Monday, October 8, 2012

USWAHILINI KUNA VITUKO


Nashangaa sana kuona watu wakiangaika na katiba ikifika muda wa kenda miaka sasa,nashindwa kuelewa nilichosomea ni nini maana ni wazi siwezi kuandika katiba,hapa lazima nikuulize kijana mwenzangu ikiwa ni utani kwa mzee akimwambia kijana mwenzangu..sikuweza kufikiri wala kujua endapo piki piki hizi za wachina zinavyotenegenezwa kwa wingi na kuingia kama karanga,ushuru bure kama unapeleka kule,leo ije waseme hakuna spea,hizo zikiaribika ndiyo mwisho wa safari yake ya maisha,wakisahau jamani hizi pikipiki ndiyo zinazotuendesha,wakisahau yaliyo katika katiba ndiyo yanayotuendesha,tena siyo kibinafsi.
.
Tumezoea kuendesha bila kujua kama tunaendeshwa,kama swala ni kukubariana basi liwekeni kwa wananchi watamtafuta aliyeitunga ya kwanza,maana nashangaa kila siku kubishana,yaani kama ulikuwa unaishia vizuri,sasa unang’ang’ania kuishi vibaya,wewe kijana angalia usije kufa umri si wako,wazee mnayafahamu haya ila hampaswi kuitwa wapumbavu.usitegemee kufa kwani ni bahati mbaya,kama unauwezo amka kesho nenda kajikwae  barabarani,na wala siyo lazima iwe kwa  wote,

Nina imani ya kuwa na wengi walio soma na wasijue wamesoma nini,hili ni kosa la kutokuambiwa kama ubongo hautanuliwi na ulimi,ni namna ya kuuweka makini,ili kesho-kesho kutwa isije ikaja usiamini.unawezashindwa kuelewa ni kwanini yale maneno yamekutazamia wewe,maana hata kama ni mimi lakini ni namna unavyoichukulia wewe,huu ni uswahili na haina kustaajabu yaliyo na vituko uswahilini.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...