Tuesday, April 3, 2012

ACTS DESIGNES




Not to be laughed whatever somebody does...Doing,
Without knowing what it is!
If the executive is supposed to do beyond what would he/she know oneself..
Foundation is to understand where things done as items,
For the time others to be not understandable
,
May be a half or whole that existed in the works but the position of the matter itself has been difficult,

Another time for those Swahili ones are usually better but destroys when they willing alot,
Even the whites,  
It’s just all. Everything..!!

 Making it more than someone doing the same as it has been a lot now,
Here we do this and then finish by the other,
Where the conclusion is not necessary to be started before others being easy,
 If your decisions will decided to remain,
A dove is going ahead,
 Because they have decided,

Period regretted must not only when things occurred,
 As others sit completely and not forbid their minds,
If a child is forbidden to play with a razor is reserved for bad?
If we take everything literally is what will be as it was ones we were going there,
 A move unless we take it,

We have given permission for his and work time must be spent,
Not necessarily who you are as that the way
As for he who created stayed the same each time to restore,
Knowing coming period will be finished,

We Red for refuge where we are meant to be there,
We can not determine or left us to decide to go without lag,
Noted none of the life of another,
Different ones,

Not because of the of survival difference ways,
 And we can decide for each other,
 What is the one to be done for him/her
 as  time will still pass,

DECIDE

Baniani mpigeni upati wake mpeni..

Katika kuangalia kabila labda tuseme aina naona wao ndiyo wangekuwa na kutokana na nyani maana hata majina na maneno yazungumzwayo yanaashiria hivyo, ni kama pale watoto walalapo wawili katika kitanda kimoja na mmoja akakojoa pale kwa Yule mmoja kumsingizia mwingine ni kazi ndogo sana,yametokea mengi sana na mengi yao mnayajua,ikiwa mengine siyajui natumai hata kiatu changu mtanipa maana haki kumdhurumu mwana vyote si  sawa,

Hapa umekuja kujifunza mengi mengine ambayo yanahitaji chaguzi ambazo na zenyewe zikajichague,Yule asiyeweza mara nyingi hutaka kumkataza mwenzake kwa kuwa yeye amehisi ameweza zaidi,hii ikiwa ni namna ya ulivyoumbwa pale ukawe na kuaminiana pengine ikawe ni kwa sababu ya kiatu tu,ati ya kuwa nawe au Yule naye alikuwa ni baniani,kwangu hilo halina pingamizi maana nakubari kuyaona machache ya watu na yaliyo mengi katika upande wangu.Katika yale yaliyokuwa mazuri wengi wao wameyatafuna,wengine wakavae vizuri na wao wakatake kugawana ikiwa wamekuwa weusi kama ilivyo kwabaniani huyo mwenye chake,wakatake kuchukua hata kile ulichowachangia watu na ikafike mahala pako na penyewe wasemehapa kwetu maana wengine husema mawazo yao kwa kile wanachokifikiria ,hii ikiwa wao wachache kujiona zaidi na bora kuliko ubora wenyewe.

Hapa duniani tumekuja wachache sana na laiti kama ningalifahamu nimekuja na mtu basi hakikanisingemuacha maana kwa walio baki wote wameonekana wanaweza,si wana viatu..
hii ikiwa ni kwa macho na uwezo walionao,hapa naogopa kusema ingawa nitakuwa kama wao,eti mara nyingine ni sisi tunaosema maneno ya watu na hata usifanye.nimempa chake Yule mwenye nacho maana kile kilicho na uchafu wake ni hitaji la jalala Hakuna majigambo mbele ya ukweli,hapa utazamane na usemezane,ile iliyo na ukweli si vibaya kuambiana maana kwa pengine ukataka sifa zisozo kuwa na maana zaidi ya upumbavu,na hili ikiwa walewale wapumbavu ndio wanashabikia,siku hizi hakuna cha wakubwa maana wao ndiyo wamefanya hivi,walikataza kuokota cha jalalani lakini alikutwa mkubwa mmoja akila,aliwaza na mwengine kumfuatia,tena bila ya umakini kwa maana kama angelianza hivyo tungefahamu,

Hata kushindwa ni kuweza pale ikaja kwa mmoja Yule asiye fanya na hata Yule aliyetaka kufanya katika namna yake,hiyo ikiwa inatakikana kuangaliwa katika mtazamo wake..
hapa wengi watasema ikiwa na wale wanaovaa miwani kama mnawakumbuka,maana hao huona marambili zaidi ya vile kuona,kama angali bado haja ona basi na yenyewe huwa ni mara mbili zaidi angali hajaona,hapa usibishane ikiwa muda haujatambulika,ingalikuwa miwani yenyewe ni hii tuivaayo hakika hata hakika ungalitafuta hata iliyo na muundo wa mbao,na hata kioo kisiwepo maana huwa wanasema kinakutazamisha tofauti na namna ya vile utazamavyoufikiri kwa wasio ona kabisa labda,maana wao ndiyo wangepewa lensi kali zaidiIkiwa haki yako umeishindwa kuipata hata kwa kuvua kiatu na kukaribishwa ama ilivyo kwa maji kunawa kijapo chakula basi jiandae…jiandae kupata vitu hivyo maana ilikuwa ni zamu ya kuwachangia wengine na sasa ni yake,upatu huu…umwangalie mbaya maana baniani yu karibu yake.

Monday, April 2, 2012

MAKUBARIANO


Makubariano ni kuweza kuelewa,ni kuwa na uelewa kukubari ama kukataa,sio kwa kichwa kama ikakatalika bali kwa namna yeyote ili mradi ikatambulika,mara nyingine kusiwe na maelewano  ni kwa sababu lugha ni tofauti,hapa labda tutaamua wenyewe kwani kama tuliweza kuishi katika makabira ya mbali na ikaja kueleweka basi hakika tunahitaji maelewano ikiwa mwanzo tulipatana na hatukuweza kufahamu kwamba inatupasa nini,maana kuna kujidai na kuwepo,hii kujidai ni namna ya kufanya kama vile ilivyo halisi,ikiwa na muigizo wa kuelekea katika lile lililotambulika na mmoja ama idadi yeyote kwamba linahitajika kueleweka.

Maelewano si o mpaka vita,maelewano hayana  hitaji la kutaka maana hapo tutaleta vita,tena ikiwa tunahitaji kuelewana ni lazima tujue tulikosana wapi?maana hata wapumbavu watajiona wenye nguvu sio kwa sababu hatuelewani ,au hatueleweki hata sisi pia kuelewa,bali kuna namna za kumfanya mpumbavu akaelekea na upumbavu wake,kwa vingine vile vya kuonekana na kufanyika vinaweza kuigwa,hapa tuangalie tusije kuiga upumbavu wakati tunataka maelewano,maana ni lazima kuwa karibu.

Ukaribu ndiyo unaoleta maelewano,hasa kama tutawasiliana kwa simu,na aina yeyote ikaitwe mawasiliano,hata kwa yanayoendana huwa yanaelewana,ikiwa tu imetakiwa iwe hivyo.katika kipindi cha kuubiri majibu ndiyo pale maamuzi yaliyofikirika hutoka,hapa inaweza kutoka vita ikiwa fikra zitabaki pale pale,tunaweza kuendelea kwa kusema mabaya ni mengi yaliyofanyika,sio kwamba tukataka maelewano kwani na yenyewe yanaweza kuja na kuwa mabaya,labda tukae mbali tuone ni namna gani tunaelewana.
Ikiwa siku na jua navyo vinaenda tofauti  havitaki kukutana si ya kwamba havielewani,fikiri ya kuwa usiku ungekuwa upi?maana jua lingewaka tu,hapa isiwe kwa mateso basi na tufanye vimeelewana hivyo jua siku moja na mwezi siku moja,bila uangalifu hapa tungetafuta namna ya kuelewana maana kwa wengine waliozoea usiku watataka mwezi uwe wao ,hawa wa jua itakuwa vita kali na wakulima,maana hata na mvua inakatishwa tamaa kwa vile tu..imekuwa too much.

Kipindi cha zamani sio kama cha sasa,vijana wa zamani ndiyo wazee wa sasa,yaani hata vitu vya zamani ni vya zamani tu,Yule akaichukulie ile mpya inamaana ndiyo kaiona hata haina haja ya kuuliza,ni sawa unamuuliza baba leo tutakula nini na wakati unaona mama yupo jikoni,tena huko nako kukiwa hamna maelewano maana ile sukari ya jirani ndiyo imesaidia kwa ule unga robo uliobaki juzi,maana na jana tulitegemea tutapata jioni kwa bahati watoto wakalala,mambo mengine yanahitaji muda maana hatutaweza kufikiri haraka namna hiyo,yaani kwa muda huu sio kufikiri tu ukijua ndiyo umeweza zaidi ya kuona kama unaweza.maana mawazo hayafikiriki mpaka huleta vurugu hata ya kujichukia mwenyewe.

Tunapoelewana tunamaana ya kuelewa kwa kila mmoja sasa Yule mmoja na wake mwingine isije na kuelewa tofauti,ikaeleweka kwa maana,tusiombe kesho ije ikiwa tuvuke vita ya leo,kama mtu kashiba basi chakula kifunikwe au njaa itafutwe,tena si kwa Yule tu muandaliwa maana wanaotaka kuelewa ni wengi tatizo ni kwamba kila mtu anaelewa lake,ni vigumu kumuelewesha Yule anayetaka kuelewa vyake,tutaleta vita tena isiyo kuwa na nafasi ya kupigana ikiwa wapiganaji ni wengi mno,ukiona kuna kunyamaza kwa kuinama chini ujue kuna misemo hapo,kope zikamfanye mtu afiche kile alichokiona mara ya kwanza kwa kujifanya kutokujua,hivyo baadaye ikawa ni mtafaruku,yaani maelewano kukosekana

By: Benson G.
Tel: +255714 33 66 57.
Email:bensonsmakaya@gmail.com



SELFISHNES 4



Don’t wait to be loved,
 
Loved it comfortably as there is no antipathy as hated,
Hated it comes after the hateful people,

 Others hate to see they loved, and we simply return the soul that if such responses unloved sometimes are brought back to us,
 Because they are different to how we are different,

Love not MUST be. and if you want to be loved, then it is advisable that we love those who are in our concern for lest it became as must be and then we love those who are out of our hearts and find we have lost even the love form the  little children.

Whether hatred and pain is in the full heart,
In the context of will tend poses many questions,

Especially when a single person thinks is to be liked itself whether known self,
 Feel this as a waste of love,

Feel this is wanting and trying to do what is different to that love reality existing between the lovers,

We talk about dear; it might be not necessarily to others, who have goals spouses,
If such love themselves and each person has a need to gain if he/she is in a position of his/her own,

Surprising for someone one who loves another and keeping him/her self and occurs to be,so you must ask yourself is why as if it will,then be a kind of...means what?

 Although the world, and many did not say
But  
Are in love too.


LOVE...

By: Benson G.Makaya
Tel: +255714336657
Email:bensonsmakaya@gmail.com

Tuesday, March 27, 2012

NAFSI HURU


Namna tunavyoweza kujitambua  katika kufikiri na vile ilivyo kwa kuona na kusikia.basi nafsi inaweza kuwa roho.Kuweza kujitambua ni kuwa na utambuzi,utambuzi wenye mtazamo halisia na Yule mwenye nafsi.nafsi huru ndiyo ile inayofikiria mema juu yake,ikiwa mema ni yale ya mtu mwenyewe hivyo tunafika na kuona namna nyingi za kuifanya akili  yako kuwa katika mtazamo ulio bora kupitia nafsi.

Usichukulie vitu ki mimi zaidi, hapa nikiwa nina maana ya ubinafsi,wengi wetu hatulewi nini ushirikiano lakini ukitegemea kwa kutofanikiwa kwa yale unayofanya peke yako,sijui ingekuwaje kwa jinsi ungevyomlinda Mungu kama ingelifahamika tu kila mtu amekuja peke yake na wake,yaani haieleweki alipotokea ni mshtuko na kukutwa yupo akinyonya maziwa yaliyoshushwa mbinguni,ingelikuwa ni hatari sana kumzidi kuweza kufikiri mmoja wapo asiyenyonya  lakini si  katika nafsi ya pili na kuona katika jicho la tatu.

   Sahau yako yaliyopita yale ya zamani.ndwele,ikiwa sio mazuri au mabaya kinachohitajika hapa ni kuweza kusahauika ,ni mengi zaidi yanayokuja hasa tukiangalia na yenyewe yanahitaji akili na nafsi zetu hizi hizi ili kuwezakufikirika,binadamu ana aina ya matendo pale inapomkutia nafsi yake,sipendi kumsingizia mungu lakini kwa mwanadamu lolote lina haki kutokea mbele yake ikiwa  ilipangwa kuishi hivyo inatupasa kusahau inapobidi na zaidi ni kuweza kufikiri yanayobidi.
.
   Kubali yale yasiyo badilika kubali kuna yale marahisi,kubali kuna yanayowezekana,ikiwa yamewahi kuwezekana kwako basi kubali pia kuwa kuna yale yasiowezekana maana ingalikuwa hivyo tungefanya vyote wote tena bila kujali,magumu mengi huchanganya wanaadamu hivyo kufanya hata kuchanganyikiwa,hapa haina haja ya kuchanganyikiwa endapo utafahamu kuwa yapo ambayo hayawezekani katika nafsi yako.

   Kuwa mvumilivu…hatuwezi kusema uvumilivu ndiyo kila kitu kwani hata tukiuvumilia moto mwishowe ni kuungua tu,hata ukavumilie mazuri kwani mabaya ni yapi?uvumilivu unahitajika katika watu pamoja na maeneo pia.huku akili timamu ikitangulia kutafuta majibu sahihi pakiwa na uhuru ndani ya yako,uvumilivu ni njia ya ushindi pale unapotakiwa , unapaswa kuwa wavumilivu ili kuweza kujua hasa ni nini zaidi ambacho kinapasa kuvumilika.

 Kaa mbali na wale wanaowaza tofauti na vile utakavyo  wala hapa tusitengane wala haina haja ya kubaguana,la msingi zaidi ni kuweza kuwaza ilivyo tofauti na vile wanavyowaza wachache wale wa tofauti,na lengo liwe ni kutaka kuleta utofauti tu,na badaye kuwa bora katika utofauti huo,
maana unaweza kuona kuwa Fulani yupo tofauti kumbe naye anaona swala hilo ni lipi na upande wake kwako pia.

    Nafsi yenye vita ina wivu..wanasema  wivu hudhihirika katika mapenzi ya ukweli,hapa upendo umeonekana ni bora zaidi maana unawezaje kuwaonea wivu wale watu unaowapenda?wivu hautakiwi kokote kwani ni sumu,tunasema sumu ni sumu tu haina idadi ya kua ni nyingi ama ndogo hapo matokeo ndiyo husema,na  wivu usiwe mwingi,hapo utavuna mengi zaidi.nafsi yako itadhurika

    Usiweke na toa kinyongo nafsini,Weka Nafsi yako huru..moyo unamengi sana ya kufanyia kazi ,kipindi unaweza kukuta mwanadamu anataka kujiua hiyo ikiwa ni namna ya mashambulizi aliyokumbwa nayo  katika sehemu yake maana uwanja wa nafsi ni mmoja lakini namba tofauti.watu tupo tofauti.hivyo katika yale ya kuumia zaidi iwe ki hasara ama faida yatupasa kuondokana nafikra hizo chafu na nzuri katika upande wa mtu husika ili kuwa huru. katika mawazo uliyonayo.

 Punguza muda wako katika kuangalia tv na kusoma magaeti muda ulionao ni kwa kuwezesha mambo  kwenda katika mtazamo ulio bora hivyo yapasa kuimarisha ubongo na sehemu zake nyingine kwa kuweza hasa kusoma na kuangalia matukio na vitu mbali mbali ambavyo kiharisia vina punguza kasi ya akili katika kufikiria mambo yasiyo kuhusu na zaidi kujishugulisha na kwa nini sio mimi,hiyo ikiwa ni kama njia moja ya mafanikio binafsi maana akili njema hufuatana nayale inayoyafikiria.

       Jishugulishe fanya mazoezi.vile ilivyo maazoezi sio lazima kunyanyua vitu ambavyo ni vizito labda lakini unawezakufanya mazoezi marahisi yatakayo weza kukufanya kuwa katika mtazamo Fulani,
yaani ikawe unafanya mazoezi huku ukifikiri hayo mazoezi katika kuujenga na kuimarisha miili yetu.
unapoimarisha mwili wako  unaimarisha nafsi yako

  Jifunze namna ya kuweza kukaa kimya na kufikiri juu ya maisha yako.muda mwingi huwa tunakaa hasa tukitafuta maisha lakini nafsi na akili zetu zikiwa baado hazina utulivu,hapa tunashauriwa kutulia kwa muda na sio bila kuongea lakini pale inapobidi hii itasaidia katika kujua yale mazuri kwa upande wako na yale mabaya pia.


By Benson G.Makaya

Friday, March 23, 2012

22/03/198...1+1+1+1+1+1+1.....

Kweli mwanzo  ni mgumu.lakini sio kila lenye ugumu ndiyo linaanza maana kuna mengine yasipo kuwa yako bila kutambua unaweza kudhani yameumbwa magumu hivyo yenyewe huendelea mpaka pale yatakapo kuwa marahisi na labda usitake kujua tena maana haukufahamu mwanzo kama ni magumu.na yaweza kuwa isiwe mwisho wake ikiwa imeaminika kuwa yanakuja na kuondoka,kama yanabaki basi yamependezesha mioyo katika namna yake ingawa ya leo sio ya jana lakini inawezakana.
Leo ni siku maana sijui kwa nini hata watu tungalikuwa muhimu kuliko siku tungeitwa siku.siku hii au ile tukaitofautishe na namba,tunaweza kutofautisha mengi sana hata siku zenyewe zikawa hazina maana na kutokujua ni lipi na ipi.maana hata jumapili imeshirikisha namba,na wengine tukapumzike hapo.kwani yapasa kuzijua hesabu tena tuzishike kabisa kama ni siku ya saba au ikafahamike itafika siku utajua kwa nini unakula mara tatu, na pengine je ukaamua sio wewe tu hata hali ya maisha ikaamua maana unaposema haiwezekani ikiwezekana huwa Mnakaa kimya
Unajua juu juu na hakuna lolote ikiongezeka basi ujue hiyo ndiyo tabia ya namba hapa namba zinasema ni lazima kutangaza maana ndiyo zimetofautisha siku,haina haja ya kuhesabu matendo labda useme ni siku ngapi zimepita mpaka sasa,maana zinavyokuja si ya kwamba hayakugangwa yakutokufahamika na hapa tutajua kama za nyuma tulizitegemea.
Ukubari kutoa shukrani ingawa mengine yaweza kuyafanya mwenyewe shukrani huwa zinampata Yule aliyepewa,hata sikuweza kuwafahamu wazazi pale kabla sijazaliwa yaweza kuwa ulikuwa ni wewe hapa haiitaji kuongeza neno kwani bado sina meno,Zaidi ni kushukuru kwa Baraka na hekima walizokupatia
ASANTE BABA NA MAMA.
LEO NI SIKU YANGU YA KUZALIWA...

Tuesday, March 20, 2012

LIFE IS SIMPLE,



Maybe we can say we need a change ..
we need to stay and do together..
Life is in the form of survival, 

change is natural to visibility other than at the other,
 As what is done it have great ability of being able to change,
Especially when we decided to do things, 
and this in doing is we are doing each other in the form which we may or not,
 but all in all if it is change.,
Lives are changing for the world and how the world it goes.
In any containers with easy loaded then difficultis should occur,
And this as when we do different,

others will see that the question one ask is hard and some will see also  that is simple,
and that we should give way in locating the difficulties that the easy ones are still difficult Sometimes occurs as the fundamental understanding is also different,
 Life is how we walk, we sit, we eat to get strong and how many other,
 and it would be difficult if we say life is just as walking,
 For those who run will bring the war because they will be seems  fast for some things,
few of them heard These days are not as old as the Blessing started had come to them, 
and not understand why blessings,
and we could understand its effects and benefits,
 if we had gotten benefits in the future could be a disadvantage,
since it is a way of living well, living in tune with how the world is,
 we live because the world existed.

I need to change the world,
perhaps thinking of those few,
 meaning that we passed to the streets we get to hear and understand that we were different,
maybe to say every man has a world of his little that we must be,live in it…
 know as what insisted to be liked more have more than one property,
 with more than one ownership is easy to round and round even itself only if it needs to change,
and must when it cant round itself for ourselves, for the time we are going and we can see that we have to change it ourselves,
Obviously as if and its diameter is…was!
Out of fate unseen able got to be acknowledged immediately,

 We should pray for a living in us because we will be repeating era that were most difficult,
 We can be. We know how we reach here and are as descriptive for others,
 Maybe it is for those difficulties,
 if perhaps not fully understand then return there, why…?

Our wrath will still not means we died at the first time ,
 do remember well, because we need change that is consistent,
 and here we must remember that where is the best way ..
 Because we are from where if it does not need to see frontward.
acknowledge and  remember,
 life is like THAT.
not just...!!

By: Benson G. Makaya,
Tel: +255714336657.
email:bensonsmakaya@gmail.com

Makaya's Forum: ELEWA 2

Makaya's Forum: ELEWA 2 :   Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...