Saturday, February 25, 2012

Makaya's Forum: CAREFULLY.

Makaya's Forum: CAREFULLY.: Let's look and see is we used in the diversity of how including the machine or machines are used as if our models? By meaning we ar...

CAREFULLY.



Let's look and see is we used in the diversity of how including the machine or machines are used as if our models?
By meaning we are the machine itself as made from our models also.
 Better this case because there was no need to adjust what is not reality,
Seriously must awake that we have become lazy, we want to work and we know there are what we follow occupational,
 
It does not need to force the teachers while the students themselves do not understand,
 We say to instruct students will interfere with the responsibilities of teachers,
 And may be an abomination for all that time school student, why we learn?
 Or we know we do not like what we do, because our behavior is taught to be done,
 If the see or hear all that we must be careful with it,

Because what goes no matter the direction comes around here we are,
We get confusion by not being careful, being careful monitoring of our stuff,
We do that we sent each time,
As the coming period we tired forwarded deployed as a machine,
 If we were taken to then there are those that have sent us to bring,
and they may decide to take us over when we get tired,
Will not be a slave,
 Not be suffering,

Is similar to something not know,
Maybe in a way it's going to happen so it will mean that will be,
Perhaps caution us consider and decide that we need to recognize.
The person who taught without knowledge of its environment has difficulties to be called teacher, as its not must
.
 but that there is a lack of thinking better to be survival for prevalent when we decide that you can not then we refuse to steal,

And when we come to arrests understand we were like the wheels of the vehicle,
If there is a corner we were interrupted only therefore not strange in the way he/she will understand,
Few of us know how we can ascertain,

Direction of master class determines what they are telling the teacher,
The way is often seen due to the weather,
 Though we see the logic,
 But we found us going somewhere we do not know,

 All this and still we see, perhaps these needed repairs every time with people they know, for us poor,
We cry all the time, not that we are not careful,
 Because the other is not the doctor.

We are not children when we cry; we give pain we have when we think we left until we came,
Like a man when he makes labor and sweat so it is suffering the heart where supposed to be right.
If they build, power not finish what they had the down payment,
Including allows us not allow the first admonition to examine themselves students,
So that we can turn the map the man who carefully errs them, 

Though,

 The more we continue with our attention to what the front will look alike and back also.
Carefully indicated as changed from top to under the other is easy to collapse itself, remember what salvation is,

And if we have been saved yesterday does not need to repeat for the rest
As they need also other to save themselves because we have given everything,
 And He does not have to see it do anything and he will understand this,
 Because again if those who do not have given the ultimate opportunity in wining,

 If limited and focused thought is that you can be our strength.
Ooh GOD!!

By: Benson G.Makaya.
Tel: +255714 33 66 57
Email:bensonsmakaya@gmail.com

Makaya's Forum: LINALOKATAZWA LINAHITAJI KUENDELEA

Makaya's Forum: LINALOKATAZWA LINAHITAJI KUENDELEA: Yote yaliyopo yapo katika muda,ikiwa muda unapita ...

Friday, February 24, 2012

LINALOKATAZWA LINAHITAJI KUENDELEA

                                                                                 
Yote yaliyopo yapo katika muda,ikiwa muda unapita na mateso ama starehe vinakuzidi,kwa wale wasio teseka labda watuambie raha zao maana wasipojua na kwa wengine nayo hayo ni mateso,kwa lolote lenye muda uliopitwa lina haki ya kukumbukwa,kwani kwa kile akitendacho mtu wakati wowote na mahala popote ni dhamana yake katika maisha yake hakuna kile kibaya kama kile kilicho kizuri kwa zawadi yake kuwa yale mema mitaani hali imeharibika ikiwa watu wanaona ni kheri kupumzika kuliko kupigika,waliopigika haina haja ya kuhadithia kwani kila mtu anapigika katika namna atakavyoweza kupiga,muda unapopita kinachopotea sio muda bali ni mambo yale ambayo yanapaswa kufanyika katika ule muda.

Utakaa na vipaji chako ukisema unaweza au ukaona umefanya ukajisifia umeweza hapo utakuwa umeweza kweli kwani haina haja ya kumtizamia mwenzako wakati wewe ndiyo kwanza u mwanzo,taabu ije pale mtu anapoambiwa hajaweza na ujue imejulikanaje,maana uliambiana haina haja ya kumtazamia mwenza ugomvi kwa muda Fulani ni vyema kwani ni njia ya kuleta amani,amani ni imani.,asikukataze mtu kupenda ufanyacho hapa ikiwa unafanya chochote na una mlengo nacho,akatazaye aonyeshe lililo bora ilivyo zaidi linalokatazwa maana watanzania tumezaliwa na kwanini sio mimi huku tukisahau yale ya kwanini mimi,maana yao ya kujutia yanakuja baada ya kutenda ikawa umejifikiria na kukuta ni mabovu katika jamii tena kwa ugunduzi ikiwa ulishindwa kukatazwa,kumbe ile kwa nini mimi ni kujifunza zaidi ya kwa nini sio mimi,ningelikuwa mkubwa ningeliwakataza wale wa kwanini sio mimi.

Dunia hii ni ya kufurahisha sana,maana yale yanayokuwa matamu ndiyo yamewekewa sheria,tena isiwezekane kufanyika sio ya kwamba hakuna uwezo bali isifanyike,yaweza kuwa ni sawa na mwana akatazwapo kuchezea wembe na mzaziwe,kwani ungeliingia katika fikra za mwana naye ukamsikia akisema anataka akate kucha hapo ungempa wembe mpya,asije kujikata na ule wametumia watu wengi,apate ulio na makali na aone mapendezo ya ncha za kucha pindi akatapo,kumbe ikaja naye akataka kuona utamu kwa japo kujaribu kwa kipande cha wembe kilichotumika,alikatazwa bila hata ya sababu akaona kumkalipia mwana pasipo na sababu ya maelezo ni kumfanya aendelee

Kipindi Fulani imesikika kwa mzazi kutembea na wana,hapa ni kwamba hata mzazi na yeye hakujua alipoambia huyu ni mama yako au ni baba yako,maana inapaswa hata aibu sasa isipo kuwa wote katika nafsi hawafahamu kitu heshima,wanaokataza ni wakubwa tena wanaokatazwa ni wadogo,wakubwa ndiyo wanaweza kuwa wazazi wa wadogo,ikitokea wadogo ndiyo wamekuwa wazazi wa wakubwa hapa inabidi tutunge sheria kari sana,tena isiwe kuna kuzaliana tena maana tutakuwa ni mbwa,hivyo ndivyo wasemavyo wale wanaokataza wakiweka miiba ili hata mbuzi hao wakipita wapate kujichoma,endapo utakuwa kama mbwa walio na njaa ya kula kweli utajichoma sana na kuumia huku usifahamu dawa za maumivu ndiyo zilihitaji kufanya maendeleo,kwani ikiwa utapona na dawa hizo si utarudi kula majani yale tena?Njaa ya mmoja haimfikirii mwingine,ni namna ya kutaka kuendelea kuishi katika namna unazozipenda,na hapa haifai kuzikataza wacha ziume tu ili zisije zikaendelea.

By: Benson G Makaya,

Tuesday, February 21, 2012

Makaya's Forum: FIKRA.

Makaya's Forum: FIKRA.: Kufikiri ni kuwa na hitaji la kurekebisha jambo,kunatokana na mawazo,kwa hiyo fikra zinaweza kuwa ni mawazo,kufikiri ni kitendo,kure...

Sunday, February 19, 2012

Makaya's Forum: MAKINI.

Makaya's Forum: MAKINI.: Tuangalie,tuone ni tunatumika katika utofauti wa namna gani ikiwa pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama ni mifano yetu,zik...

MAKINI.


NIangalie,Nione ni natumika katika utofauti wa namna gani ikiwa pamoja na mashine au mashine zinatumika ikiwa kama  ni mifano yangu,zikimaanisha mimi ndiyo mashine na zenyewe zimetengenezwa kwa mifano yangu pia.bora hivi ilivyo maana ikawa haina haja ya kuzoea kile kilicho halisia,kwa umakini ni lazima ujitambue ya kuwa nisiwe mvivu,nataka kazi na nisijue huko makazini kuna nini nachokifuata,Haina haja ya kuwalazimisha walimu na wakati wanafunzi wenyewe hawaelewi,nikisema waelekezwe wanafunzi nitaingilia majukumu ya walimu,tena inaweza kuwa chukizo kwani muda wote huo shuleni wanafunzi wanajifunza nini?au unavyovijua hujui kama ndivyo unavyovifanya,maana tabia yao ni kufundishwa ili iweze kufanyika,ikiwa kwa kuona ama kusikiliza yote ni lazima niwe na umakini nayo,kwani yale yanayopita yananipitia hapa nilipo,utachaanganyikiwa kwa kutokuwa makini,kwa kutokuwa mwangalifu na ufuatiliaji wa mambo yako usifanye kuwa unapelekwa kila mara,kwani itafika kipindi utachoka kupelekwa pelekwa kama mashine,ikiwa ulikuwa unapelekwa basi wapo waliokuwa wana upeleka peleka,na wao wanaweza wakaamua kukupeleka kipindi pale umechoka,hautakuwa utumwa,hayatakuwa mateso,ni sawa na jambo usilolijua,labda kwa namna itakavyo tokea ndivyo italeta maana itakayo kuwepo,labda kwa tahadhari ufikiri na uamue kwamba unahitaji kujitambua.

Yule anayefundisha bila kuyajua mazingira yake ana uwalakini wa kuitwa mwalimu,lakini ya kuwa kuna uhaba wa kufikiri bora ikawe kujikimu,maana imefikia wakati utaamua kuwa mwizi alafu ukakataza kuiba, ,na ukija kukamatwa uelewe ulikuwa kama magurudumu ya gari,ikiwa kuna kona ulikatishwa tu,kwa hiyo siyo mageni sana katika kutokuyaelewa,wachache wanaelewa  kwa jinsi tunavyoelewa,anapotangulia mwalimu darasa hupanga yale waliyoambiwa na mwalimu,njia mara nyingi huonekana kutokana na hali ya hewa,ingawa unaona kwa umakini lakini unajikuta ukielekea mahala usipopafahamu,na hii yote ikiwa bado unaona labda njia hizi zinahitajika kufanyiwa ukarabati kila muda na watu wakajua,maana tulio maskini tunalia muda wote,na sio kwamba hatupo makini,kwani mengine sio ya daktari.unapolia sio ni watoto,unatoa machungu uliyonayo ukifikiria ulipotoka mpaka ulipofika,kama mtu afanyapo kazi kwa nguvu na kutoa jasho ndivyo ilivyo kwa mateso ya moyo inapokupasa kulia.
Kama walivyojijengea,nguvu usimalize kwa yale waliyokuwekea,ikiwamo inaruhusu usiiruhusu kwanza,wajichunguze wenyewe wanafunzi,hata ukageuza ramani Yule aliyemakini hapotei kwao,ingawaje, zaidi uendelee na umakini wako ili yale ya mbele yakafanane na ya nyuma pia.Umakini unahitajika kwani yaliyobadilishwa kutoka juu kuja chini mengine ni mepesi yakaweza kudondoka yenyewe ,ukumbuke wokovu upo,na kama uliokolewa jana haina haja ya kurudia kwani wengine wanahitaji pia,vingine ujiokoe mwenyewe maana umepewa kila kitu,na Yule asiye nacho kwa kuona hivyo afanye lolote na ataelewa maana, ,maana tena ikiwa wale ambao hawawezi wamepewa nafasi za mwisho kabisa katika kufauru,ikiwa umakini mdogo pamoja na fikra  ndiyo huo unaweza kuwa uwezo wetu.

By:         Benson G.Makaya.
Email:bensonsmakaya@gmail.com

Makaya's Forum: ELEWA 2

Makaya's Forum: ELEWA 2 :   Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye n...

POPURAL POSTS