Thursday, July 5, 2012

ITAKAVYOKUWA.

Na kama ni ndani ya familia iwe ni mzazi ama mtoto ndiye anayemwambia mmoja wapo hapo ujue kuna namna,ile iliyokuwa kama vile katika namna,mtanisamehe sana ndugu zangu kwa kuwarudisha nyuma,maana huko mbele vyovyote itakavyokuwavyo sawa tu,sio kwa wazazi ama kwa watoto,vyovyote vile..

Mara nyingine usisema ni kauli gani wakati hautajua ni kwa sababu gani,maana hata ya kusema ni ile ya namna gani tu,uliporudi nyuma uliwakuta mababu zako wakikuambia,maana ulisikia,kwa yale yote yaliyo mabaya ni yale waliyoyasemea,walisema mengi ndiyo maana haina haja ya kuwaambia nyinyi,wale walio watoto maana muda si wake,unaposema itakavyokuwa si ni ile ile ni  iliyopo inayoendelea kufika mahala Fulani,hapo useme umepita muda mrefu sana sijalisikia swala lile.ndiyo itakavyokuwa hivyo

Ngoja ngoja itakavyokuwa ikaumiza matumbo,kama samaki mkunje angali mbichi akitaka kunyooka mwache kwani atainama kukiokota kilicho sharti,maana kipo chini,lazima kurudi mwanzo,maana kama utaendelea kunyooka utakiuka waliyosema,sio ya kijinga yale,yalikuwa ni kwa ajili yako,uchambue yaliyopo maana mengine yanaelekea kuoza,yasije kufanya na yale mabichi mengine kushindwa kukunjika.

ukisema kwani imekuwaje ndiyo ilivyokuwa,na mara nyingine haiwezi kuwa bila nyingine kuwako,kwa hiyo vile ilivyo ndiyo vile itakavyokuwa,uangalie muda tu,muda unaenda sana,siku hazijirudii ndiyo maana haiwi tena ,nyingine namna tu,na hata sijui kwanini zimekuwa haba kwa namna ilivyo,maana ingepasa kila mtu kuwa na siku yake,na kama ipo basi neno itakavyo kuwa lisingekuwepo,ungetamani siku yako ije tu,na utatamanije kila siku?itakavyokuwa ndiyo hivyo hivyo..maana wengine wameshaelewa ilivyokuwa.

No comments:

Makaya's Forum: ISHI NA YAKO

Makaya's Forum: ISHI NA YAKO : Watakwambia unabahati kwakile ulichokifanya kilichokufanya uwepo hapo,kujipa ufalme na kuzungumzia maisha...