Monday, July 23, 2012

DARASA HURU....


Hapa unasema tu,sio unasema sema tu ili mradi umesema maana watakwambia umesikia wapi?hawa sio wapelelezi ni wambeya tu wa mitaani,leo atakuja na lake la kusema basi faraja kubwa kwa dunia kwa kudhani na lake litakuwa limechangia kuizungusha dunia,ni mengi san ya kuongeleka ndani ya darasa huru maana humu tutasema mbona ulisusa ukaja,siku hizi kuna masomo na ukiona hutaki katika  zetu za kihuni huni wanakutupilia mbali,sijui ndiyo kifo.maduka yameongezeka ikiwa na maana kodi imeongezeka pia,kuna jamaa wanalia sukari bei imepanda sasa mnatakaje,familia za watu zi sile? 

Darasa huru uwe mvumilivu maana hakuna viboko humoo..hakuna fimbo wala sio mwili kwa kuukaribia,ni vipigo tu vya hapa na pale,maana katika maisha tunakubali hivyo vingine vipo tena vingine vinaumiza sana hata usiwe na raha maishani mwako navyo hivyo vimo ndani ya darasa huru,maana huwezi kufundishwa kuvua na wakatI hauwezi kuvua,utafika wakati tunataka tunasema leo nimeenda mjini nimekosa hela,sasa kwa nini,maana ilipaswa kwanza,haya katika darasa huru yanapatikana endapo wakati unaruhusu hasa ukiwa unataka kusikia mwalimu anakwambia nini,labdda mwalimu hakutaka wanafunzi wajue’moja jumlisha moja ni mbili’pengine kama kuna mwingine  anafikiria ukijumlisha moja nyingine ndiyo tatu,sasa hapa kuna wale walioishia kuelewa 1+1=2,1+1+1=3,na wasioelewa 1+1=2,hapa naona wengine wameelewa namba..kweli tumetofautiana kuelewa..darasa huru litakuwa ni gumu sana..wanavyotutishia hao waliomo..!!..imesemeka..

Ngoja nimalize kidogo kwahelini maana nmeandika na kazi za nyumbani yaani ‘home work’..wahaya ni watani zangu hilo neno linawezekana kuwa la kwanza kuonekana,nilisikia mmesoma sana sasa ‘home work tu mnashindwa kuzimaliza?’..au ndiyo mnamalizia kuoga..’mshachelewa nyinyi watu wao walishakwenda’..hapo sura ikiwa na furaha kama vile ukicheza mziki wa chakacha,hata tukiwapeleka madarasani bado kwani ni kama wanacheza tu..

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...