Tuesday, June 12, 2012

RAFIKI YANGU..

Muda si mwema bila ya kuoneana wema,
pengine ni aibu kubwa kusikia ilitokea kwa sababu ya vile maana baina ya wengi hawahitaji maendeleo,
ni hapa panapokuwa na utofauti,maana imefikirika hivyo
hapa panapoweza kutufanya kuoneana hali,maana hata tukaangalia wakati ni kweli haijulikani je walioweza wakoje?,ni wapi maana mara nyingi tukae,tuongee hata kama si vya leo,tusidanganyane hapo,
tusioneane wivu wala kutamaniana kitofauti hapo yatatendeka vita na la wawili kuona kana la mmoja,
maana kwa sasa ifike tuanze kuambiana namna ya mioyo inavyoenda maana kiasi chake tumejua hata mwanzo wake uko wapi,

Pengine ilianza taratibu na baadaye ikaja hii yote ikiwa inatokana na hali ya hewa,
hapa tutaweka usiku na mchana hata jua lingewaka kutwa nzima mwanzo wa maisha mpaka uzee lazima pangelikuwa na usiku maana wengi tumependa giza sana,tungeweka mahema japo hata tulale,
tufikirie mengine pengine sio ya kirafiki,
tutaumiazana mara nyignine hapa tukiwa tunafuata kwa kusahau na ya kwetu maana tunaposema tuelekee tujue tunaelekea wapi,pale mawazo yanakamilisha jambo kwa kuweza kuona na kutafakari,
maana pale yanapotakiwa yale yaliyoonyooka yapo tiyari machoni hivyo yapasa kuelekea moja kwa moja,

 
 
Tusiseme labda kukiwa na mabonde  tutafanyaje kwa kuziacha fimbo hizi yamakini tusifikiri maana ya pili,
maana walituambia ni moja kwa moja,tusijekuwa  sisi ni wa jinga kwa kutokuwauliza tunaweza kuhama lini duniani,maana tumetoka musoma ni safari hiyo ilikuwa ni safari ndefu sana,
ni kweli wewe ni rafiki bora maana ndiyo hata leo umeniokoa na wabaya nyoka,si juzi ulisema nakuja na ndipo nikagundua uwepo wako..umeniweza kwa yote na umekuwa na upendo na fani yangu,
Kwa kazi ya udereva niliyosomea ilikuwa ni kuangalia pale itakapo tokea,
maana inatembea sana,na pale tupange vikubwa basi basi gari lake litachukua muda sana kufika,si kuna vituo watu wanashuka?hapa tumai na imani ni kuweka kwa dhati,Pale unahisi kuanguka unasema kwani unaielewa?yule asiyeilewa ya mwenzake  ajaribu kuiangalia na yake,maana nafsi tuone kama si tofauti tena bila kusema asante sana rafiki,siku zangu zimekuwa na wewe,Umenipeleka vile nilikuhitaji nilivyokwambia asante,Tena kwa vile imani na mwili vimeelekea kwako

Asante siku..

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...