Tuesday, September 11, 2012

CHEMA..

Bado  naizungumzia nafsi yakuwa ni mahitaji kimsingi ikawa kama mtaji,yale ya leo nayarudia kuwa ya jana,maana ikiwa unachanganya lazima ujue ni dawa gani pengine ikawa ni ya maana,mimi nafanya leo iliyo  njema  yakuwa imetegemeka kuwa njema sana,kwa kweli tulipatia sana kwa kuwa na uwezo wa kufanya kile kilicho chema,hatuna haja ya sauti ya kuwa hata mtindo wa mlio umekuwa ni  tofauti,maana mashine  zitarudia mara mbili ikiwa zinataka kuhakiki namna ya vile biashara inavyofanyika.

Kweli tumevuta na yale yaliyo na utakiwa wa kuwa nyumbani maana haitakiwi kuogopa.leo tumetoa ipi ile iliyo ya kwanza ama ile ilyo ya kwanza,kinaweza hichi ni kicheko kwani ile lugha haijaeleweka imekuwa nini,ni kwa akili na uwezo ndivyo utanionavyo,katika rafiki na uwezo ikiwa hata mambo ya kale yakaja kuwa mapya yakuwa tumesikia kwamba imezama na imekuja na majanga ambayo  yataendelea kutokea,leo jichunge maana wangine hawana namna ya kushika yaani mshiko.

Ndotoni ukija basi jaribu kujiondoa akilini maana  uwoga unakuja na itikadi ambazo hazizoeleki,leo basi iwe yetu maana tumekusanyika katika mengi,kwani katika kuogopa pia ikawamo na kujali kwani mengi anapewa Yule anayeanza kwani tukitaka kutamani itakuwa ni kama vile ilvyo ile katika moja wapo,ya leo siyo hii kwani nimeona kwa waliopatia kwa kusahau yaliyotukia,Kilimanjaro ni kama maskini asiye na sababu kwa kuchoka maana ni ukubwa tu,ama ni faida kwa kuwa kuna kuzungumziwa

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...