Sunday, May 20, 2012

YA MDOMONI.

maana leo imekuja wakati hakuna wa kusema ndiyo Yule atakaye kataa na mwenyewe utamfikishia hapana yake tunashindwa kula kwa yale magumu yakuyasema tunalala juani tunaamkia juani,

tukitaka yapi maana yale ya mdomoni ukiyachelewesha sana baadaye ni ugomvi,watakuja wenye njaa na baadaye tuwaite wakoloifi,wanyang’anyi,wakija na kula karibuni kwa mgeni ni njema sana kwa karibu ya shukrani pia,maana kheri inatoka nje kuja ndani,

kama ungalikuwa ugali wa konde ni mchafu basi ingekuwa vyema kama nasi tungepita kwa ujazo wa mafuta vipimo vingine ni vidogo sana,haki mafuta kutokuweka kabisa.maana miili yetu,viungo vyetu vimeamua kujishughulisha kwa usaidizi wa damu nasi tunaseme asante Mungu,

Leo yalikuwa hauyaoni haya kesho utasema hauyaoni haya,yapi yale ya muda mrefu yakakumbukwa maana kwa muda unavyokwenda,kwa matendo yanavyokwenda,na hata nguvu zikaribu kuisha uwezo ndiyo wasemeka kujulisha vyote vikiwa vigumu na virahisi

pale ulipolizungumzia jambo fulani tumai ilieleweka,maana kwa muda huu uliwaweka wengine wakae pembeni ikiwa kwa wafogo na wakubwa 

pale palipokuwa na mafungu basi kuna elekezi tofauti yapasa kufahamika isiwe tofauti na kinyume na taratibu kujichagulia,ikiwa taratibu ni sisi wenyewe tunajipa ikiwa ni namna ya kuishi pengine kutaka kuishi kama nani pengine ikawe nani ndiyo imani maana yapasa kuishika sana,

ukajue wewe kama unakufa kwa nini,ukajue kama utaharibika au Mungu tusamehe pengine tumetupa chakula cha mdomoni tukidhani ni uchafu kumbe ni ya kutoka kwetu mwilini haki,

By:Benson G.Makaya

PAMOJA


Mara ya kuwaza ndiyo inayoweza kuzungumzika vingine kwani haikuweza kuwa pamoja,
tumefanya sana,tumepigana sana,tumeona sana,yote yakiwa yanaeleweka,yanapokuja mengi yanakuwa na uchangamfu,kwa pale moja litakalo leta umoja kuwapo na utofauti,kwa mmoja aliye na umoja ni rahisi kuelewa utofauti ya kuwa ametoka huko,tusizungumze vitu tukiwa na maana ya wote,bora ikawe ni kwa umoja unaoleta umoja ili kuikimbilia kheri,

kheri ya wote ipo mbali palipo na yale ya kuchanganya yanayovunja umoja,ikiwa kwa upande mmoja kueleweka hivi na baada ya muda kueleweka vile,baadaye ukaseme ulikuwa hauelewi ni kwa sababu ya muda,imekuja kubwa ukataka ndogo na ndogo umeishindwa,maana unapofikiri kukataa basi umeweza kukubari katika lilelinalokubarika,

yakaja machache yakawa mengi,yakaja mengi na kuonekana machache,yote yakitumia muda ambao unaeleweka tofauti,wenyewe huja kwa namna ile ya kusemeka,
upita kwa namna ile ya kuhadithika,kwani yaweza kupita mbali na kuwa historia,
yaani ni kipindi kirefu sana

Umoja wangu ni katika kuyaunganisha mawazo yangu,ni katika kuunganisha mawazo yangu yanayoitembeza akili yangu,haki kwa aadui kuwaza kuua ikiwa upendo kwa adui mfu,maana hata lile la kuua si lamaana kwake,labda tuone kwa umoja,pengine labda tunakataa kuona kwa umoja,pengine ndiyo maana ya ufilisi wa mali zetu,ikiwa po na utofauti chuki huwa karibu

umoja hujaa mahala pamoja na kushindwa kubebeka,hiyo ikiwa nguvu zimezidi pamoja,kwa upande fulani hatutazungumza ya kufundishwa ili wengine wasielewe,basi tuongee ya asili ili na sisi wenyewe tuendelee,tena hapo tutaelewa wote,pale ukimkuta mwalimu hajaelewa basi ahairishe somo,ubongo ni wa pamoja kwa kujua leo si kujifanya kulijulikana,

maana kila leo linatoka lake,hili litasema lina umoja wake,lile litazungumzia umoja,
lile litaleta umoja,malengo yatakuwapo,hapo hapo panapokuwa na maungano,sio mwingiliano kwani uweza wa umoja ni mapigano,na sio kama meza ilivyogeuzwa kwa kula chakula cha jana tukidhani cha leo hakijapikwa,wandugu wanaficha cha leo maana na kesho kitafika,kwa kufikiri ya leo pia,kumbe hata bila jana leo siyo siku nzuri,asante kwa chakula leo imeonekana,ni umoja usiojali siku,ni umoja unaojenga siku

Tusirudie tena tukashindwana kuelewana,hapa na maandishi kidogo kwani utakumbuka yale ya ndugu mtayaona,watu hawa,sisi yaani na wao pia,usifanye kwa vile zimewekwa alama,
ujue hata ni wapi pa kuweka alama,ukafikiri kwa madini,ukayaona ya leo maana hazina yetu ni ile ya jana,

basi hata ikawa zamani,tunasubiria kupata nguvu ili watupe mashamba,
tunasubiria kumaliza ili watupe makazi,tunasubiria kueleweka angalau tukaletana pamoja,
hapa sio ya mbu wala kipindupindu inzi,ni ukali usioleta madhara na hasara kwa mpigaji,hakuna kupigana kwani kuelezana utaratibu kwa pamoja.

By.Benson G.Makaya

MAMA



Bila wewe nisingekuwepo.
nguvu na imani imepitia kwako,umekuwa mshindi kwa  njia zako za ukuzaji,umeweza hakika nakupa saluti,maana jeshi uliloliunda si kama vile likafikirika,nguvu zimeongezeka kuona uwepo wako mama,sio tu leo ndiyo maana naendelea kupigana,mimi na nafsi yangu pamoja,nikiwa naimani kwa zuri la kujengwa hung’aa limalizwapo,maana ndiyo sijui utakuwa mwisho ama ni mwanzo wa kutembea,hapa sasa ntakuwanimesafiri muda mrefu sana,

machoni pangu umekuwa mbali hata sitaki kukusahau,
ni hapa bado nina hitaji la kukuona mama,unajua kwa nini hata sikuite mama,maana sidhani hata ingekuwa vile isingekuwa hivi,umenijaribisha kwa mengi sana,hiyo ikiwa ni njia ya kutaka nifanikiwe,sisemi mengi yakuwa nakuona haya inaweza kuja na baadae tusiitane wanafiki,maana watoto wengine wana tabia mbaya sana,hawawaheshimu hata wakubwa  zao.

Punguzo linazidi kukujaa,
ongezo linazidi nifika maana,hapa ndiyo ulijua tu,
hapa ndiyo ulijua kama nasikia joto ama vile nitakiwapo kuvaa sweta,hata kama sio baridi,umenikinga sana na mvua kwa kiti kunipisha,heshima ya upendo sio moja kwa chozi la kushoto kudondoka,mengi yanatokea karibu kushikiria mkia,hapo ukitaka nisidondoke,leo ije isikatazwe nawe kwa kujua ni mpya,maana nap engine ulielewa yako sana mama,kwani hata hali ya hewa ya mwili wangu kuifahamu,kujua marelia inaanza hii ikiaminika vilitoka katika nafsi,ndani lifikiriwapo jambo kama vile ilivyo kwa yako nafsi.

Tungetafuta wangepata ,tungetafuta ingewezekana,
tungetafuta nisingepata,maana kwa uwepo wa peke yako nasema asante mungu,maana amenijuza wewe sasa,mwelekeo na mwenendo akinionyesha kwa kisomo ni jitihada zangu,ingawe jitihada ziwe za nini,maana nasoma mwisho nisielewe kwa nini kutokujua kushona nguo uvaayo,maana zamani  hawakuvaa nguo hivyo,vile ilikuwa adamu na hawa.

Mengi yamepita ni magumu kuyapata kwa kusema,
ikiwa ni maumivu basi karibu tunafika vumilia mama,ni hapo tu karibu ya kuwa na uvumilivu,fahamu zangu zinaendana na mengine ya  umri wako,nifanye vile utakavyo,nami ntakusikiliza bado nakusikiliza mama,bado nahitaji kukusikia mama,bado nina hitaji la kukufikia mama,huko ni mbali kumbukumbu zinanijia,ntakuja karibuni ya moyoni yatakufikia,salamu kwako mama mpendwa,
Mwenyezi Mungu atajalia daima

By.Benson G.Makaya

Saturday, May 5, 2012

MATEMBEZI


tuwaze vile vinavyofanya kutembea na sio vile vinavyofanya kutembea kutembeza
sio kwa ubinadamu tutafikiri labda ni kwa kupanga maneno,
ikiwa kwa moja iliyokubwa ndiyo huwa mwongozo,
katika kuongoza hapa kuna mbinu tofauti pengine kwa walio na hitaji la kupigana vita ya kuwa si matusi zaidi ya kumfanya mtu kuelewa,
maana wewe ndiyo unakuwa mwalimu,au mpiganaji..
pengine mwalimu hajui zaidi ya mpiganaji
hapa tutafikiri maana,

pengine ni kurejesha viumbe duniani ikiwa tunasema tutazaliwa mara ya pili maana ingalikuwa ni zamu ya mtu wa mwaka mwingine basi tungekuwa tunachelewa sana,
ikifahamika kwa wengine mwisho wa dunia ulishatakiwa kufika,
hapa kuamini,
ikiwa lengo ni kutaka kweli kutembeza,
pengine tusijari mwendo zaidi ya kufika,
maana kama itaeleweka safari ulianza zamani basi kuna uwalakini wa kuitwa na mwenfo pole,
maana tukijaribu kupunguza kasi ya maneno hapo tutakuwa tunapunguza uwingi,bora yakawe maneno yote na huo upole pia,
simba haelekezwi na swala kumkamata twiga,
bali ukaribu wa simba na swala ni zaidi ya vile wa twiga,
maana twiga yaweza kuwa ni mtamu au basi yu mrembo na urefu wake na ikawe nyama ya baadaye,
wale twiga wafupi ndiyo wale warefu wa wenzao.

tutatengeneza vingi na tukajua ni vile vile,
wazee wa zamani wanafikra ya kuwa na uzoefu wa maisha
kijana wa sasa anatakiwa awe na fikra ili kuweza kupingana na shindo za maisha,
hapa fikra ipi sasa huwa ya kijana na mzee,
na hapa ndiyo maana na kuweza kifikiri,
yaani isingelikuwa hivi basi siyo maana ya kuwa vile maana sio lazima,,
pale mtu atakuwa na fikra,
pengine imani,
ieleweke sio dini,
kwani hata tukaulizwa dini ni nini tutasema ni imani bila ya kuifahamu imani yenyewe,
pengine sisi hizo sio dini zetu,
ni imani zetu...
pengine sisi ni imani zetu na wengine sio dini zao,..

hapa ni kuwa mahala kote maana unaweza kutokuelewa bila kufikiri,
yaani hamsini hamsini,bila ya kumalizia na mia
maana hilo ni jibu baada ya kutembea
yule anayetumia imani kufikiri ni baada ya ubongo,
maana ubongo ni kuwasilisha..
basi tukafikiri kutengeneza roboti bila ya kujua tutawaundia nini,
maana hata tusiwaze kutembeza,,
si watakuwa kidogo kidogo..
watatubeba wale..

imefika wakati tunataka kutembeza vile visivyotembezeka,
maana kama utamtembeza mtoto mchanga ni sawa na kutembeza roboti la umeme kwa nguvu,
hapo nguvu imesema.
tena kama ni umeme unatembeza si nyepesi kwa mwanadamu kutembeza,
maana si tungetembeza!!
hapa tusimfikirie mungu sana labda kila mtu awe na fikra zake,
hii itasaidia sana katika kutembeza maisha,,
pengine maisha hatujayafikiria sisi tu,
walivyoanza wazee sidhani kama tuliwauliza japo hata kuwasikia wakisema,
kama walikuwa wakimya jaribu kujiuliza maana ndiyo kukua na maswali,
ili kuweza mtihani inakuwa vyema kwa kujiandaaa,
tutajiandaaje bila maswali?

kweli yapasa tujipe maswali,
tena mengine tuwasaidie na wengine,
pale tu tunalipolizika na maksi zetu
ikiwa na mshindo basi tutembee tuyaone kwani macho hayasemi mma..

By:Benson G.Makaya

HALISIA.


Zote ni namna za kuweza kuwa halisi nikimaanisha unaweza kuwa katika namna nyingi,kuwa halisi ni kuwa wewe,ni kuwepo na vile vinavyotakiwa,
ninaposema halisi simaanishi ilivyo kama neno lenyewe,halisi katika mazungumzo huleta picha nzuri,maana wengi watataka kujua hapo,hapo ni  nini maana yake halisi,
tena bila kusahau  kwa kuwa unajiona upo juu ama chini,usijisahau kwa namna yoyote uliyonayo,
maana hapo unataka uhalisia,ikiwa ni chakula kina mapishi,na wala si matamshi kwa yule msemaji.

katika namna iliyo moja ni lazima kuufahamu uhalisia maana unaweza kunenepa kwa vitambi na kujisifia kuwa umeweza,tena utakuwa umeweza kweli kama uhalisia ilikuwa ni kutafuta hilo,
labda unene halisi ni mzuri,pengine haina haja ya mazoezi kwani sio halisi,
yenyewe huleta namna nyingine yenye uhalisia wake,

Kwa jicho dogo kuona sio kuona kidogo,kwa macho makubwa kuona sio kuona kikubwa,akionacho mtu ni kile anachokifanya,uhalisia haulazimishwi ,
siwezi kuwa mtumwa halisi,naweza kuwa mfanyabiashara halisi,
siwezi kuwa mfanyakazi halisi,hapa sijui uhalisia wetu uko wapi,
maana wangu ndiyo ninaoufanya.pengine katika nafsi toa uhalisia wako na itakusaidia maishani mwako.

Katika maisha  kuwa halisi ni kuishi kiuhalisia pengine halisi inatafutwa,halisi katika namna yoyote inavyoweza kuwa kwa mmoja kutokupenda siyo halisi ya mwingine,maana bila kuwepo usingepata picha,ikipatikana ya tatu basi ya kwanza ilikuwepo,ndiyo idadi zikaja ili kuleta namba halisi,
ikiwapo moja yenyewe yapasa kuitafuta na mbili,
maana inahitajika uhalisia katika kuhesabu pale tu unapothubutu kuutaka uhalisia wako

muda ungekuwa hauendi nigebaki kuwa vile,kubaki. maana nimetoka pale nyuma ama mbele kuelekea katika namna nyingine ambayo nyingine hiyo ndiyo inatenganisha na kuleta uhalisia,
ikiwa lengo liwe  ndiyo ama sio kuutafuta,hata ikawe lakini lengo ni la mtu,
Siwezi kuwa na lengo moja na kufanya kimoja,
hapa ikiwa mmoja yupo na mwingine,

Pale awepo mwingine ni kwa sababu unataka kujua namna ya uhalisia wa kwanza,
tena ukauona maana pengine ni ule wa nyuma,kama ilivyo halisi ya umoja na utofauti wa hasi yake,
kuwa hasi sio chanya hiyo ni halisi,kumbe hata halisi sio nzuri kwa wakati mpya,
kujua jambo si mwisho ukitafuta wanaojua lazima walikuwa hawajui,
na huo ndiyo ulikuwa uhalisia wao,pengine unapofanya na kuona hayaishi ujue ndiyo halisi yenyewe,
kama ulizoea kuvaa rubega sasa ni nguo za pamba na mengineyo ya halisi yake
pengine uhalisia unakuja kwa yale ya asili,
kama mwanzo vile,

yapi mema mpaka mtu ukatamani kurudi na kuwa mtoto?
hapa unatamani asili,maana ulivyokuwa na asili haukuufahamu uhalisia,
kumbe uhalisia unatembea tofauti na asili

Benson G.Makaya

SAHIHI...


Sahihi ni namna,sahihi ni kitu,sahihi ni uwezo,sahihi ni hali,sahihi ni neno linaloleta maana.
yaweza kuwa maana ipo lakini ikawa sio sahihi,ili isiwe sio sahihi yapasa kusahihishika,
ingawa na yenyewe ni maana,wanaosahihishika sio wakosaji,
ni wale wanaotaka kusahihisha,pengine wanafanya sahihi,au wameona sahihi au hata wao wakawa sahihi.

Tunapozituliza nafsi,ikiwa na kichwa kwa ujumla ni lazima kuwa sahihi,
 katika yale yaliyosemeka mwanzo,ikiwa kama ni kitu basi kieleweke kuwa sahihi,
maana ubovu nao unakuwepo na usahihi wake,ikiwa mmoja akafikiri sahihi zaidi ya mwingine kwa upande ulio wake,sahihi huja katika matokeo ya maswali ya kuwa  maswali huwa sahihi,
pengine tukikaa kimya tunakuwa tunafikiria lakini sio sahihi zaidi ya swali linapokuja kama unafikiria nini,
 pengine tuingie ndani zaidi,ikiwa tumetaka kuujua usahihi.

Siyo usahihi wa makosa wakati bado hatujafa,maana mengine bado hayajatendeka,
 kama mtu kalenga kukosea ni si vile afikiriavyo aliyepatia,
maana kama kuinama ni sahihi basi watu wengi wasingesimama,
tena tungebaki na haja zetu bila ya kuonekana ni sahihi endapo tukataka kusimama,
hapa tufanye sahihi ilivyo katika umbo na hali ndiyo usahihi wenyewe.

Usahihi sio kama swali limekuja mwanzo,kumbe bora sahihi kuliko swali,
maana kama kuna kujibu kwa wakati huu ni lazima kufikiri kuhusu usahihi,usahihi ni baada ya mtihani,
mtihani ni maswali au swali linaloweza kukupa usahihi,maswali yapo mengi sana,yote ni sahihi kwani yana majibu yake.

Katika kufikiri lile moja mengine mengi huja ndani yake,pale ndipo usahihi unapopotea,
tena siyo kupotea zaidi ni kujificha,maana kile kinachogombaniwa na wengi ndilo swali hilo,
hapo ikiwa kila mtu anataka kuweka ama kuleta usahihi wake,
yaani majibu..na baada ya majibu ndiyo huja usahihi.sahihi ya mwanzo ndiyo halisi ya mwisho na ndiyo maana kukawa na mwalimu,yeye akajua,akafikiria,akaweka..

Pengine na akadanganye kabisa lakini kwa mwanafunzi hilo ndilo jibu sahihi.Tuyaache maswali sahihi yaje maana majibu yapo mengi sana,tena tutayajibu kutokana na vile mavazi yetu sahihi yalivyo,
hili ni kama swali maana usahihi unategemewa na wewe.

Friday, May 4, 2012

PROGRAMER...


Its us to think as to make the walk and not make the walk moving
not for humanity we think maybe it is to arrange the words, if one how huge it is often  manual, in the lead here...a place to mean, there are different approach perhaps for those who need to fight wars that are not insulting than to make someone understand, because you are you,a teacher, here we think about the meaning, its probably to restore aquatic world if we say we are born  again because it had been a division of one for the period,then we were too late,to be known to others,end of the world were accused and arrived here to believe, if the goal is to actually moving, perhaps we should care about  our motion,more to come, because if it will be understood trip started before then theres optimist,that calling and slowly going, because we tried to slow the words that we will reduced quantity, better to be, all the words and the gentle one,emphasizly too, the lion does not tought an issue to arrest giraffe, but the proximity of lions and the issue is over as the giraffe, because giraffes can be warm or it is beautiful and its length and meat to be later, the giraffe is the taller of shorter counterparts.

One only can make the most and we know it as such as, the present elders are thought to have an experience in life of nowboys that has to be thought to contradict and being the noise of life, I thought what becomes of the young and old, and here's why and to think, that It would not be right then is not meant to be such because it is not necessary, when one would have thought, perhaps faith, rather than religion, because even we asked about religion is what we say it is faith without knowing the faith itself, perhaps we are not in the religion of ours , our faith ... maybe its just  our faith with others, not their religion, .. here is a place around because you can understand without thinking, she/he who used to think faith is the brainman, because the brain is present ..and when it the brain tired a man cant do things custodically,then there the mind, then we thought to make bots without knowing what we made up for moving to give the impression that we, not they have a little bit ..

 
It has come when we want moving as unmovable,because if you walk infant is equivalent to moving robot with electric power...without that power, again as an electrician you scroll not easy for a man moving, it is not our walks, here we should think very painful as maybe every man have his/her ideas, this will assist in moving life, maybe life we ​​consider
we are, they began the elders do not think if we asked, though even hear them saying, as they were silent trying to ask for the growth and questions, in order to test it is advisable to know if you were prepared,for what and if not
we prepare without questions? really should give answers our self , then others to  help others, where we satisfy with our grades.

By:Benson G.Makaya

 


Makaya's Forum: ELEWA 2

Makaya's Forum: ELEWA 2 :   Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...