Sunday, May 20, 2012

YA MDOMONI.

maana leo imekuja wakati hakuna wa kusema ndiyo Yule atakaye kataa na mwenyewe utamfikishia hapana yake tunashindwa kula kwa yale magumu yakuyasema tunalala juani tunaamkia juani,

tukitaka yapi maana yale ya mdomoni ukiyachelewesha sana baadaye ni ugomvi,watakuja wenye njaa na baadaye tuwaite wakoloifi,wanyang’anyi,wakija na kula karibuni kwa mgeni ni njema sana kwa karibu ya shukrani pia,maana kheri inatoka nje kuja ndani,

kama ungalikuwa ugali wa konde ni mchafu basi ingekuwa vyema kama nasi tungepita kwa ujazo wa mafuta vipimo vingine ni vidogo sana,haki mafuta kutokuweka kabisa.maana miili yetu,viungo vyetu vimeamua kujishughulisha kwa usaidizi wa damu nasi tunaseme asante Mungu,

Leo yalikuwa hauyaoni haya kesho utasema hauyaoni haya,yapi yale ya muda mrefu yakakumbukwa maana kwa muda unavyokwenda,kwa matendo yanavyokwenda,na hata nguvu zikaribu kuisha uwezo ndiyo wasemeka kujulisha vyote vikiwa vigumu na virahisi

pale ulipolizungumzia jambo fulani tumai ilieleweka,maana kwa muda huu uliwaweka wengine wakae pembeni ikiwa kwa wafogo na wakubwa 

pale palipokuwa na mafungu basi kuna elekezi tofauti yapasa kufahamika isiwe tofauti na kinyume na taratibu kujichagulia,ikiwa taratibu ni sisi wenyewe tunajipa ikiwa ni namna ya kuishi pengine kutaka kuishi kama nani pengine ikawe nani ndiyo imani maana yapasa kuishika sana,

ukajue wewe kama unakufa kwa nini,ukajue kama utaharibika au Mungu tusamehe pengine tumetupa chakula cha mdomoni tukidhani ni uchafu kumbe ni ya kutoka kwetu mwilini haki,

By:Benson G.Makaya

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...