Friday, August 10, 2012

UPENDO..


Kuna baadhi ya sifa ya ajabu katika watu wamiliki wa baadhi walivonavyo. Kama kitu ni cha milele, na ni tumaini  watu kuimiliki kwa wingi. Wakati mwingine matumaini yanaonekana kufa chini ya shina, ikiwa haikutumainiwa kwa vile iwe ya milele,ikapendeze tena bila kelele,bali ni milele inavyoupendezesha moyo upya katika nafasi ndogo uliyoiruhusu.moyo ni hazina ya furaha katika maisha yako kwani maamuzi yanayotokana na wewe ndiyo wewe mwenyewe unavyotafsilika katika pendo.

Na halafu pia  katika kutumaini ili kuishi kuna  Kifo, maumivu, na taabu za maisha hivi vitu kuvuruga upendo, ukiwa hauna namna , zisizogusika nje au hata ilivyo ndani ya mtu binafsi ni hatua kama ya milima, na ni mwanzo na mwisho wa uhai wetu.Upendo unaipa dunia kivutio chake. Ni upendo peke yake wa kupendezesha na kuleta furaha, na kwamba humfanya mwanadamu kutoka kuwa mahali pa ukiwa ikiwa amekubari kupendeza na furaha. Hii inatufanya iwe ni milele kujenga maono mapya na ndoto njema, milele kutoa  mawazo mapya ya  mwongozo

kuna namna fulani inaonekana inachanganya sana na makosa ya kudhani upendo ni bidhaa ya mwili tu na damu. Hata mchakato mrefu ndani yetu inatuambia upendo huja juu ya mbawa zinazotoka kwa Mungu.hivyo katika swala la kuamini ni kazi ya kila mmoja maana hakuna anayempendea mwenzake,kila mtu na moyo wake ikiwa ameyatumainia maisha yake yawe katika namna ipi,itakayokupendezesha mwenyewe.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...