita watakatifu ikiwa hata kwa
Yule aliye fuata muelekeo alifuata njia nyingine,ni haki kutumia njia yako pale
ufanyapo ili mradi jibu liwe sawa,hii ni katika maisha na sio darasani..maisha
ni kama darasa.labda tuone utofauti wa walimu,wanafunzi,majengo na mazingira
yote ya shule hii iitwayo maisha,maana kwa upande mwingine mazingira
yanachanganya.
Kama shule ilishindikana ni vigumu kwa mtu kumweleza
fikra ni nini,sio kwamba haiwezekani,ila inaweza kushindikana kuelewa ikiwa
fikra ni tofauti,sio kama 1+1=2 au hesabu ya kinamna yeyote ili lije jibu
ambalo kwa aliyefundishwa anajua,au atakuwa amesahau,ikafike kipindi tukaelewe
ni namna gani tunaweza kuziendesha fikra zetu,binadamu tunaishi tofauti na hii inatokana
na fikra,ikuzwapo fikra ya mtu mmoja ni tofauti na mwingine,labda tuambiane
kuhusu ukuaji wa fikra zetu,isije tukashindwa na hili darasa la maisha kwa
kutaka tuelewe namna ambayo fikra ya mmoja ikataka tuelewe hivyo,lengo ni
kuelewa,na hili kuelewa inakupasa uelewe,vile inavyokuwa tofauti ndiyo njia ya
kupanua uelewa,kwani utofauti unakuja pale mtu anapoelewa sahihi,na ikiwa mtu
ameiona tofauti basi hataweza kuitenda tena tofauti labda iwe fikra zake
zimemtuma,na sio kwa Yule anayetaka kuelewa,kwa wengine imekuwa ni vigumu,wao
wakitaka kuelewa namna ile wanavyoelewa wao,tunapofika hapo tunakuwa
hatueleweshani wala hakuna maelewano, kwani kila mtu anaelewa lake zaidi ni
tujue lipi ni la msingi tutalazimisha kuongea ili ieleweke kuna maelewano lakini watakaoelewa ni wale hasa
wanaolazimisha,maana walikua na nia hiyo ya kueleweka kinamna yeyote
walivyolazimisha.
By: Benson
G. Makaya,
Tel: +255 71 33 66 57.
Email;bensonsmakaya@gmail.com
Saturday, February 18, 2012
Makaya's Forum: MACHO YANAONA SAHIHI..
Makaya's Forum: MACHO YANAONA SAHIHI..: Ni wazi macho hutumika kwa kuangalia,kuona,kutazama yote yakiwa kama ni matendo yake,na hii yote inatokana na namna tofauti ambazo zim...
MACHO YANAONA SAHIHI.
Ni wazi macho hutumika kwa kuangalia,kuona,kutazama yote
yakiwa kama ni matendo yake,na hii yote inatokana na namna tofauti ambazo zimefikirika,na
hata ukazifikia.macho ni moja kati ya viungo vya mwanadamu,NI macho!!
Pale mtu anapofahamu inapoelekea yeye mwenyewe katika
nafsi yake kuwa na utambuzi na wakati mwingine unaweza usiwe wa kiujumla mtu wa
kujielewa,unapoelekea ni mbali zaidi ya ulipotoka,ni kama pale umefika
mahala na kusahau yote uliyokuwa ukilalama nayo kwa mara ya mwanzo,yakiwa yale yamegeuka kuwa mazuri,na uzuri
wake haujaja tu baada ya kuacha kulalama,bali ni pale uliposifia vizuri,maana unaweza kushukuru mungu kwa kufika bila kujua mahala unapoelekea,ulipo.tumshukuru
mungu,tena kwa njia nyingine hazina waelekezaji…inahitaji nguvu kweli na
uvumilivu ili kujua pia kuelekeza,si watakuja na wengine,wao ndiyo wakiwa
hawajui kitu kabisaa,watatulilia pamoja na hata ukiwakataa utakuwa umezikataa nafsi zetu,maana ikiwa unakubari mifano hai isiyoonekana
,uangalie yasije timamu yasiyowezekana,yatatusumbua tu ingawa yanaonekana yasiyokuwa
na ufahamu,tena hata kuwa na ubishi,wakiamini wao ndiyo wameishi,au tuone labda
kama utasahau hata majina yetu maana ingali wote tungeitwa “SALUMU” ingelikuwa
haina haja ya kuhukumu,labda ubaki ukituhumu ingawaje wanaonekana lakini
ushaidi hautadumu,wanapoteza wao ili ieleweke wanayoitaka,maana ndiyo chaguzi
pekee litakalo baki.na hii pekee usizani kwamba ni ya kwao tu hata kwako
pia,yaani yangu ndiyo itabaki.maana kila mtu ataona ya kwake.
Yaliyopo yametoka mahala,yaliyopo sijui yametoka wapi,kwani
nasema hivyo ya kuwa siyo yote mwanadamu akayafahamu,mengine yapo katika miliki
na uwezo wa watu wengine,na endapo ukikubariana na hili basi lazima ujue kwamba
lile au yale uliyoyashindwa ndiyo yetu,maana yangelikuwa si yetu usingeyafanya,au useme kweli sio yetu basi uangalie mara ya pili,maana wakati unavyosema si
vile unavyomaanisha,ikiwezekana ujue wakati ni mwanadamu mwenyewe,kama kijana
wa kiume akaota ndevu na asinyoe huo utakuwa ni wakati wake,amemaanika hivyo.na
hata ikawe siyo mara ya pili ila ni tendo lililoonekana,maana kama tendo
linaloeleweka ni litatimia kwa kitendo ni lazima ujue chanzo,ili yakija mafuriko usilalame,maana ulijua
yatakuja na kutuzomba,tena kwa walio mbali wafahamu..MAFURIKO!!.shida za
kuonekana hazipaswi kumwinua na kumtuma
mwanadamu,anayeona na kutenda katika utatuzi ni mwana adamu mwenyewe,isifike
kipindi ukalazimishwa kuishi,tena ikawe ni amri kwamba sasa ni “LAZIMA” ,ingawa usipoitumia lugha hii katika mambo yetu utashika mitutu,watoto wataona baba
zao wanachokifanya na kwa sababu wao wamekuja kujifunza,wamekuja kukua,wamekuja
ili wawe wakaitwe watu wazima na wakajue,watashika mitutu yenye technolojia ya
kizazi chao,hapo vita itakuwa haina heshima..watoto wataonekana wakubwa,na kwa
wakubwa labda uwasikilizie,ingawa wanasema vita haina baba.
Tunapoelekea hakutazamwi mtu ukaambiwa ona,sio kwa
macho.unapoelekea ni mbali lakini si kama kule ukasema ulipotoka,kwani
wengine watasema ni karibu kutokana na maisha yao kiujumla,unapoelekea ndiyo
kwa mungu.tunapokaribishana majumbani mwetu tunategemea HODI,kama kuna mgeni
ataingia bila hodi huyo atakuwa mwenyeji sema ni sababu ya mgeni aliyetangulia
hakumkuta mara ya kwanza.
UKITAKA KUJUA NI LAZIMA KUJUA UMEJUAJE?
By: Benson
G.Makaya,
Tel: +255714 33
66 57.
email:bensonsmakaya@gmail.com
Friday, February 17, 2012
Makaya's Forum: USHINDI…UNAHITAJI KUJIANDAA.
Makaya's Forum: USHINDI…UNAHITAJI KUJIANDAA.: Maandalizi ni malengo katika kutekeleza yale yanayotaka kufanyika,ikiwa katika mmoja mmoja hadi pale ikafikia kundi,hii yote hutokana ikiw...
USHINDI UNAHITAJI KUJIANDAA.
useme ni wangapi wanaojiandaa,na utakuta ni wote maana kila mtu ajiandaaye hujiandaa mwenyewe,yule anayeandaliwa ni lazima ajue kuandaa pia kwani endapo akishinda hataweza kuulinda ushindi ya kuwa hana maandalizi useme wale wanaoamka ndio wa kuweza kujiandaa kwani walikuwa wamelala,na wale walio lala ni kuwaamsha ili waweze kujiandaa ikiwa ushindi mtu anaupata pale hasa alipojiandaa mwenyewe,maana unaweza kuja kidogo ama ukazidi na kufanya karaha,kivingine ikawe ni ile bahati maana haukuwa wa maandalizi yale,ushindi wa bila kuongea unaweza usisikike,na mara nyingine ukiongea sana wanaweza kunyamazisha,maana wao hawamjui mungu na labda nisiseme hivyo zaidi iwe wanamjua mungu wao.pale unapokosa ndio pale majibu yalipo,ni kama pale unapopata ingawa haitaweza kulingana,ni tofauti ya kuwa moja ni ushindi nyingine ni kinyume yake.
Kile kinachoweza kuzuilika ni kile kisichopangika,maana kitakaaje?kama maji hupita kokote,hata yakaleta uharibu hata ikawe sio lengo kubomoa,pale yanapobomoa yenyewe ushinda ikiwa yalipotoka yalikuja na yakabomoa,labda yangeenda pengine ili ungejua kuwa haikuwa lengo,na iweje yangefanikiwa ungeeiita ni bahati yake,kwa yule anayejenga ukuta kwa ajili ya kuzuia maji hayo anajiandaa,kwa yule anayeyasubili yaingie mpaka ndani basi atafanikiwa,maana amesubiri hivyo,muda mwingine huwa inakuwa haiwezekani,ikiwa katika hali ya kawaida hasa mtanzania ikiwa wengi hatufahamu mazingira yetu,ikiwa ni miili pekee tunayoifahamu,tukisahau mazingira mengine tukataka afya bora,hii itakuja kwa kunenepa ikiwa ni bora basi itakuwa bahati,siwezi kusema sana hapa labda tungeulizana nani au na flani wanapenda nini,maana utofauti upo,na matokeo sio maandalizi,ikiwa yenyewe yakawe na kusudio la kuleta ushindi.
Vizuizi ni haki kuviweka pale unapojiandaa.lakini ni pale tu utakapo jua ni unazuia nini,Katika utofauti wa malengo tuseme yawe yanayofaa yote,yakitofautiana kwa mabaya na mazuri kwani tunaweza kuchanganyana kwa muda mbadala,endapo yale yasiyokuwa ni malengo kufanyika kama malengo wakati Fulani,yule anayejiandaa ndiye anayejua lengo hasa,labda na ije tofauti..hapo tunasema anapanga mungu.
mda mwingine lawama hazifai labda ujue nini unachokifanya,maana kama ni unajiandaa na imetoka kipindi maandalizi yakawa magumu unaweza kuyakimbia endapo haujafahamu unajiandaa na nini,
'tutaishia
kunawa maji ikiwa na chakula tumekiona mbele yetu'.
kwani hata meza zenyewe waligeuza kitambo!!
By:
Benson G, Makaya,
Tel:
+255 714 33 66 57.
email.
bensonsmakaya@gmail.com
Subscribe to:
Posts (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
-
Pengine ukawe umemaliza mambo yako,au ukawe upo katika njia ya kuutaka ufalme,kipindi kile cha ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ...
-
Makaya's Forum: AMUA YAKO. : Duniani wengi humkimbia mtu kipindi cha kifo,maana wakiona taabu ndiyo utasikia Yule kachanganyikiwa kabisa...
-
Yafanye mapito yako kuwa nguvu inayokusukuma kwenda mbele ukitegemea kuishi ndoto zako na sio kile unachokiogopa na kuhofia,wengi hawafanyi...
-
Makaya's Forum: YAFANYE MAPITO KUWA ELIMU. : YAFANYE MAPITO YAKO KUWA NGUVU INAYOKUSUKUMA KWENDA MBELE UKITEGEMEA KUISHI NDOTO ZAKO NA S...
-
Duniani wengi humkimbia mtu kipindi cha shida,wanaoamini kufika darasani ni kuelewa zaidi ya maisha yalivyo wameelewa tofauti,ikiwa...
-
Hulazimishwi kulia na wakati wewe unataka kufurahi na kucheka,swala la msingi ni kujua unapokatazwa kulia,hapa nikiwa sina maana ya...
-
Makaya's Forum: MAPENZI YANAISUKUMA DUNIA.. : Usipoelewa hautaweza kujua hata kama unashiriki vipi,maana kwa kutokuyapenda na kujifanya ...
-
Makaya's Forum: ONA KUSIKIA. : Mapema ni kheri kuona bila ya kusikia,maana haya machache tumeyasikia hapa kwa kuwa yalionekana mwanzoni,...
-
Unaweza ukawa unakataa mazingira uliyonayo,ukajikataa ukakataliwa ama ukakatalika hiyo yote ikaonekana kwa kuwa maisha yana msukumo tofaut...