Tuesday, May 29, 2012

AKILI YAKO


Pengine unatenda tofauti,pengine hautumii akili Yako wenyewe,pengine unatumwa bila kufikiri,akili sio kufikiri tu,akili sio uwezo akili sio namna ya mmoja akaelewa ya mwengine akili ni namna ya wewe ulivyo,kinachojulisha matendo yako,fikra zako na kile hasa kinachoonekana kwako maana unaweza usitende na ikaona ni akili yako,labda wametenda wengine,labda ilibidi ufanye wewe,lakini bado ikaonekana sio wewe yaani hata kama imefanyika basi uwezo ukawa ni mdogo au umekimbilia upande mwingine maana unautafuta sasa na bila kuonekana,yale yaliyoonekana yamekuwa machache,hayajaweza kutimiza maana,ikiwa inayotakiwa si ile tu wanayoitaka wengine,ni ile ukasema wewe sasa,katika kushangilia tunajumuisha akili,hapa nazungumza  na watendaji

Pengine utende wema na kwenda zako,pengine utende mazuri na kwenda zako,hakuna kuomba yasiyo na uzuri kwani mabaya yapo mengi,tutarudi nyuma kuelezana uzuri lakini ile kweli ya akili ipo ndani ya wewe,yaani mtu ndiyo maana ya kupewa uwezo.akili humfanya mtu,akiwa na umbile si vitisho kwa wenye akili maana wao hutenda yao,ni kama pale katika kusoma,ni kama pale katika kuelewa,wachache wakapewa uwezo wa kusoma,wachache wakapewa uwezo wa kufikiri,wachache wakafanye maana wao walikuwa hawajui namna,tena kwa hapa sio ya kwamba ilitokea,bali ni kwa akili zinazokuwa thabiti zinazoweza kufikirika,ni akili zako zinakutambulisha

Yaliyopo yote umeyakuta,yanayokuja yote ni akili,ni ya ufafanuzi hata wazazi wetu wakatutegemee kwa baadaye,maana kwa wengine wasio kuwa na kujua si kwamba hawana akili,hawafikirii zaidi ya kufikiri vile ilivyofikirika,hapa nikiiwa na lengo la mwanzo lakini sio kurudisha akili mwanzo,usikae chini kupoteza muda maana na akili zinakuwa,unashindwa kwa akili kupitiliza uwezo wake,ama uwezo wenyewe kupita mahala pale akili ilipofikiria,hapa huwa nachanganyikiwa,hapa huwa nakuwa na mambo mengi,pale akili inapolindwa na kuendeleza hufanya hivyo,maana imekuja kuwa kubwa kutokana na kujazwa,kama vile ilivyo kwa ujazo usio kuwa na chombo labda na kwa wenye akili za kiupande Fulani kuona katika namna Fulani hiyo hiyo,

Akili haimbadilishi mtu,akili haimwendeshi mtu,labda mtu anaendesha akili yake,tukisema matairi yanaendeshwa na gari hapo utautafuta mwanzo kwa vyema,maana isije kuwa yalipaswa kutembea pekeyake japo ukaongezeka,wamekufa ndugu wengi sana kwa ajali zisizokuwa na uendeshwa na akili,unaweza kupata ajali za kimaisha kiujumla,ukiumia kwa mateso ya viungo na mwili,ukiumizwa na maisha na dunia kiujumla,akili zako ndiyo mwongozo na kipimo kikuu cha imani,pale inapofika imani imekuwa si lazima akili kukua,yaweza kuwa akili imekuwa tofauti ilivyo na imani ya mtu mwenyewe,nikiwa sizungumzii imani basi husisha hata akili,maana hata akafika mwislamu asimwelewe mkristo ,ni akili yako tu


No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...