Tuesday, July 31, 2012

MTAZAMO..


Naona ubadirishe namna ya kutawala pengine unaowatawala wakaelewa wanatawaliwa na nini,pengine nani maana haina haja ya kusemea gizani.nilipotizama baadhi ya matendo yake nilishtuka kwa kuona,ni kweli maovu kwa kujua mema unayotizamia wewe,pengine mimi ni wewe lakini siwezi kuwa wewe,maana inahitajika wewe kuwa mwenyewe,kwa mtazamo wangu ni kheri kila mtu akafikiria lake maana maswali yanakuja kutupa majibu ya ulipotizamia.

Ningejenga barabara mbili za juu na chini,hizo zipo sawa kwa mtizamo wangu ni kheri ungekamilisha hizi za chini kwanza,hapa si unajua unachokifanya sio kugombeza kwa mtazamo wangu ni kueleza,kwa maana pengine watasema ‘alisema’. Sisi tumepita lakini wao wanokuja patachimbika sasa ni vizazi vinavyotembea na tufikiri unapotafuta unamtafutia nani kwa  maisha ya mtanzania sio ya kulala njaa labda uwe umeathirika kimanzingira.

Hivi kesho nitajali zaidi mtazamo wangu kwa kuwa na wako tofauti,basi fikiri kutenda ukizubaa subiri kalenda,maana ya kuyaona hayaeleweki ya mwengine kuliko yako,yasiyoeleweka kusemeka kueleweka,watu na wenyewe hawaelewi mitazamo yao wanachotaka ni kile walichokuwa nacho chao.pengine jumapili njema  ni ile ya kuisemea jana,pengine tukiwa na mapenzi huku tukimsujudu maulana.namshukuru baba kwa hiyo mitazamo ya maana.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...