Monday, October 8, 2012

UANADAMU UTATA..

Naomba samahani kwanza kwani kwa hili tendo nilijua kwanza,kama hujui kwanini unaishi,ulipo  na ulivyo utakuwa ni mpumbavu anayepaswa kuishi na wapumbavu,maana inaweza kuwa ni wa milele,kama hujui upo duniani kwa ajili ya nini? embu jiulize sasa,kaa chini fikiria na muulize hata mwenzako,ndiyo inawezekana kufanya kile ambacho hakipo katika mategemeo yako lakini ikawa kipo katika njia ya kuendea kwako,fikiri mara ya tatu na kujilaumu kwa kufanya na kuona umekosea,

Namna ya matendo na jinsi ulivyo ndiyo yanafanya maisha yako,kumbuka kipindi unapewa mitihani kama ulikuwa unafanyiwa na mwenzako,maana sasa shida ndiyo mitihani yako,jirani yako ndiyo Yule aliyekuwa akikusaidia hata kwa chumvi inapokata mida ya giza’.pengine wengine hawaelewi kwa kuwa na kuishi kivingine,kama sijakosea mwanadamu lazima aishi maisha yake halisia,hasa pale anapokuwa mtu mzima,watoto huwa wanachukulika hawana makosa kwa kuwa kwao wao ni vigeni,hata hawapaswi kukaa sebureni.

Mwanadamu anastahiri upendo,mwanadamu anastahiri namna ya kujiona mtu katika dunia,maana umekuja kwa ajili hiyo,unapoambiwa mbaya shukuru mungu maana wazuri mungu kawanyima ubaya,kubari kuwa yangu ni kama yako,na kama huja baada ya kuona muda unaobidi kutumika ni ule ule lakini kinachobidi kutendwa kimetofautiana,mwanadamu tafuta ridhki yako ujione mfalme,ukiona mwenzako anamsema mwenzako angalia isije kuwa ni kawaida yako,fanya mambo yako…

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...