Saturday, February 25, 2012
Makaya's Forum: CAREFULLY.
Makaya's Forum: CAREFULLY.: Let's look and see is we used in the diversity of how including the machine or machines are used as if our models? By meaning we ar...
CAREFULLY.
Let's look and see is we used in the diversity of how including the machine or machines are used as if our models?
By meaning we are the machine itself as
made from our models also.
Better
this case because there was no need to adjust what is not reality,
Seriously must awake that we have become
lazy, we want to work and we know there are what we follow occupational,
It does not need to force the teachers while the students themselves do not understand,
We
say to instruct students will interfere with the responsibilities of teachers,
And
may be an abomination for all that time school student, why we learn?
Or
we know we do not like what we do, because our behavior is taught to be done,
If
the see or hear all that we must be careful with it,
Because what goes no matter the direction
comes around here we are,
We get confusion by not being careful,
being careful monitoring of our stuff,
We do that we sent each time,
As the coming period we tired forwarded
deployed as a machine,
If
we were taken to then there are those that have sent us to bring,
and they may decide to take us over when
we get tired,
Will not be a slave,
Not
be suffering,
Is similar to something not know,
Maybe in a way it's going to happen so it
will mean that will be,
Perhaps caution us consider and decide
that we need to recognize.
The person who taught without knowledge of its environment has difficulties to be called teacher, as its not must
The person who taught without knowledge of its environment has difficulties to be called teacher, as its not must
.
but
that there is a lack of thinking better to be survival for prevalent when we
decide that you can not then we refuse to steal,
And when we come to arrests understand we
were like the wheels of the vehicle,
If there is a corner we were interrupted
only therefore not strange in the way he/she will understand,
Few of us know how we can ascertain,
Direction of master class determines what
they are telling the teacher,
The way is often seen due to the weather,
Though
we see the logic,
But
we found us going somewhere we do not know,
All
this and still we see, perhaps these needed repairs every time with people they
know, for us poor,
We cry all the time, not that we are not
careful,
Because
the other is not the doctor.
We are not children when we cry; we give
pain we have when we think we left until we came,
Like a man when he makes labor and sweat
so it is suffering the heart where supposed to be right.
If they build, power not finish what they had the down payment,
If they build, power not finish what they had the down payment,
Including allows us not allow the first
admonition to examine themselves students,
So that we can turn the map the man who
carefully errs them,
Though,
The
more we continue with our attention to what the front will look alike and back
also.
Carefully indicated as changed from top to
under the other is easy to collapse itself, remember what salvation is,
And if we have been saved yesterday does
not need to repeat for the rest
As they need also other to save themselves
because we have given everything,
And
He does not have to see it do anything and he will understand this,
Because
again if those who do not have given the ultimate opportunity in wining,
If limited and
focused thought is that you can be our strength.
Ooh GOD!!
By: Benson G.Makaya.
Tel: +255714 33 66 57
By: Benson G.Makaya.
Tel: +255714 33 66 57
Email:bensonsmakaya@gmail.com
Makaya's Forum: LINALOKATAZWA LINAHITAJI KUENDELEA
Makaya's Forum: LINALOKATAZWA LINAHITAJI KUENDELEA: Yote yaliyopo yapo katika muda,ikiwa muda unapita ...
Friday, February 24, 2012
LINALOKATAZWA LINAHITAJI KUENDELEA
Yote yaliyopo yapo katika muda,ikiwa muda unapita na mateso ama starehe vinakuzidi,kwa wale wasio teseka labda watuambie raha zao maana wasipojua na
kwa wengine nayo hayo ni mateso,kwa lolote lenye muda uliopitwa lina haki ya
kukumbukwa,kwani kwa kile akitendacho mtu wakati wowote na mahala popote ni
dhamana yake katika maisha yake hakuna kile kibaya kama kile kilicho
kizuri kwa zawadi yake kuwa yale mema mitaani hali imeharibika ikiwa watu
wanaona ni kheri kupumzika kuliko kupigika,waliopigika haina haja ya kuhadithia
kwani kila mtu anapigika katika namna atakavyoweza kupiga,muda unapopita
kinachopotea sio muda bali ni mambo yale ambayo yanapaswa kufanyika katika ule
muda.
Utakaa na vipaji chako ukisema unaweza au ukaona umefanya ukajisifia umeweza hapo utakuwa umeweza kweli kwani haina haja ya
kumtizamia mwenzako wakati wewe ndiyo kwanza u mwanzo,taabu ije pale mtu
anapoambiwa hajaweza na ujue imejulikanaje,maana uliambiana haina haja ya
kumtazamia mwenza ugomvi kwa muda Fulani ni vyema kwani ni njia ya kuleta
amani,amani ni imani.,asikukataze mtu kupenda ufanyacho hapa ikiwa unafanya
chochote na una mlengo nacho,akatazaye aonyeshe lililo bora ilivyo zaidi
linalokatazwa maana watanzania tumezaliwa na kwanini sio mimi huku tukisahau
yale ya kwanini mimi,maana yao ya kujutia yanakuja baada ya kutenda ikawa umejifikiria na kukuta ni mabovu katika jamii tena kwa ugunduzi ikiwa ulishindwa kukatazwa,kumbe ile kwa nini mimi ni kujifunza zaidi ya kwa nini
sio mimi,ningelikuwa mkubwa ningeliwakataza wale wa kwanini sio mimi.
Dunia hii ni ya kufurahisha sana,maana yale yanayokuwa
matamu ndiyo yamewekewa sheria,tena isiwezekane kufanyika sio ya kwamba hakuna
uwezo bali isifanyike,yaweza kuwa ni sawa na mwana akatazwapo kuchezea wembe na
mzaziwe,kwani ungeliingia katika fikra za mwana naye ukamsikia akisema
anataka akate kucha hapo ungempa wembe
mpya,asije kujikata na ule wametumia watu wengi,apate ulio na makali na
aone mapendezo ya ncha za kucha pindi akatapo,kumbe ikaja naye akataka kuona
utamu kwa japo kujaribu kwa kipande cha wembe kilichotumika,alikatazwa
bila hata ya sababu akaona kumkalipia mwana pasipo na sababu ya maelezo ni kumfanya aendelee
Kipindi Fulani imesikika kwa mzazi kutembea na wana,hapa ni
kwamba hata mzazi na yeye hakujua alipoambia huyu ni mama yako au ni baba
yako,maana inapaswa hata aibu sasa isipo kuwa wote katika nafsi hawafahamu kitu
heshima,wanaokataza ni wakubwa tena wanaokatazwa ni wadogo,wakubwa ndiyo
wanaweza kuwa wazazi wa wadogo,ikitokea wadogo ndiyo wamekuwa wazazi wa wakubwa
hapa inabidi tutunge sheria kari sana,tena isiwe kuna kuzaliana tena maana
tutakuwa ni mbwa,hivyo ndivyo wasemavyo wale wanaokataza wakiweka miiba ili
hata mbuzi hao wakipita wapate kujichoma,endapo utakuwa kama mbwa walio na
njaa ya kula kweli utajichoma sana na kuumia huku usifahamu dawa za maumivu
ndiyo zilihitaji kufanya maendeleo,kwani ikiwa utapona na dawa hizo si utarudi
kula majani yale tena?Njaa ya mmoja haimfikirii mwingine,ni namna ya kutaka
kuendelea kuishi katika namna unazozipenda,na hapa haifai kuzikataza wacha
ziume tu ili zisije zikaendelea.
By: Benson G Makaya,
Tuesday, February 21, 2012
Makaya's Forum: FIKRA.
Makaya's Forum: FIKRA.: Kufikiri ni kuwa na hitaji la kurekebisha jambo,kunatokana na mawazo,kwa hiyo fikra zinaweza kuwa ni mawazo,kufikiri ni kitendo,kure...
Sunday, February 19, 2012
Makaya's Forum: MAKINI.
Makaya's Forum: MAKINI.: Tuangalie,tuone ni tunatumika katika utofauti wa namna gani ikiwa pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama ni mifano yetu,zik...
MAKINI.
NIangalie,Nione ni natumika katika utofauti wa namna gani ikiwa
pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama ni mifano yangu,zikimaanisha mimi ndiyo
mashine na zenyewe zimetengenezwa kwa mifano yangu pia.bora hivi ilivyo maana ikawa
haina haja ya kuzoea kile kilicho halisia,kwa umakini ni lazima ujitambue ya
kuwa nisiwe mvivu,nataka kazi na nisijue huko makazini kuna nini nachokifuata,Haina haja ya kuwalazimisha walimu na wakati wanafunzi wenyewe
hawaelewi,nikisema waelekezwe wanafunzi nitaingilia majukumu ya walimu,tena
inaweza kuwa chukizo kwani muda wote huo shuleni wanafunzi wanajifunza nini?au unavyovijua hujui kama ndivyo unavyovifanya,maana tabia yao ni kufundishwa
ili iweze kufanyika,ikiwa kwa kuona ama kusikiliza yote ni lazima niwe na
umakini nayo,kwani yale yanayopita yananipitia hapa nilipo,utachaanganyikiwa
kwa kutokuwa makini,kwa kutokuwa mwangalifu na ufuatiliaji wa mambo yako usifanye
kuwa unapelekwa kila mara,kwani itafika kipindi utachoka kupelekwa pelekwa kama
mashine,ikiwa ulikuwa unapelekwa basi wapo waliokuwa wana upeleka peleka,na
wao wanaweza wakaamua kukupeleka kipindi pale umechoka,hautakuwa
utumwa,hayatakuwa mateso,ni sawa na jambo usilolijua,labda kwa namna itakavyo
tokea ndivyo italeta maana itakayo kuwepo,labda kwa tahadhari ufikiri na uamue kwamba unahitaji kujitambua.
Yule anayefundisha bila kuyajua mazingira yake ana uwalakini wa
kuitwa mwalimu,lakini ya kuwa kuna uhaba wa kufikiri bora ikawe kujikimu,maana
imefikia wakati utaamua kuwa mwizi alafu ukakataza kuiba, ,na ukija kukamatwa uelewe ulikuwa kama magurudumu ya gari,ikiwa kuna kona ulikatishwa tu,kwa
hiyo siyo mageni sana katika kutokuyaelewa,wachache wanaelewa kwa jinsi tunavyoelewa,anapotangulia mwalimu
darasa hupanga yale waliyoambiwa na mwalimu,njia mara nyingi huonekana kutokana
na hali ya hewa,ingawa unaona kwa umakini lakini unajikuta ukielekea mahala usipopafahamu,na hii yote ikiwa bado unaona labda njia hizi zinahitajika
kufanyiwa ukarabati kila muda na watu wakajua,maana tulio maskini tunalia muda
wote,na sio kwamba hatupo makini,kwani mengine sio ya daktari.unapolia sio ni
watoto,unatoa machungu uliyonayo ukifikiria ulipotoka mpaka ulipofika,kama
mtu afanyapo kazi kwa nguvu na kutoa jasho ndivyo ilivyo kwa mateso ya moyo
inapokupasa kulia.
Kama walivyojijengea,nguvu usimalize kwa yale waliyokuwekea,ikiwamo
inaruhusu usiiruhusu kwanza,wajichunguze wenyewe wanafunzi,hata ukageuza
ramani Yule aliyemakini hapotei kwao,ingawaje, zaidi uendelee na umakini wako ili yale ya mbele yakafanane na ya nyuma pia.Umakini unahitajika kwani
yaliyobadilishwa kutoka juu kuja chini mengine ni mepesi yakaweza kudondoka
yenyewe ,ukumbuke wokovu upo,na kama uliokolewa jana haina haja ya kurudia
kwani wengine wanahitaji pia,vingine ujiokoe mwenyewe maana umepewa kila
kitu,na Yule asiye nacho kwa kuona hivyo afanye lolote na ataelewa maana, ,maana
tena ikiwa wale ambao hawawezi wamepewa nafasi za mwisho kabisa katika
kufauru,ikiwa umakini mdogo pamoja na fikra
ndiyo huo unaweza kuwa uwezo wetu.
By: Benson G.Makaya.
Email:bensonsmakaya@gmail.com
Subscribe to:
Posts (Atom)
Makaya's Forum: ELEWA 2
Makaya's Forum: ELEWA 2 : Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...
POPURAL POSTS
-
Unapokwenda ni sawa,kwa kuwa kila siku kadri ya zinavyokwenda mwanadamu anaishi katika ile hali ya kutokusema kwamba!! na sio haielewe...
-
Hata usipozungumzia utaifa lakini kiwango cha maisha ya mtanzania ni kidogo sana,hapa nikiwa nazungumza na watanzania wale walio na nd...
-
Watakwambia unabahati kwakile ulichokifanya kilichokufanya uwepo hapo,kujipa ufalme na kuzungumzia maisha ya mwengine kwa kuwa umefika mahal...
-
WALTER CHILAMBO SPEECHWISE.. NI mshiriki wa EPIC BONGO STAR SEARCH ANAYETOKEA MBEYA,HIVI SASA AKIWA KATIKA FAINALI HIYO ITAKAYO FANYIKA DI...
-
Kuna muda yapasa kujifanya kutokujua kwa kusahau pengine ikiwa ni makusudi ama vile ikawe ni mpango wako mwenyewe,kama ungejulishwa lile...
-
Kufika sio kuwahi yaweza kuwa kuwapo ama kutangulia,na yale yanayotokea sio lazima kupanga kwani mara nyingi tunasema hatupangi sisi za...
-
Yafanye mapito yako kuwa nguvu inayokusukuma kwenda mbele ukitegemea kuishi ndoto zako na sio kile unachokiogopa na kuhofia,wengi hawafanyi...
-
Kufikiri ni kuwa na hitaji la kurekebisha jambo,kunatokana na mawazo,kwa hiyo fikra zinaweza kuwa ni mawazo,kufikiri ni kitendo,kure...
-
Ni namna ya maisha yanavyokwenda,maana leo ikaja lakini siyo kesho,ukawa na hofu ya leo maana ile ya jana nusu imeishia leo.. kama i...
-
Unakasirikia maisha yako wengine wakiwa na furaha,ikiwa lengo si kutaka kuijua furaha ya mwengine bali kujua ni namna gani hasira zako zinak...