Thursday, August 16, 2012

AHADI


Kama unavyoweza kusema utarudi tena,ikiwa umeahidiana kitu ki maongezi pengine hata vitendo,au vile jana ulisema na leo imetokea basi hakika na kesho inapaswa kutegemewa yakuwa dunia ni duara,pengine Mungu angewaahidi wana wa Israeli kupitia musa wazungushwe hata pengine wangemsaliti kwa asilimia kubwa sana,maana wengine wangejifanya wanajua kurekebisha bila ya kuhofia  yatakayo haribu kwa vile kiongozi alivyo sidhani kama ahadi zinabadilika zaidi ya kutokutendeka,maana hapo utabadilishana ya moyoni,muda unayake kaa ukiwa na subira ya kile ulichoahidiwa kesho

Hakuna na kuogopa zaidi ya kuamua vile vinavyokuja bila ya ahadi maalumu huwa havidumu,pengine ikiwa ahadi inafikirika kwa siku nyingi sana,pengine uyo aliyeahidi akiwa mwongo  ndiyo vile maana ya kutokutendeka,na kama ilikuwa ni mara moja basi haina haja ya kutegemea ya pili,pengine kama Mungu angeahidi kufika katika nchi waliyoahidiwa,na baada ya kikwazo cha bahari wakadhani sio Yule mungu musa aliyemtuma kuwafikisha wanawe mahala,lakini walivuka na kufika pale,tena waliandaliwa,uliye na imani tofauti fikiri hili ni kama neno.ahadi hata kama ni tofauti lakini ziwepo uzikute upande wa kutumia iache subra yako.

Kesho ndiyo siku njema mahala hata nilipo ni zamani,kila dakika ya kufikiri inakwenda bila hata ya kudhani umeahidiwa nini,pengine ahadi yako bado hazijatoka au yapasa kuomba tena na bora kesho ije maana yale yote ya jana yanategemeana,sidhani kufika kumi bila moja iliyopo,pengine mungu amekuahidi kitu kimoja tu pengine kila mtu akamshukuru mwenyezi Mungu vyema akafanya hivyo pengine utende yanayostahiri kwa kila mmoja wetu ili usiweze kugombana kwa zawadi zitakazo kuja kwa ajili yako ikiwa zilikuwa na ahadi.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...