Friday, October 5, 2012

UWEZA

Namatumaini mu wazima kwa taarifa nilizopata chache ukiwa unahitaji kupata kitu ni katika namna ikaonekana na siyo jadi,pengine ukiwa huwezi unaweza hujui kama unaweza kuweza au uliteleza na ukashindwa kueleza ikiwa kama ni dozi umeshindwa kuzimeza,mungu ibaliki Tanzania tunaweza,karibuni kwangu kwenye meza karibuni ndani wala siyo kuigiza karibuni bandani ikiwa siyo kulipiza,mafuriko yametoka mtoni baharini kuwamaliza,karibuni sana vijana kuanzia hapa mpaka angaza.
Duniani kuna mengi hakuna ya kushangaza,kichwani kuna mengi na pengine ukiwa kilaza ,leo ikiwa kesho narudia ili isiwe kujiuliza,leo isipokuwa kesho nitakaa nisijilaumu kutokumaliza,maana hata kwa kuchungulia imeonekana unaweza,ikiwa katika mechi timu na namba zozote lakini umecheza,fikiri isiwe hali ukajihisi umependeza,isiwe ikawa mali ukasema na kujibeza.
Mawazo yako yanakuwa yako pale ulipoweza,mawazo yangu siyo yako wala hauwezi kunigeza,ukifikiri wewe pengine kimawazo  utapendeza,usipopata kiwewe mengine yapasa kuyameza,karibu nakurudisha mwanzo kwenye meza,ilisemeka karibu kumbe ulikuwa umechakaza,siyo pipi ikaeleweka kusambaza,ni utamu wa pipi ukaingia kichwani na kutandaza,irukayo juu ni mitandayo wametumia wengi kuitokomeza,Tanzania nchi huru yenye amani na kupendeza,karibu Tanzania kwa imani tunaweza.

No comments:

ELEWA 2

  Mateso ya moyo huudhoofisha undani wa mwili,unaweza kubadili mwelekeo hata ule uliotakiwa kuelekea baadaye na kukataa kuelekea hata kwa ku...