Sunday, July 1, 2012

CHAPA NG’OMBE.


Ni kauli vile mchungaji akimwambia mwanafunzi wake,maana sio kila mchungwaji anachungwa na mchungaji mwema,wengine si katika maovu bali ikiwa bado kutokujua kuelekeza,yaani wewe ng’ombe usipite hapo ni lazima na viboko?maana bora hata Ukamsukuma pengine mnaweza kusikia yaliyo karibu naye akalalamika tu,mnachapa sana ngombe hawa hii ikiwa ni historia ya kwamba ni bora akawa anachapwa chapwa hapo ukiwa unataka ngozi ,yeye yule sasa akiwa ameumbwa kama mwanadamu,ya kuwa na kizazi,yaani wote ni binadamu..sishangai pale unawaita watoto mbwa,ni mbwa pekee anayeweza kumzaa mbwa.

Labda utafute madawa ya kukaushia ngozi,maana ng’ombe wameskika wakilalama sana,ingali na viboko hivyo imekuja hata wanyonyaji,hata muda wa malishoni kwa ngombe imekuwa taabu,fikiri mchungaji anapolala hulala na usingizi upi na Yule ngombe alotoka machungoni kwa viboko?maana hilo la mchungaji sijui ndiyo kuendeleza nchi ama ni kutengenezana baadaye wakapata maziwa ndani yake,hutajua maana ya kiboko cha mgongo ni uelekeo wa wapi zaidi ya kutia maumivu.

Katika lile linalomuumiza mwanadamu ndiyo lile au yale yaliyotukia na furaha,maana hata mwisho wa sukari ni uchungu,pengine mchungaji utuulize kuhusu utamu wa viboko hivi,maana si kulalama,ila isemekanavyo maumivu yakizidi umwone daktari,sasa kama daktari amegoma  haya maumivu yanatokea wapi ikiwa yule daktari ni mwanafunzi,angelikuwa mwalimu asingekubali kuikosa heshima yake uelekezani,maana ni wito huo na mchungaji punguza namna ya nguvu zitumikazo kuchapia ng’ombe wako,maana kuna wale wenye vichaa,wakiruka kile cha kukanyaga  ni kesi yako mwenyewe,maana utaelezea imekuwaje hata viboko ukashindwa kuchapa,au vilichapwa kwa namna ya utofauti yaani yakaanza maumivu na kichapo kikaja baaadaye.

UCHUNGU


Uchungu wa uzazi aujuae mzazi,tena ikiwa Yule anayeujua uchungu katika kuzaa,hapa isiwe nazungumzia uzazi,pengine tukafikiri ni namna  gani pale ikaeleweka Fulani ana machungu..si ya kuwa kwa kwengine ikajulikane namna hiyo,bali Yule aujuae uchungu,akauelewe kwa vile uumavyo,kumbe ni maumivu,kumbe uchungu unauma,haya si mambo ya Kiswahili,pengine tusitake ya kizungu ila yakawe yanaeleweka basi..nakubali katika lile mtu asemalo,kwani kweli yake ipo humo,humo anakuwa ameamua yeye maana ni mahala,kama ilivyo pale,yaani ndani humo,pengine ni duniani,yakuwa machungu yameonekana kuwa mengi,duniani kuna maumivu..!!

Sikatai hakuna kulalama,pengine tukawaruhusu wezi kutuibia,maana kama hatutasikia machungu basi wezi endeleeni kuiba….maana ifike wakati hatujaelewa kwa nini wanaiba,maana hayo si ndiyo maovu..mengine machache lakini si yote hata hili moja linatosha sana,katika kifo cha mwizi kinatia uchungu sana,sijui Yule anayaekufa huwa anasikia maumivu gani?ikiwa hatujaelewana nitafanya kurudia,lakini tukubari na machungu yatakayo tujia,maana tunyoshe mikono haya tumeyashindwa,na tusiposema hivyo lazima tuulizwe yaliyopitwa…hapo ndiyo tutaona machungu,maana yalipitwa na imepasa kuyarudia,’ni kazi kubwa kuirudia adhabu’

Kila ya jana yanaisha ninapoamka asubuhi,hii ikiwa nimeamka,nafsi yangu ikiwa inaniambia kufanya kile kizuri cha jana kilichobaki,maana ndiyo kitaleta kesho,hapo nikiwa naogopa machungu,sasa huyo sio mimi na mimi nitasema machungu yangu yapi?ama iwe mimi wa sasa ndiyo kama mimi..hapa nimezunguka sana,baadaye itaitwa mizunguko,maana ikinyooka wanaita minyooko labda iwe na majungu,yakifikirika kinamna yoyote tofauti na msemaji hayo ni majungu,,maana si vile kila mtu ana machungu yake naye afanye yake,ikiwa kila mwanadamu hapendi kulia uvunguni.

Friday, June 29, 2012

MKUTANONI..


Mara kwingi ninapotoka ninakutana na watu wazuri,wakiwa wao ndiyo wao hasa ndiyo ikawe hata maana ya kukutana,pengine tukimaliza mkutano upate japo neno jema kwamba karibu kwenye mkutano,sijui ikiwa imetendeka nini ndani humo,maana kabla tulisema bila kujuana,pale ikaenda kimeisha kikao tupeane karibu,hizi zikiwa na maana ya sijapenda ulichokifanya na vile karibu sana,maana utasisitizwa hata siku nyingine,hapa sio kujua kwa kuwapo,ni kujua kwa kuelewa,tumejuana kwa kukutana.

Pengine sio bahati mbaya ila ni nzuri iliyokuwa na ubaya,kama vile jamaa alisema kuhusu mwongo ya kwamba ” Kuna mtu anauongea uongo si kwasababu amedhamiria ila ni kwasababu anajua huo ndio ukweli huyu hawezi kuwa mwongo, bali huyu haujui ukweli”.kwa kweli sio kosa la kukutana,bali ni vyema tumekutana ili kuelezana,pengine kila mtu awe na lake ili kuweza  maana,pengine ili kucheka zaidi ama kununa,maana ya kununa siijui zaidi yake,pengine ni kufa tu..

Sasa si italeta ugomvi,tena itakuwa ni bahati mbaya,maana kuna watu wanajua kununa kweli kweli,hapo bila ya kujua wanapoteza namna ya kucheka,kutabasamu..maana maisha ya mwanadamu aliyefanikiwa kiroho na namna awezavyo ni kucheka,hata kutabasamu maana ni mwanzo wa kucheka.

Hakuna maana ya kusema wewe ni nani wakati wewe ni nani,maana inahitaji uje kwa adabu tena ukitaka kusema wewe sio nani,maana hakuna aliyekutilia maanani,’hapo mwanzo alikuwepo sungura na fisi’,hadithi hizi hatuzitaki siku hizi.asante sana kwa kukutana maana imefika kipindi nimekueleza hata yale ya jana,ngoja kesho ije tutafayaje kama sio kusikiliza ya jana?kama umeyaacha mawili kayachukue,ikiwa haiwezekani ingia hivyo hivyo mkutanoni.

Wednesday, June 27, 2012

HAKI YANGU..

Haya  yangu
Tanzania isiwe ni nchi ya kulalama,eti tukataka kufanya kwa kusema ni haki,pengine kila mtu yapasa kufahamu haki yake,haina maana ya kuumia na kulalama kwa nini umeumia,hapo hatutatumia udikteta,hapo hatutafanya maonevu,pengine kwa yaliyo machache tusifanye roho zetu zikawa siasa,hapa lazima tuelewe siasa ni nini,maana kwa pengine jana ikatokea mtoto wa jirani amejikwaa basi utasikia chama chao  hao,kesho ikija tunasema aaah hawa watakuwa wamelipizia,tukiwa tunaenda na kusema tunajengea watoto wetu maisha,hapa tutakuwa tunajijengea makaburi kwa bila ya taarifa,maana wengine wataona haina haja hata ya kukuzika,watachoma moto tu.

Kesho jamani ije bila ya kutokusahau,maana mengine wamekuja leo wakiwa wameumia sana.tufikiri hapo mwanzo kama tulikuwa hatulimi,leo hii tunaambiwa ni kilimo kwanza,ni kweli hata iliposikika,inaleta maana ya kuwa imemlenga Yule anayeambiwa,maana hata mtu ukakubari ndiyo lazima tufahamu kwamba kesho itatokea lake,wengine hawana hata kazi,eti tunasema hawaja soma,hawa wengine waliosoma ndio wanapigwa ili kuonyesha haki,nani apigane?maana mwenye haki asiyesoma,mimi yangu haya mwenzangu na mimi sijui haki yako iko wapi,tena angalia usije zikwa mzima.

Pengine nchi yetu imekuwa tambala bovu linalongoja matope yaje ilki kuyazoa,yakija masafi si wanasafisha wenyewe,tena huwa si vurugu kwani huitwa ruzuku,wanagawana wachache tu,wasichoke wengine kutupa msaada,wachoke wengine wenye kumaliza misaada,maana imetokea mkubwa kajua kama mkubwa kajua unadhani patakalika?

Haki yangu nitaifurahia mwenyewe,haki yangu haipaswi kwenda kama kifaranga na mwewe,leo isiwe lakini kesho itakuwa,haya ni yangu yamependezwa ingawa tunaangamizwa,kubali mdogo ndiyo wakubwa walivyotufundisha,kubali mkubwa ndiyo wadogo wanachostahiri,chukua chako ondoka,maana vengine vya wengine,
Haya zenu jamani...!!

Tuesday, June 26, 2012

DIS A B I L I T Y...

» Most people with personality disorders have what is sometimes referred to as "disorders of the self," because they often don’t believe that there is anything wrong with them. They think, “This is me,” or “This is the way I have always been,” and self-preservation makes them want to stay that way. Personality disordered people are the ones who usually come to mind when we think of the term, “toxic person.” Here are some insights and steps for dealing with these highly difficult - even, impossible - people

1. Recognize that impossible people exist; there isn't a thing you can do about it. The first step is all about facing reality: if you think you might be dealing with an impossible person, you're probably right.. The headaches you save will be your own.

2. Do not call them out because it will frustrate them. They could become more difficult, but just stand your ground and be confident.

3. Be aware that some people simply aren't compatible. Sometimes, a person who gets along with everybody else quite well is an impossible person for you personally. Most relationships between people contain many shades of gray, but some people simply mix as well as oil and water. It is common to hear your impossible person proclaim that "Everyone else likes me." This is an attempt to shift the blame to you, so don't buy it. It doesn't matter how this person interacts with others. The fact is, the way the two of you interact together is terrible. Remember that blame never changes the facts.

4. Understand that it's not you, it's them. This can be surprisingly difficult, considering that impossible people have complete mastery of blaming skills. Chances are, the more often they blame you, the more they themselves are actually at fault. Keep in mind that this is not to be used as a way to blame them. Blaming is what impossible people do, and they do it well. Instead, you are only facing the facts, for your own sake. That being said, here's a simple way to tell: if you accept responsibility for your own faults and resolve to improve yourself, it's probably not you. Remember, impossible people "can do no wrong."

5. Defuse them. Stay calm, don't spit angry words at them, and whatever you do don't cry - this will only stimulate them to do more of the difficult behaviour. Try ignoring them. Do not, under any circumstances, join them in bashing, blaming or complaining. Do not bad talk to their face or to anyone else because then you are sinking down to their level. Add something positive. Redirect by focusing on something, anything, positive in the situation or in the conversation. Whatever you do just stay calm!

It can help to realize that the side of a conversation that contains the most truth will always win out, and it's best to "name the game" that an impossible person is playing, usually by asking them or the group a question that starts "Why...," (rephrasing their "impossible" position to illuminate the consequences). You will move the conversation to a higher level, and the group, or even just the impossible individual, in a one-on-one, will respond to this "higher truth," although the individual will usually respond by (more) obfuscating.

Avoid one-on-ones with this type of person, actively; in other words, when you see them coming to corner you, suggest, and then demand that at least a third party be brought in. This will often thwart the impossible person's plans, and a typical response from them will be to unilaterally decide that "we don't need anyone else." You are perfectly free to claim your need for a third party to help your understanding, and insist upon it. Bullies never stand up to a crowd.

6. Realize that you cannot deal with impossible people the same way you deal with everyone else. In some ways, they need to be treated like children. Give up all hope of engaging these folks in any kind of reasonable conversation. It will never happen, at least with you. Remember what happened the last fifty times you tried to have a civilized discussion about the status of your relationship with this person. Chances are, every such attempt ended in you being blamed for everything. Decide now to quit banging your head against a brick wall.

To be continued....!!

Makaya's Forum: ELEWA 2

Makaya's Forum: ELEWA 2 :   Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...